Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Featured Image

Ndio nilikuwa nimeshuka kwenye basi la SAI BABA pale Ubungo, nina Begi kubwa Mgongoni na begi Dogo la Lap Top mkononi, sura inatazama Mbele Very Serious kama nipo kwenye Gwaride la Uhuru!..Mabega juu yanafanya Cheers na Mawingu!, natembea kwa madoido…..leo nimetoka Likizo Moshi,

"Brother Simu ya ukweli hii..kitu cha Tecno C9 bei poa" hii ilikuwa sauti ya Teja mmoja hivi!

Yaani huyu Teja Bwege kweli,anataka kumuuzia nani sabuni? mimi sio wa kuja!…kamwe Siwezi kuibiwa hapa Town,hakuna wizi au utapeli nisioujua!, Mimi nimezaliwa Mwananyamala kwa Manjunju, nikalelewa Tandale kwa Mtogole, Shule ya msingi nimesoma Turiani Magomeni, Hivi Mbwa gani aniibie?…kwa Style ipi?

Sipendi kabisa Upuuzi!, Wajinga ndio wataibiwa, sio Mimi!…sasa Kwa mwendo wa haraka nikatoka nje kabisa ya Stendi ya Ubungo straight mpaka Stendi ya dala dala za Kariakoo, hapo ndipo nikakutana na Vijana wawili wadogo wakiwa na mzani wa kupimia uzito,…hakika napenda sana vijana wanaojituma kama hawa na sio ile Mijizi ya kule ndani Stendi!!,….hapa sasa nikapata wazo!

"Dogo mnapima uzito kwa shilingi ngapi?''

"Mia mbili tu Kaka!"

''Ok"

Kwa mwendo wa kikakamavu nikapanda juu ya mzani,lengo hapa ni kujua uzito wangu, Mtori niliokula mwezi mzima kule kwa Mshekuu sio mchezo, hapa nahisi nacheza kwenye kg za John Cena,

"Mama wee! Dogo mzani mzima huu kweli? Mbona nina kilo 134?" (Nilihamaki)

"Aaah! Brother huoni umepanda na Mabegi juu ya mzani?'''

Hahaha! kweli nimechanganyikiwa!…Sasa nikatoa mabegi yote mawili na kurudi juu ya Mzani, hapa ndipo Uzito ukashuka kutoka kg 134 mpaka kg 56!…My God kweli Body la "One Pack " haliongopi! thats means mabegi yaliniongezea kg 78! duh hii ni hatari!

"Yaani we Dogo kitambi chote hiki kg 56? huu Mzani Mzima kweli?"

Kimya…

"Dogo huu Mzani vipi?"

Kimya…

Dogo ana dharau huyu!…Sasa ndio nikabandua macho yangu toka kwenye kioo cha mzani ili nimtazame huyu dogo asiyejibu!….ndipo macho yangu yakakutana na Kigoda tupu kilichochongwa Mvomero!…Dogo hakuwepo!….na Mabegi pia hayapo!…lap top haipo!….NIMEPIGWA!

Ni dhahiri watoto wa Mjini walikuwa wameniacha juu ya Mzani, wamechukua Lap top ya Milioni na wameniachia Mzani chakavu wa elfu 40, what a stress!….sasa nilirudisha macho kwenye kioo cha uzito na sasa kilisoma KG 38!…yaani dakika hii hii nimepungua kilo zingine 18, Hakiyamama nahisi hata utumbo wangu wamebeba!…niitieni Ambulance!

πŸ™†πŸΌπŸ™†πŸΌπŸ™†πŸΌπŸ™†πŸΌπŸ™†πŸΌπŸ™†πŸΌπŸ™†πŸΌπŸ™†πŸΌπŸ™†πŸΌπŸ™†πŸΌπŸ™†πŸΌ

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Rose Lowassa (Guest) on July 10, 2024

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Safiya (Guest) on June 24, 2024

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Bakari (Guest) on June 5, 2024

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Victor Sokoine (Guest) on May 31, 2024

πŸ˜† Hiyo punchline!

