Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Featured Image

Mzee moja alikuwa kila usiku anapita mbele ya bank anasimama,kisha anapiga honi,akitoka askari mlinzi,anaondoka.Hilo jambo likamkera sana askari mlinzi, askari akawa na mvizia yule mzee wa kichaga ,siku alipokuja tena akamkamata, akamuuliza kwa nini unakuja unapiga honi kisha unakimbia? Mzee akasema: Haki ya mungu babaangu , Nina pesa zangu ktk account hapa bank naogopa usilale usingizi ndo maana kila siku usiku napita kukuangalia kama umelala!!
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Francis Njeru (Guest) on July 14, 2024

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Lydia Wanyama (Guest) on July 12, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Jane Muthoni (Guest) on June 22, 2024

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Violet Mumo (Guest) on June 21, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Sekela (Guest) on May 29, 2024

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Linda Karimi (Guest) on May 14, 2024

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Wande (Guest) on May 3, 2024

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Victor Mwalimu (Guest) on April 29, 2024

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Stephen Amollo (Guest) on March 25, 2024

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Rahma (Guest) on February 18, 2024

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on January 30, 2024

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Rose Waithera (Guest) on January 11, 2024

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Sarah Mbise (Guest) on January 6, 2024

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Violet Mumo (Guest) on December 8, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

George Ndungu (Guest) on December 3, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

Raha (Guest) on December 1, 2023

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Margaret Mahiga (Guest) on November 20, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Stephen Kangethe (Guest) on November 11, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

David Sokoine (Guest) on October 25, 2023

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Anna Malela (Guest) on October 11, 2023

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Abdullah (Guest) on September 21, 2023

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Brian Karanja (Guest) on September 15, 2023

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

James Mduma (Guest) on September 12, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

John Mwangi (Guest) on August 22, 2023

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Sarah Mbise (Guest) on August 15, 2023

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Anna Malela (Guest) on August 12, 2023

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Juma (Guest) on August 9, 2023

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Samuel Omondi (Guest) on August 6, 2023

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Patrick Kidata (Guest) on July 22, 2023

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Alice Mwikali (Guest) on July 2, 2023

πŸ˜† Kali sana!

Peter Tibaijuka (Guest) on June 24, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Grace Minja (Guest) on June 11, 2023

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Lucy Kimotho (Guest) on April 26, 2023

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Betty Kimaro (Guest) on April 5, 2023

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Abubakar (Guest) on March 25, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Jane Muthoni (Guest) on March 23, 2023

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Brian Karanja (Guest) on February 28, 2023

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Esther Cheruiyot (Guest) on January 29, 2023

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Moses Mwita (Guest) on January 24, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

John Kamande (Guest) on January 15, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Alex Nakitare (Guest) on January 4, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Faith Kariuki (Guest) on December 20, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Makame (Guest) on November 24, 2022

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Grace Njuguna (Guest) on October 18, 2022

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Nancy Komba (Guest) on September 22, 2022

πŸ˜‚πŸ€£

Kevin Maina (Guest) on August 27, 2022

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Michael Mboya (Guest) on August 20, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Joseph Kiwanga (Guest) on July 13, 2022

πŸ˜‚ Kali sana!

Victor Mwalimu (Guest) on July 9, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Tambwe (Guest) on July 3, 2022

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Fadhili (Guest) on June 23, 2022

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Patrick Akech (Guest) on June 23, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Samuel Omondi (Guest) on June 17, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Robert Ndunguru (Guest) on June 6, 2022

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Ann Awino (Guest) on June 2, 2022

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Maneno (Guest) on May 14, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Jane Malecela (Guest) on May 5, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Mwagonda (Guest) on April 12, 2022

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Stephen Amollo (Guest) on March 17, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on February 24, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

Related Posts

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

John aliruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na n... Read More
Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Pale unapozamia kwenye Dinner Party ya Jumuiya Fulani, sasa Lengo la Jumuiya hiyo ni kupata Fedha... Read More

Upendo wa kweli ni nini?

Upendo wa kweli ni nini?

*Upendo wa kweli ni nini?*
*πŸ‘‰Upendo wa kweli ni pale mwanaume anapomfumania mwanamke wake... Read More

Raha ya kuoa kijijini

Raha ya kuoa kijijini

Kuoa vijijini raha sana Hata ukiulizwa unafanya kazi gani ukiwaambia mimi ni admin basi ... Read More

Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Angalia kilichotokea Walevi wawili waliokota kioo, mlevi wa 1 akaangalia muda mrefu kisha akasema "... Read More
Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Badala yakupika PILAU tutapika TAMBI kwenye Xmas maana tutakua tumeokoa sh.15,000/= Vitunguu swa... Read More

Wazo la asubuh - penzi la kuku

Wazo la asubuh - penzi la kuku

Wazo la asubui

πŸ™ˆPenzi la kuku sekunde 2 ila vifaranga kibao.Lakini binadamu masaa kib... Read More

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Tukiwa kanisani mdada alikuwa amelala , akaamka akasikia Pastor anasema
" SIMAMA"
Yule ... Read More

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

BABA OYEEEEEEπŸ’ͺπŸ’ͺ
Soma hii…

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mar... Read More

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mara akamuona MVULANAfrien... Read More

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Baada ya kumaliza Degree yake ya sheria Bwana Rwegashora aliamua kurudi nyu... Read More

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Shikamoo kingereza..!

Baada ya kufika Kempiski nikaona menu imeandikwa:

Saute... Read More

πŸ“– Explore More Articles