Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

Featured Image

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

2. Hata uwe na magari mangapi chooni utaenda kwa miguu.

3. Kama ubinadamu kazi mbona hatupewi mishahara?

4. Ukichanganya wali na choroko unapata mseto, lakini hautibu malaria.

5. Hata njiwa nae ana makinda, lakini hawezi kuwa spika wa Bunge.

6. Hata uwe na haraka vipi kwenda Zenj, huwezi kupanda Jahazi ya Yusuph Mzee.

7. Umeme hauna kiuno lakini unaongoza kwa kukatika.

8. Hata uwe kauzu vipi, huwezi kujamba wakati unatongoza.

9. Hata uwe na imani kali vipi, huwezi kusali wakati unafanya mapenzi.

10. Hata kizibo ni mfuniko lakini hauwezi
kufunika sufuria.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Grace Wairimu (Guest) on June 6, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Saidi (Guest) on June 3, 2021

πŸ˜… Bado nacheka!

Joyce Nkya (Guest) on May 21, 2021

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on May 19, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Irene Makena (Guest) on March 31, 2021

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Margaret Anyango (Guest) on February 28, 2021

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Latifa (Guest) on February 23, 2021

πŸ˜‚ Kali sana!

Chris Okello (Guest) on February 18, 2021

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

John Kamande (Guest) on February 18, 2021

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Irene Akoth (Guest) on February 17, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Catherine Naliaka (Guest) on December 28, 2020

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Patrick Akech (Guest) on December 19, 2020

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Michael Onyango (Guest) on December 5, 2020

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Jacob Kiplangat (Guest) on November 28, 2020

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Patrick Kidata (Guest) on November 25, 2020

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Mwajuma (Guest) on November 23, 2020

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Simon Kiprono (Guest) on November 6, 2020

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Samuel Were (Guest) on November 4, 2020

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Mary Mrope (Guest) on November 2, 2020

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Lydia Wanyama (Guest) on October 17, 2020

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Joseph Kitine (Guest) on October 2, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

James Malima (Guest) on September 29, 2020

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Hellen Nduta (Guest) on September 11, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Janet Mbithe (Guest) on September 11, 2020

πŸ˜‚πŸ˜†

Ruth Wanjiku (Guest) on September 9, 2020

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Monica Nyalandu (Guest) on August 18, 2020

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

John Mwangi (Guest) on August 8, 2020

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

David Kawawa (Guest) on August 3, 2020

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Janet Mwikali (Guest) on July 26, 2020

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Janet Mwikali (Guest) on July 21, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on July 16, 2020

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Josephine Nekesa (Guest) on June 17, 2020

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Hellen Nduta (Guest) on June 3, 2020

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

James Mduma (Guest) on May 27, 2020

🀣πŸ”₯😊

Salima (Guest) on May 23, 2020

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Samuel Were (Guest) on May 23, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Moses Mwita (Guest) on May 6, 2020

😊🀣πŸ”₯

Alice Jebet (Guest) on April 17, 2020

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Elijah Mutua (Guest) on April 11, 2020

πŸ˜† Kali sana!

Sharifa (Guest) on February 24, 2020

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Charles Wafula (Guest) on February 14, 2020

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Joyce Nkya (Guest) on January 11, 2020

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Zakaria (Guest) on November 25, 2019

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Samuel Were (Guest) on October 28, 2019

😁 Kicheko bora ya siku!

George Wanjala (Guest) on October 23, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Khatib (Guest) on October 15, 2019

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Kevin Maina (Guest) on September 13, 2019

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Rashid (Guest) on September 11, 2019

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Mary Kendi (Guest) on August 13, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Victor Kamau (Guest) on August 12, 2019

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Catherine Mkumbo (Guest) on August 9, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Lydia Mutheu (Guest) on August 8, 2019

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Anna Kibwana (Guest) on August 8, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Rose Lowassa (Guest) on July 27, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Aziza (Guest) on July 26, 2019

🀣 Hii imewaka moto!

John Malisa (Guest) on July 21, 2019

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Rose Waithera (Guest) on July 13, 2019

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Nicholas Wanjohi (Guest) on June 24, 2019

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Lucy Mahiga (Guest) on June 12, 2019

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Frank Sokoine (Guest) on June 6, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Related Posts

Angalia nilichomjibu huyu kuhusu kabila langu

Angalia nilichomjibu huyu kuhusu kabila langu

Kuna mtu kanikeraΒ et nmemkubalia urafiki Leo tuΒ Faceb... Read More

Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Jamaa kaingia Bar;
Jamaa: Muhudumu, nipe kinywaji na mpe kila mtu humu ndani kinywaji, maana... Read More

Ukata wa January

Ukata wa January

Boss;-Β kwa nini umechelewa kazini
Juma;-Β kuna mtu njiani alidondo... Read More

Cheki kilichompata huyu dada!!

Cheki kilichompata huyu dada!!

NDOA inafungwa KANISANI Mchungaji akauliza-Yeyote mwenye Pingamizi La Ndoa hii kufungwa aje Mbel... Read More

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Jamaa kapokea simu kutoka kwa mke wake ndani ya daladala

jamaa: hellow hellow ( jamaa ak... Read More

Kisa cha mzaramo na mchaga

Kisa cha mzaramo na mchaga

MZARAMO V/S MCHAGA.
Mzaramo alitangaza anatibu magonjwa yooooooote
kwa tsh. 100,000/=Read More

Januari kweli ngumu, soma hii

Januari kweli ngumu, soma hii

Januari kweli kiboko

Hii january sabuni za kuogea ni zile za kuoshea vyombo, yani u... Read More

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Baada ya kuumizwa kimapenzi haya ndiyo maneno

Mkishaumizwa ndo utasikia, Moyo sukuma damu sio mengine. wakati mnapenda mlizani moyo ul... Read More

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Tukiwa kanisani mdada alikuwa amelala , akaamka akasikia Pastor anasema
" SIMAMA"
Yule ... Read More

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Askari wametumwa nyumba iliyokuwa kuna ugomvi wakafika wakatakiwa kuripoti ... Read More

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

JE WAJUA TANZANIA NI NCHI PEKEE AMBAYO WATU WANAPOANZA KUCHAT huanza kwa kiingereza 'morning' na... Read More

Angalia mchezo wa kutuma message mara zikubali mara zikatae.. Lilishakukuta hili???

Angalia mchezo wa kutuma message mara zikubali mara zikatae.. Lilishakukuta hili???

GARLFREND»»hellow sweetheart

BOYFREND»»hellow darling(SENDING FAILED)

GARLFRENDΒ»... Read More