Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE ๐Ÿ”
โ˜ฐ
AckyShine

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Featured Image

Njeri:ย Roysambu ni ngapi?
Makanga:ย Roysambu ni moja tu. Pengine kama Chinese wamejenga ingine.

Odhis:ย Hii gari haina watu bana.
Makanga:ย Kwani hao wawili wenye wamekaa hapo ndani ni ngโ€™ombe?

Man:ย Wekeni nyimbo za Yesu tafadhali.
Makanga:ย Yesu bado hajatoa album. Akitoa tutaeka.

Mwikali:ย Excuse me condaโ€ฆgari za Mwingi zinapandiwa wapi?
Makanga:ย Ziliacha kupandwa juu hazimei.

Man:ย Kwani mwisho wa gari ni wapi?
Makanga:ย Mwisho ni hapo penye number plate iko.

Karis:ย Ruaka ni how much?
Makanga:ย Sijaskia Ruaka ikiuzwa. But nikiskia nitakwambia.

Passenger:ย Shukisha dere.
Makanga:ย Tukishukisha dere utaendesha gari?

Johnny:ย Maze, hii gari iko na joto sana.
Makanga:ย Basi shuka upande fridge

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Francis Njeru (Guest) on July 20, 2024

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜‚

Diana Mallya (Guest) on July 19, 2024

Nimecheka hadi machozi ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜ญ

Fikiri (Guest) on July 5, 2024

๐Ÿ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Binti (Guest) on June 27, 2024

๐Ÿ˜„ Kichekesho gani!

Francis Mtangi (Guest) on June 13, 2024

Hii joke ni ya kufurahisha! ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

Janet Mwikali (Guest) on June 12, 2024

๐Ÿ˜†๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜Š

Lucy Mushi (Guest) on June 7, 2024

๐Ÿ˜† Hiyo punchline!

Nicholas Wanjohi (Guest) on June 5, 2024

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! ๐Ÿ‘๐Ÿคฃ

Thomas Mwakalindile (Guest) on June 3, 2024

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! ๐Ÿ˜†๐Ÿ‘

Kenneth Murithi (Guest) on May 24, 2024

Umesema kweli! ๐Ÿ‘Œ๐Ÿ˜‚

Alex Nakitare (Guest) on April 28, 2024

Hii ni kali sana! ๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ

Charles Mchome (Guest) on April 15, 2024

๐Ÿ˜†๐Ÿ˜…๐Ÿ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on February 24, 2024

Hii imenifurahisha sana! ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜Š

Frank Sokoine (Guest) on December 21, 2023

๐Ÿคฃ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜‚

Kijakazi (Guest) on December 19, 2023

๐Ÿคฃ Sikutarajia hiyo!

Ruth Wanjiku (Guest) on December 8, 2023

Hii ni joke ya kufurahisha sana! ๐Ÿ‘๐Ÿ˜†

Patrick Kidata (Guest) on November 17, 2023

๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ

Mwanaidha (Guest) on November 10, 2023

๐Ÿ˜„ Kichekesho kamili!

Francis Mrope (Guest) on October 31, 2023

๐Ÿ˜† Naihifadhi hii!

Yusuf (Guest) on October 26, 2023

๐Ÿ˜… Bado ninacheka!

Mercy Atieno (Guest) on October 19, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜…

Jackson Makori (Guest) on September 27, 2023

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜‚

Mary Mrope (Guest) on September 13, 2023

Nimecheka hadi mbavu zinauma ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Sarah Mbise (Guest) on September 11, 2023

Huyu mtu ni mcheshi sana! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Wilson Ombati (Guest) on September 1, 2023

Mna kipaji cha ucheshi! ๐Ÿ‘๐Ÿ˜‚

Grace Majaliwa (Guest) on August 22, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜†

Athumani (Guest) on August 18, 2023

๐Ÿ˜ Hii ni dhahabu!

Khatib (Guest) on August 5, 2023

๐Ÿ˜„ Umenishika vizuri!

Moses Kipkemboi (Guest) on July 22, 2023

Kweli mnajua kuchekesha! ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚

Chris Okello (Guest) on July 2, 2023

๐Ÿ˜„ Kali sana!

