Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Maswali ya kijinga yakijibiwa vizuri

Featured Image

Haya ndiyo majibu mazuriπŸ˜πŸ˜πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Q: Umenyoa nywele?

A: *Hapana, nimebadilisha kichwa.*

Q: Hiyo simu umenunua?

A: *Hapana nimeitengeneza mwenyewe.*

Q: Utakula mboga na nini?

A: *Mdomo*

(Simu inaita usiku,then aliyepiga anauliza) Q: Nimekuamsha?

A: *Hapana nilikuwa naota jua hapa nje.*

Q: Gazeti la leo linasemaje?

A: *Sijaongea nalo.*

Q: Gari limejaa, nitakaa wapi?

A: *Usijali dereva anashuka kituo kinachofata utapata kiti.*

Q: Hiyo ni ajali?

A: *Hapana ni driver ameamua kupark gari upside down* .

Q: Umepause movie?

A: *Hapana wamechoka kuact wanarest.*
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

πŸƒβ€β™‚πŸƒβ€β™‚πŸƒβ€β™‚πŸƒβ€β™‚πŸƒβ€β™‚πŸƒβ€β™‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Paul Ndomba (Guest) on July 24, 2024

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Guest (Guest) on January 7, 2026

Xawa

Alex Nakitare (Guest) on July 21, 2024

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Guest (Guest) on December 4, 2025

Chizi

George Wanjala (Guest) on June 23, 2024

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Guest (Guest) on January 28, 2026

A

Nancy Akumu (Guest) on June 10, 2024

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Rubea (Guest) on June 3, 2024

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Chris Okello (Guest) on May 30, 2024

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Moses Kipkemboi (Guest) on May 29, 2024

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Guest (Guest) on April 1, 2026

Pp

Omari (Guest) on April 12, 2024

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Francis Mtangi (Guest) on March 27, 2024

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Omari (Guest) on March 26, 2024

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Lucy Wangui (Guest) on March 13, 2024

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Victor Kamau (Guest) on February 5, 2024

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Sultan (Guest) on February 5, 2024

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Jane Muthui (Guest) on January 20, 2024

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Esther Cheruiyot (Guest) on January 10, 2024

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Rose Lowassa (Guest) on January 4, 2024

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

John Lissu (Guest) on December 26, 2023

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

David Ochieng (Guest) on December 25, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Charles Mchome (Guest) on November 9, 2023

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Andrew Mahiga (Guest) on September 1, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Linda Karimi (Guest) on August 26, 2023

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Frank Macha (Guest) on August 10, 2023

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Grace Wairimu (Guest) on July 18, 2023

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Andrew Mchome (Guest) on July 8, 2023

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Edward Chepkoech (Guest) on June 16, 2023

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Joseph Mallya (Guest) on May 29, 2023

πŸ˜‚πŸ€£

Robert Okello (Guest) on May 5, 2023

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Vincent Mwangangi (Guest) on April 24, 2023

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Edith Cherotich (Guest) on April 16, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Shamsa (Guest) on March 8, 2023

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Mary Mrope (Guest) on February 13, 2023

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Janet Mbithe (Guest) on February 8, 2023

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Patrick Akech (Guest) on January 29, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Frank Sokoine (Guest) on December 25, 2022

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Lydia Mzindakaya (Guest) on December 12, 2022

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

David Nyerere (Guest) on November 30, 2022

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Irene Akoth (Guest) on November 22, 2022

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nora Lowassa (Guest) on November 2, 2022

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Janet Sumaye (Guest) on October 21, 2022

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Richard Mulwa (Guest) on October 20, 2022

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Ruth Kibona (Guest) on October 14, 2022

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Tabitha Okumu (Guest) on October 1, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Margaret Anyango (Guest) on September 19, 2022

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Peter Mugendi (Guest) on September 11, 2022

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Muslima (Guest) on September 5, 2022

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Mtumwa (Guest) on August 20, 2022

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Peter Mbise (Guest) on August 12, 2022

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Jackson Makori (Guest) on August 11, 2022

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

David Nyerere (Guest) on July 31, 2022

πŸ˜‚πŸ˜…

David Kawawa (Guest) on July 29, 2022

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Yusuf (Guest) on July 28, 2022

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Nchi (Guest) on July 25, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Agnes Lowassa (Guest) on July 15, 2022

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

John Lissu (Guest) on July 7, 2022

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Furaha (Guest) on June 9, 2022

😁 Kicheko bora ya siku!

Mariam Hassan (Guest) on May 30, 2022

😁 Hii ni dhahabu!

Related Posts

Huyu mwanamke kazidi sasa

Huyu mwanamke kazidi sasa

Jamaa: Mambo honey, upo ok?
Mrembo: Sipo ok my dear
<... Read More

Huyu mke ni shida!

Huyu mke ni shida!

MUME: "Unajua mi unanishangaza sana, kila siku nakusikia mara useme TV yangu, gari yangu, chumban... Read More

Kisa cha mzaramo na mchaga

Kisa cha mzaramo na mchaga

MZARAMO V/S MCHAGA.
Mzaramo alitangaza anatibu magonjwa yooooooote
kwa tsh. 100,000/=Read More

Angalia huyu msichana alichonifanyia

Angalia huyu msichana alichonifanyia

Kuna siku nilichalala kipesa nikaamua kuomba dem wangu aniazime 10,000/= akanipa.
Baada ya s... Read More

Mpenzi Akikuita Mamito, Mjibu Hivi

```html

Responding to Pet Names: A Guide to Healthy Relationships

Navigating the landsc... Read More

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Ka ni wewe? DOGO: baba mi siendi tena shule inaonekana walimu hawana uhakika na majibu yao. BABA: ... Read More
Jamaa mpenda michepuko kapatikana

Jamaa mpenda michepuko kapatikana

…Upo kazini umeacha familia yako nyumbani mara ghafla unapigiwa simu kutazama unakutana na no n... Read More

Sababu ya watu kupenda mapenzi kuliko vita

Sababu ya watu kupenda mapenzi kuliko vita

Mwalimu aliuliza swali "Kwanini watu wanapenda MAPENZI kuliko VITA? Mwanafunzi mmoja akajibu:- "Kw... Read More
Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More
Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Kubeba nauli kamili nayo ni shida
Yani nimepanda daladala
Kondakta mmoja akaingia kweny... Read More

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

WALEVI WAWILI KATIKA MAZUNGUMZO YAO

MLEVI 1Β hivi rafiki ... Read More

Huyu kashauzwa!! Angalia kilichomkuta sasa

Huyu kashauzwa!! Angalia kilichomkuta sasa

Jamaa alionekana Mnyooooonge sana ikabidi mpita njia amuulize…

Kaka, mbona u mnyonge h... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About