Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Featured Image

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakini ukitoka unatoka na simu.

Mara chache unafurahia Tv lakini Muda mrefu unacheza na simu yako.

Tv ni bure kwa maisha yako yote, lakini Simu kama hujalipia hupati huduma.

Tv ni kubwa nzito na wakati wote ni ya zamani. Lakini simu ni nzuri, nyembamba, na ni rahisi kubeba.

Gharama za huduma za tv ni ndogo sana, Lakini gharama za huduma za Simu ni kubwa na pia ni lazima kuzitimiza.

Tv ina remote lakini Simu haina.

Kitu muhimu zaidi simu ina njia mbili za kuwasiliana unaongea na unasikiliza lakini Tv unalazimika kusikiliza hata kama hutaki au unataka.

Unaweza kununua Tv mara moja na ukatumia kwa kipindi kirefu lakini Simu mara zote unabadilisha inategemea na fasheni.

Ya mwisho na ya kuzingatia

Tv haina Virusi lakini Simu inayo.

KUWA MAKINI.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Amos@tz (User) on March 31, 2025

Hii ndo kali kulikozote

Josephine Nduta (Guest) on June 22, 2024

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Umi (Guest) on June 18, 2024

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Amos@tz (User) on March 31, 2025

Mamb vp sister

Paul Kamau (Guest) on June 7, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Alice Jebet (Guest) on June 6, 2024

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Joseph Mallya (Guest) on May 8, 2024

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Rose Amukowa (Guest) on April 26, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Christopher Oloo (Guest) on April 12, 2024

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Jane Muthui (Guest) on April 3, 2024

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Dorothy Majaliwa (Guest) on March 23, 2024

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mwanajuma (Guest) on March 20, 2024

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Margaret Mahiga (Guest) on February 14, 2024

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Zulekha (Guest) on February 2, 2024

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Rose Waithera (Guest) on January 14, 2024

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Joyce Nkya (Guest) on January 4, 2024

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Anthony Kariuki (Guest) on December 26, 2023

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Mjaka (Guest) on December 19, 2023

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

David Sokoine (Guest) on December 18, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Benjamin Kibicho (Guest) on December 5, 2023

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Victor Mwalimu (Guest) on November 29, 2023

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Janet Mwikali (Guest) on October 20, 2023

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Kahina (Guest) on September 30, 2023

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Peter Mugendi (Guest) on September 15, 2023

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Henry Sokoine (Guest) on August 5, 2023

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Ruth Mtangi (Guest) on August 1, 2023

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Neema (Guest) on July 28, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Victor Sokoine (Guest) on July 10, 2023

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

James Kimani (Guest) on July 8, 2023

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Samuel Were (Guest) on July 7, 2023

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Rose Waithera (Guest) on June 30, 2023

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Charles Wafula (Guest) on June 10, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Peter Mbise (Guest) on May 25, 2023

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

David Ochieng (Guest) on May 23, 2023

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Paul Kamau (Guest) on May 15, 2023

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

John Malisa (Guest) on May 13, 2023

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Benjamin Kibicho (Guest) on May 7, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Yusuf (Guest) on March 31, 2023

πŸ˜„ Kali sana!

Monica Nyalandu (Guest) on March 22, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Sarah Mbise (Guest) on February 24, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

John Kamande (Guest) on February 22, 2023

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Stephen Mushi (Guest) on February 12, 2023

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Bernard Oduor (Guest) on January 22, 2023

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Monica Nyalandu (Guest) on January 13, 2023

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Irene Makena (Guest) on January 6, 2023

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Henry Mollel (Guest) on December 30, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Frank Sokoine (Guest) on December 20, 2022

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Maulid (Guest) on December 20, 2022

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Peter Mbise (Guest) on November 22, 2022

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Patrick Kidata (Guest) on November 10, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Anna Mchome (Guest) on October 31, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

James Kimani (Guest) on October 28, 2022

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Benjamin Masanja (Guest) on October 28, 2022

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Esther Cheruiyot (Guest) on October 12, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Catherine Mkumbo (Guest) on September 30, 2022

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Ann Awino (Guest) on September 23, 2022

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Elizabeth Mrope (Guest) on September 12, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

James Kimani (Guest) on September 10, 2022

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Faith Kariuki (Guest) on June 17, 2022

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Rose Kiwanga (Guest) on June 13, 2022

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Related Posts

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Mzee mmoja alipanda Gari Stend;
Wakati wa kugombania Siti,
Akaibiwa Nauli.

Akasim... Read More

Baadhi ya misemo mikali ya leo

Baadhi ya misemo mikali ya leo

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

2. Hata uwe na magari m... Read More

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

DADA alienda Salon wakati anasukwa akaingia
MKAKA mtanashati,
DADA akaamua kujaribu bah... Read More

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Ladha ya bia ya 1 hadi ya 6..

Kwa wanywaji wazuri wa bia, chupa ya kwanza 🍺 huwa hailet... Read More
Angalia huyu msichana alichonifanyia

Angalia huyu msichana alichonifanyia

Kuna siku nilichalala kipesa nikaamua kuomba dem wangu aniazime 10,000/= akanipa.
Baada ya s... Read More

Jambo usilolijua kuhusu mwili wako

Jambo usilolijua kuhusu mwili wako

JE WAJUA!…..

Msuli mrefu kuliko yote kwenye mwili wa binadamu unaunganis... Read More

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Kuna washikaji walikuwa wakivuta bangi… kiberiti kikawaishia… wakamtuma mwenzao akatafute ki... Read More

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Mtoto wa miaka sita alimuuliza babake:
MTOTO: Baa, eti sisi wanadamu tulikuja vipi
duni... Read More

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Oya people hv kwa mfano Dada yako akisomea sheria ndo anaitwa sister in law? au... Read More

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Askari wametumwa nyumba iliyokuwa kuna ugomvi wakafika wakatakiwa kuripoti ... Read More

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake:
JAMAA: Shem nakupenda!
MKE: Hebu... Read More

Mcheki Chizi na daktari

Mcheki Chizi na daktari

Tafakari na ujumbe huuuu!!!…

DAKTARI :- Unajisikiaje?

CHIZI:-Kila siku naota nyani ... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About