Jacob Kiplangat (Guest) on June 28, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚

Benjamin Kibicho (Guest) on June 27, 2023

๐Ÿ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Grace Majaliwa (Guest) on June 20, 2023

๐Ÿ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Lucy Kimotho (Guest) on June 18, 2023

Kama kawaida! Bado nacheka! ๐Ÿ˜„

Lydia Mzindakaya (Guest) on March 7, 2023

๐Ÿ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Michael Onyango (Guest) on February 13, 2023

๐Ÿ˜Š๐Ÿคฃ๐Ÿ”ฅ

Janet Sumaye (Guest) on February 9, 2023

๐Ÿ˜ Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Monica Adhiambo (Guest) on January 30, 2023

Hii ni joke ya kipekee! ๐Ÿคฃ๐Ÿ‘Œ

Robert Ndunguru (Guest) on January 9, 2023

๐Ÿ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Elizabeth Mrope (Guest) on January 7, 2023

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! ๐Ÿ˜„

Fredrick Mutiso (Guest) on December 27, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚

Elizabeth Mrope (Guest) on December 19, 2022

๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜„๐Ÿ˜†

Ann Awino (Guest) on November 29, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! ๐Ÿ‘๐Ÿคฃ

Samson Tibaijuka (Guest) on November 3, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! ๐Ÿ˜…๐Ÿ˜Š

Omar (Guest) on October 1, 2022

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! ๐Ÿ˜ƒ

Chum (Guest) on August 29, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! ๐Ÿคฃ

Janet Sumaye (Guest) on August 21, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜†

Daniel Obura (Guest) on July 25, 2022

Hii ni ya kufurahisha sana! ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜„

Diana Mumbua (Guest) on July 15, 2022

๐Ÿคฃ Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

David Musyoka (Guest) on July 1, 2022

Hii imenikuna hadi nina furaha! ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜‚

Shukuru (Guest) on June 24, 2022

๐Ÿ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Margaret Anyango (Guest) on June 23, 2022

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! ๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ

Kevin Maina (Guest) on May 25, 2022

Hii imenibamba sana! ๐Ÿ˜…๐Ÿคฃ

Michael Mboya (Guest) on May 22, 2022

Nimecheka hadi machozi yanatoka! ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜ญ

Janet Mbithe (Guest) on May 15, 2022

๐Ÿ˜‚๐Ÿคฃ๐Ÿ˜†

Rose Amukowa (Guest) on May 5, 2022

๐Ÿ˜… Bado nacheka!

Azima (Guest) on April 16, 2022

๐Ÿ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Sarah Mbise (Guest) on April 10, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! ๐Ÿ˜Š๐Ÿ˜‚

Monica Adhiambo (Guest) on April 9, 2022

Hizi jokes zinabamba sana! ๐Ÿ˜†๐Ÿ˜‚

George Mallya (Guest) on March 27, 2022

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! โฐ

Related Posts

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Wazazi wengine wanaandikaย MBWAโ€‹MKALIย kwenye geti lao kama binti wao ana mia... Read More

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

MUME wakati anakata roho huku mkewe akiwa amemshikilia alisema mke wangu, mi natubu kwako, kwani ... Read More

Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu ๐Ÿ‘ง girlfriend wake

Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu ๐Ÿ‘ง girlfriend wake

Jamaa kamdanganya girlfriend wake kuwa anasomea HOTEL MANAGEMENT. Siku huyo girlfriend akamkuta ... Read More

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

JAMAA alimuaga mke wake mlokole kuwa anaenda semina ya siku tatu, kumbe anakwenda kwa bi mdogo. Mke... Read More
Duh, Ukisikia ngoma droo ndio hii

Duh, Ukisikia ngoma droo ndio hii

Ni noma!

Baada ya Talaka mke kamtumia mume meseji:- "Nasikitika kukujulisha kuwa bi... Read More

Safari ni safari

Safari ni safari

FUNDISHO : SAFARI NI SAFARI

Maisha ni ya ajabu sana, wakati mwingine maish... Read More

Gari na mke nini muhimu?

Gari na mke nini muhimu?

GARI YA MILIONI 50
UNALAZA NJEโ€ฆ
mke wa laki sita
unalala nae ndaniโ€ฆ.
BANG... Read More

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo! Jamaa kaikoleza si ikamtuma avue nguo! Akavua nguo zote akaenda kwenye kioo, kujita... Read More
Cheki hawa wachungaji

Cheki hawa wachungaji

CHEKA KIDOGO

Wachungaji watatu walikutana kwa siri na kuelezana matatizo yao ili waweze kuo... Read More

Huyu bibi kweli kiboko, cheki alichofanya akiwa na babu

Huyu bibi kweli kiboko, cheki alichofanya akiwa na babu

Bibi na Babu walisafiri wakielekea kwa mtoto wao ambae hawajamuona zamani.<... Read More

Njia nne za kufikisha Habari kwa haraka

Njia nne za kufikisha Habari kwa haraka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Eti kuna mkaka alitembelewa na mama yake mzazi. Wakiwa sebuleni yeye, mama na mke wake, mke wake ... Read More

๐Ÿ“– Explore More Articles