Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Featured Image

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "naitwa Juma nimepiga simu kutangaza kuwa nimeokota wallet ndani ina laki7, ATM card na karatasi yenye PIN ya ATM card na kijimfuko cha dhahabu" Mtangazaji akasema, kwa hiyo ungependa kumrudishia mwenyewe kama anakusikiliza? Jamaa akajibu; hapana, ninaomba kumuombea dedication wimbo wa R.Kelly usemao "U SAVED ME" umfikie popote alipo!!

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Shabani (Guest) on December 11, 2021

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Henry Sokoine (Guest) on December 8, 2021

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on December 8, 2021

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

George Mallya (Guest) on December 6, 2021

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Isaac Kiptoo (Guest) on November 29, 2021

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Kevin Maina (Guest) on November 27, 2021

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Chris Okello (Guest) on November 18, 2021

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Linda Karimi (Guest) on November 17, 2021

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Simon Kiprono (Guest) on November 6, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Rose Kiwanga (Guest) on November 4, 2021

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Joseph Kiwanga (Guest) on October 8, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Zubeida (Guest) on October 2, 2021

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Anna Kibwana (Guest) on September 29, 2021

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

David Nyerere (Guest) on September 9, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Wilson Ombati (Guest) on August 14, 2021

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

James Mduma (Guest) on July 31, 2021

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Jamal (Guest) on July 24, 2021

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Nora Lowassa (Guest) on July 21, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Patrick Mutua (Guest) on July 3, 2021

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Elizabeth Mtei (Guest) on June 21, 2021

πŸ˜‚πŸ‘Œ

John Lissu (Guest) on June 7, 2021

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Rose Lowassa (Guest) on June 1, 2021

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Rose Amukowa (Guest) on May 12, 2021

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Amina (Guest) on April 17, 2021

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Mashaka (Guest) on April 17, 2021

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Rose Kiwanga (Guest) on April 13, 2021

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Rehema (Guest) on February 12, 2021

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Francis Mrope (Guest) on February 4, 2021

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Richard Mulwa (Guest) on January 29, 2021

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Ruth Mtangi (Guest) on January 12, 2021

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Mary Kendi (Guest) on December 15, 2020

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Ruth Mtangi (Guest) on November 17, 2020

πŸ˜‚ Kali sana!

Frank Sokoine (Guest) on November 16, 2020

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Ann Wambui (Guest) on November 15, 2020

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Agnes Sumaye (Guest) on October 28, 2020

πŸ˜… Bado ninacheka!

Linda Karimi (Guest) on October 12, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Grace Wairimu (Guest) on October 9, 2020

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Agnes Sumaye (Guest) on October 3, 2020

🀣πŸ”₯😊

David Nyerere (Guest) on September 12, 2020

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Victor Kimario (Guest) on September 1, 2020

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Raphael Okoth (Guest) on August 26, 2020

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Victor Mwalimu (Guest) on August 1, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Joseph Kawawa (Guest) on August 1, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Mchawi (Guest) on July 31, 2020

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Edith Cherotich (Guest) on July 25, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Nancy Kabura (Guest) on June 21, 2020

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Maimuna (Guest) on May 19, 2020

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Esther Nyambura (Guest) on May 11, 2020

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Samson Mahiga (Guest) on April 25, 2020

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Frank Macha (Guest) on April 25, 2020

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Alice Mrema (Guest) on April 6, 2020

Asante Ackyshine

Alice Jebet (Guest) on March 26, 2020

😊🀣πŸ”₯

Fadhila (Guest) on March 19, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Fredrick Mutiso (Guest) on March 17, 2020

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Richard Mulwa (Guest) on March 7, 2020

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Alex Nakitare (Guest) on February 28, 2020

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Grace Minja (Guest) on February 26, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Mariam Hassan (Guest) on February 11, 2020

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Frank Macha (Guest) on January 29, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Kiza (Guest) on January 7, 2020

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Related Posts

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

Tofauti kati ya mwanamke na mwanamme

UTOFAUTI KATI YA MWANAMKE NA MWANAUME
1. Kwenye mshituko; mwanaume hushituka halafu huangali... Read More

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee moja alikuwa kila usiku anapita mbele ya bank anasimama,kisha anapiga honi,akitoka askari ml... Read More

Kuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya

Kuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya

Et

Umexhawah kuwa single had ukaamua kununua viatu vya kike kix... Read More

Angalia nilichomjibu huyu kuhusu kabila langu

Angalia nilichomjibu huyu kuhusu kabila langu

Kuna mtu kanikeraΒ et nmemkubalia urafiki Leo tuΒ Faceb... Read More

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

JAMAA: Baba Padri nimekuja kuungama
PADRI: Haya
JAMAA: Niliiba kamba
PADRI: Kamba?... Read More

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

JAMAA alimuaga mke wake mlokole kuwa anaenda semina ya siku tatu, kumbe anakwenda kwa bi mdogo. Mke... Read More
Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Jamani punguzeni pombe,kuna jirani yangu amerudi amelewa sasa nachungulia dirishani naona anagong... Read More

Cheki huyu mtoto anachosema

Cheki huyu mtoto anachosema

sijui hili toto langu nilipeleke wapi, Leo limetoka shule eti nikaliuliza BIBILIA kwa kingereza i... Read More

Hii mitoto mingine mijinga, cheki alichokifanya huyu

Hii mitoto mingine mijinga, cheki alichokifanya huyu

Nimeamka asubuhi nikiwa na elfu 1 tu mfukoni, nikamtuma mtoto wa jirani akaninunulie maa... Read More

Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Pale unapokuwa umefulia sana…

Mgeni anakutembelea Maskani kwako….Unaamua Kuchukua Ile S... Read More

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Eti kuna mkaka alitembelewa na mama yake mzazi. Wakiwa sebuleni yeye, mama na mke wake, mke wake ... Read More

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka ule ambapo nilipeleka barua ya maombi yangu ya kazi kwenye kampuni moja ... Read More