Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Featured Image

MKE NA MCHEPUKO.

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakini ukitoka unatoka na simu.

Mara chache unafurahia Tv lakini Muda mrefu unacheza na simu yako.

Tv ni bure kwa maisha yako yote, lakini Simu kama hujalipia hupati huduma.

Tv ni kubwa nzito na wakati wote ni ya zamani. Lakini simu ni nzuri, nyembamba, na ni rahisi kubeba.

Gharama za huduma za tv ni ndogo sana, Lakini gharama za huduma za Simu ni kubwa na pia ni lazima kuzitimiza.

Tv ina remote lakini Simu haina.

Kitu muhimu zaidi simu ina njia mbili za kuwasiliana unaongea na unasikiliza lakini Tv unalazimika kusikiliza hata kama hutaki au unataka.

Unaweza kununua Tv mara moja na ukatumia kwa kipindi kirefu lakini Simu mara zote unabadilisha inategemea na fasheni.

Ya mwisho na ya kuzingatia

Tv haina Virusi lakini Simu inayo.

KUWA MAKINI.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Nassar (Guest) on July 19, 2024

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Guest (Guest) on August 13, 2025

Simu inanoga sana na unaweza kuifanya utakavyo na uweza kubadilisha kila baada ya mda fulani ila tv shida tupu

Guest (Guest) on August 9, 2025

Simu kweli ina zaid ya virusi

Lucy Kimotho (Guest) on May 19, 2024

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Benjamin Kibicho (Guest) on April 28, 2024

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Irene Akoth (Guest) on April 28, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Rose Amukowa (Guest) on April 15, 2024

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Sekela (Guest) on March 24, 2024

πŸ˜† Kali sana!

Jackson Makori (Guest) on March 4, 2024

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Peter Tibaijuka (Guest) on February 15, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Janet Sumaye (Guest) on February 9, 2024

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Abdullah (Guest) on February 7, 2024

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Diana Mallya (Guest) on February 6, 2024

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Victor Mwalimu (Guest) on January 25, 2024

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Henry Mollel (Guest) on January 22, 2024

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Chris Okello (Guest) on January 1, 2024

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Joseph Mallya (Guest) on November 28, 2023

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

James Kawawa (Guest) on November 3, 2023

😊🀣πŸ”₯

Michael Mboya (Guest) on October 6, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Hellen Nduta (Guest) on September 21, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Esther Nyambura (Guest) on August 15, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

David Ochieng (Guest) on August 15, 2023

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Edith Cherotich (Guest) on August 14, 2023

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Samuel Were (Guest) on August 10, 2023

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Joseph Kiwanga (Guest) on July 11, 2023

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Agnes Njeri (Guest) on July 10, 2023

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

David Musyoka (Guest) on June 27, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Martin Otieno (Guest) on June 23, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Stephen Kangethe (Guest) on May 31, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Rose Mwinuka (Guest) on May 12, 2023

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Victor Kamau (Guest) on March 23, 2023

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Michael Mboya (Guest) on March 1, 2023

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Thomas Mwakalindile (Guest) on February 13, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Rose Kiwanga (Guest) on February 9, 2023

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Mercy Atieno (Guest) on February 7, 2023

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Bernard Oduor (Guest) on February 4, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Jane Malecela (Guest) on January 27, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

Charles Mboje (Guest) on January 25, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Philip Nyaga (Guest) on January 14, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Betty Cheruiyot (Guest) on November 7, 2022

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Sarah Mbise (Guest) on October 31, 2022

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Thomas Mtaki (Guest) on October 14, 2022

πŸ˜‚πŸ€£

Joy Wacera (Guest) on October 14, 2022

🀣πŸ”₯😊

Rose Lowassa (Guest) on September 28, 2022

πŸ˜‚πŸ˜†

Janet Sumari (Guest) on August 16, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Ruth Wanjiku (Guest) on August 16, 2022

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Abdullah (Guest) on July 19, 2022

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Sumaya (Guest) on July 5, 2022

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Fatuma (Guest) on June 27, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Selemani (Guest) on May 29, 2022

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

David Nyerere (Guest) on May 20, 2022

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Edwin Ndambuki (Guest) on May 6, 2022

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

John Lissu (Guest) on May 1, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Ramadhan (Guest) on April 2, 2022

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Margaret Anyango (Guest) on March 15, 2022

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Diana Mumbua (Guest) on March 12, 2022

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Paul Ndomba (Guest) on March 10, 2022

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Edward Chepkoech (Guest) on March 9, 2022

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Chiku (Guest) on February 27, 2022

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Edward Chepkoech (Guest) on February 1, 2022

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Related Posts

BREAKING NEWS: WAZIRI ANASWA KOFI

BREAKING NEWS: WAZIRI ANASWA KOFI

Mkazi wa Mbagala Kibondemaji, Waziri Salum (23) amejikuta akinaswa makofi baada ya kupishana kau... Read More

Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

HAKUNA MTU MWENYE MBIO, KAMA MSICHANA ALIYEPAKA MAKE UP ALAFU MVUA INYESHE…..... Read More

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka ule ambapo nilipeleka barua ya maombi yangu ya kazi kwenye kampuni moja ... Read More

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

MDADA: Baby nikwambie kitu
MKAKA: Yeah Baby Uko huru nambie
MDADA: nilikua naomba hela ... Read More

Chezea kufulia!

Chezea kufulia!

Huu Mwezi jinsi nilivyofulia yaani hata nikikuta mende wamesimama wawili najua wananisem... Read More

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Basi juzi kati hapa sehemu ndogo ya ukuta wa Ikulu ya Magogoni ilianguka!.. Wakapelekwa contractors ... Read More
Sababu ya watu kupenda mapenzi kuliko vita

Sababu ya watu kupenda mapenzi kuliko vita

Mwalimu aliuliza swali "Kwanini watu wanapenda MAPENZI kuliko VITA? Mwanafunzi mmoja akajibu:- "Kw... Read More
Cha kufanya msichana akikukimbia halafu atake kukurudia

Cha kufanya msichana akikukimbia halafu atake kukurudia

……… Kama msichana atakutupa kwa sababu huna pesa, na baadaye unapopata pesa akarudi tena ku... Read More

Safari ni safari

Safari ni safari

FUNDISHO : SAFARI NI SAFARI

Maisha ni ya ajabu sana, wakati mwingine maish... Read More

Duh, Ukisikia ngoma droo ndio hii

Duh, Ukisikia ngoma droo ndio hii

Ni noma!

Baada ya Talaka mke kamtumia mume meseji:- "Nasikitika kukujulisha kuwa bi... Read More

Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Wanaume wenye kushinda vishawishi ni;

Wanaume ambao mnaweza kula wali hadi mwisho bila kugu... Read More

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

MVULANA:Β Daktari, rafiki yangu wa kike ni mjamzito, l... Read More

πŸ“– Explore More Articles