Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

Featured Image
JAMAA alimuaga mke wake mlokole kuwa anaenda semina ya siku tatu, kumbe anakwenda kwa bi mdogo. Mke akamwambia mumewe; "Tupige magoti tusali", Wakapiga magoti…: MKE: Eee baba msaidie mume wangu afike salama safari yake. MUME: Emen… MKE: Mpe nguvu katika yote atakayoyafanya huko. MUME: Emen… MKE: Akitaka kufanya uasherati ashindwe. MUME: Kimya… MKE: Akifanya uasherati apatwe na janga baya kwa uwezo wako bwana. MUME: …….!! MKE: Yaani akifanya uasherati afie hukohuko kwa mateso makali. MUME: Maombi gani sasa hayo!!?. Haya basi siendi semina ufurahi wewe. Chezea mawaifu walokole wewe!
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Ndoto (Guest) on July 16, 2024

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Lucy Kimotho (Guest) on June 19, 2024

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Edward Chepkoech (Guest) on May 22, 2024

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Francis Mrope (Guest) on May 7, 2024

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Issa (Guest) on April 12, 2024

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Janet Sumaye (Guest) on March 15, 2024

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Kazija (Guest) on March 9, 2024

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Paul Kamau (Guest) on March 5, 2024

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Robert Okello (Guest) on February 14, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

David Kawawa (Guest) on December 20, 2023

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Stephen Malecela (Guest) on December 16, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚

Joyce Nkya (Guest) on December 7, 2023

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Tabitha Okumu (Guest) on December 4, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Rahim (Guest) on November 4, 2023

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Ruth Wanjiku (Guest) on October 29, 2023

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Lucy Kimotho (Guest) on October 16, 2023

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Masika (Guest) on September 30, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Susan Wangari (Guest) on August 23, 2023

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Vincent Mwangangi (Guest) on August 3, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

John Mwangi (Guest) on July 30, 2023

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Andrew Mchome (Guest) on July 29, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Victor Mwalimu (Guest) on July 6, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on July 5, 2023

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Stephen Kangethe (Guest) on May 30, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on May 29, 2023

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Dorothy Nkya (Guest) on May 22, 2023

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Rabia (Guest) on May 14, 2023

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Ruth Kibona (Guest) on May 12, 2023

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Janet Wambura (Guest) on April 26, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Thomas Mtaki (Guest) on April 25, 2023

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Lucy Mushi (Guest) on April 23, 2023

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on April 17, 2023

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Grace Minja (Guest) on April 1, 2023

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Joyce Nkya (Guest) on March 24, 2023

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Grace Mligo (Guest) on February 20, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Dorothy Mwakalindile (Guest) on February 13, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

Nora Lowassa (Guest) on January 23, 2023

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Violet Mumo (Guest) on January 18, 2023

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Nora Kidata (Guest) on January 5, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Isaac Kiptoo (Guest) on December 7, 2022

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Jane Muthui (Guest) on October 25, 2022

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Rose Lowassa (Guest) on October 14, 2022

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Betty Akinyi (Guest) on September 26, 2022

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on September 11, 2022

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Grace Majaliwa (Guest) on August 18, 2022

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Robert Okello (Guest) on August 15, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Kendi (Guest) on August 14, 2022

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

George Mallya (Guest) on August 2, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Abdullah (Guest) on July 23, 2022

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Rahma (Guest) on July 20, 2022

Asante Ackyshine

Henry Mollel (Guest) on July 6, 2022

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Joseph Kawawa (Guest) on June 22, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Peter Mugendi (Guest) on May 18, 2022

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Elizabeth Mrema (Guest) on May 9, 2022

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Carol Nyakio (Guest) on April 8, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Carol Nyakio (Guest) on March 28, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Agnes Sumaye (Guest) on December 3, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Dorothy Nkya (Guest) on December 2, 2021

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Stephen Malecela (Guest) on November 23, 2021

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Michael Onyango (Guest) on November 15, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Related Posts

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Eti kati ya MAMBA na KIBOKO nani kiboko???😜😜😜😜... Read More

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Leo nimepulizia Air Fresh yenye Harufu ya Pilau nyumbani kwangu sasa watoto wa Jirani wamehamia ... Read More

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More
Duh. mjamzito ana kazi

Duh. mjamzito ana kazi

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ukimuona mjamzito katema mate ujue mtoto kajamba

... Read More
Angalia anachokisema Madenge sasa

Angalia anachokisema Madenge sasa

MWALIMU kaingia darasani na kusema. "Wanaojijua wajinga wasimame".

MADENGE akasimama peke y... Read More

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Hakuna m2 mwenye ndugu wengi kama konda wa daladala.

Utasikia,
"HAYA, DADA HAPO MBELE,... Read More

Status za Whatsapp za Wazungu na Wabongo

Status za Whatsapp za Wazungu na Wabongo

STATUS ZA WAZUNGU kwenye Whatsapp vere vere kliaaa…
πŸ‘‰sick
πŸ‘‰at movie
Β... Read More

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

CHEKA KIDOGO
Majambaz waliliteka gar moja lililokua limeshehen abiria
Baada ya abiria k... Read More

Mimi ndio nimeelewa hivi!

Mimi ndio nimeelewa hivi!

Leo nimepishana na Vitz imeandikwa, "Never trust women"

Nikajua huyu mtu lazima alikuaga... Read More

Cheki kilichompata huyu dada!!

Cheki kilichompata huyu dada!!

NDOA inafungwa KANISANI Mchungaji akauliza-Yeyote mwenye Pingamizi La Ndoa hii kufungwa aje Mbel... Read More

Faida 3 za uvutaji wa sigara

Faida 3 za uvutaji wa sigara

Ni hizi

1. Mvuta sigara hazeeki
2. Mvuta sigara haumwi na mbwa
3. Mvuta sigara ny... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About