Salum (Guest) on April 16, 2024

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Grace Mligo (Guest) on April 4, 2024

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Mary Mrope (Guest) on March 5, 2024

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on March 1, 2024

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

David Ochieng (Guest) on February 24, 2024

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Rose Amukowa (Guest) on February 24, 2024

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nancy Akumu (Guest) on February 21, 2024

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Wilson Ombati (Guest) on February 14, 2024

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Monica Lissu (Guest) on February 5, 2024

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Susan Wangari (Guest) on January 21, 2024

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Thomas Mwakalindile (Guest) on January 15, 2024

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Alex Nyamweya (Guest) on December 24, 2023

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Fredrick Mutiso (Guest) on December 17, 2023

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Mary Sokoine (Guest) on October 29, 2023

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Peter Mugendi (Guest) on October 13, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Mallya (Guest) on September 28, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Selemani (Guest) on September 3, 2023

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Catherine Mkumbo (Guest) on August 20, 2023

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Linda Karimi (Guest) on August 19, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚

Josephine Nekesa (Guest) on August 1, 2023

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Rose Mwinuka (Guest) on July 2, 2023

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Ibrahim (Guest) on June 19, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

Zubeida (Guest) on June 16, 2023

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Abubakari (Guest) on June 10, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Joseph Kawawa (Guest) on June 10, 2023

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Dorothy Majaliwa (Guest) on May 11, 2023

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Charles Mchome (Guest) on April 14, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Sarah Achieng (Guest) on March 27, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Catherine Naliaka (Guest) on March 14, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Paul Kamau (Guest) on March 8, 2023

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Moses Kipkemboi (Guest) on March 7, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Lucy Wangui (Guest) on February 4, 2023

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Faiza (Guest) on February 2, 2023

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Mary Njeri (Guest) on January 27, 2023

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Neema (Guest) on January 22, 2023

🀣 Hii imewaka moto!

Salima (Guest) on January 21, 2023

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Henry Mollel (Guest) on January 9, 2023

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Peter Tibaijuka (Guest) on January 3, 2023

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Richard Mulwa (Guest) on January 2, 2023

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Sarah Achieng (Guest) on December 28, 2022

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Raha (Guest) on December 22, 2022

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Diana Mumbua (Guest) on November 29, 2022

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Agnes Sumaye (Guest) on November 12, 2022

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

George Ndungu (Guest) on November 5, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Andrew Odhiambo (Guest) on November 1, 2022

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Mary Kendi (Guest) on October 28, 2022

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Shani (Guest) on October 14, 2022

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Raphael Okoth (Guest) on September 29, 2022

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Alice Jebet (Guest) on September 25, 2022

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Agnes Lowassa (Guest) on September 22, 2022

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Grace Majaliwa (Guest) on September 8, 2022

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Francis Njeru (Guest) on September 5, 2022

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Josephine Nekesa (Guest) on September 5, 2022

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Mwanajuma (Guest) on August 22, 2022

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

James Kimani (Guest) on July 15, 2022

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Mwanaidha (Guest) on July 10, 2022

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Related Posts

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Ukimuona mbwa kwenye harusi hii ndiyo maana yake

Hili nalo neneo.

Ukimuona mbwa🐢 harusini usimpige mawe wala kumfukuza inawezekana kilich... Read More

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

HUU NDO UMUHIMU WA ENGLISH KATIKA MAPENZI

jaribu kumwita mpenzi wako "my sweet potato" a... Read More

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

```Nimetoka interview hapa ya job flani

Wameniuliza "so how far did you go with your edu... Read More

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

HABARI MPASUKO..

jana katika taasisi ya wanyama pori ya Nat Geo ilitangazwa kuwa ametokea N... Read More

Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo

Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo

Soma vichekesho hivi;

Mwizi wa atm

Jamaa aliibiwa kadi yake ya benk akaulizwa kama ... Read More

Kuna watu makauzu ila huyu kazidi.. Soma hii!

Kuna watu makauzu ila huyu kazidi.. Soma hii!

Kakubaliana vizuri na msichana fulani hivi kuwa aibuke gheto, mchizi kajipanga vizuri kabisa…. ... Read More

Misemo 17 ya kuchekesha

Misemo 17 ya kuchekesha

1) gari la kuvutwa halina overtake
2) kisigino hakikakai mbele
3) wimbo wa taifa haupgw... Read More

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

MASSAWE alienda na marafiki zake bar kunywa, baada ya kumaliza kutumia akal... Read More

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza Mashuleni, wanaenda kwenye Engineering na Medical school.

<... Read More
Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

HAKUNA MTU MWENYE MBIO, KAMA MSICHANA ALIYEPAKA MAKE UP ALAFU MVUA INYESHE…..... Read More

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Ndoa zina mambo, cheki haya mambo ya mtu na mke wake

Mke: mume wangu leo 2badilishe stail kwani nimechoka kla siku hiyo hiyo tu
Mme: kwel mke wan... Read More

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Shikamoo kingereza..!

Baada ya kufika Kempiski nikaona menu imeandikwa:

Saute... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About