Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Featured Image

Pale unapokuwa umefulia sana…

Mgeni anakutembelea Maskani kwako….Unaamua Kuchukua Ile Sh 600 iliyobaki na kwenda Dukani Kumnunulia Soda Unaondoka na Chupa Mbili Unanunua Fanta Moja kwaajil ya Mgeni na Ile Chupa ya Sprite Unaijaza Maji ili Ukirudi Uweze kumpa Kampani Mgeni……Unafika Seblen Unampa Ile soda ya Fanta Mgeni anakuambia Fanta huwa situmii Nipe hiyo sprite …..Bwana….Bwana. …Bwana….Weee πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Dorothy Mwakalindile (Guest) on June 1, 2024

🀣 Sikutarajia hiyo!

Rose Amukowa (Guest) on May 30, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Issa (Guest) on April 30, 2024

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Ann Wambui (Guest) on April 7, 2024

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Patrick Akech (Guest) on March 29, 2024

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Nashon (Guest) on March 29, 2024

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Edith Cherotich (Guest) on February 11, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Alex Nakitare (Guest) on January 29, 2024

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Sharifa (Guest) on January 8, 2024

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Elizabeth Mtei (Guest) on November 24, 2023

πŸ˜‚πŸ˜†

Charles Mrope (Guest) on November 20, 2023

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Margaret Anyango (Guest) on November 11, 2023

🀣 Sikutarajia hiyo!

Rose Kiwanga (Guest) on November 4, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Mary Sokoine (Guest) on October 31, 2023

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Dorothy Nkya (Guest) on October 20, 2023

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Rose Amukowa (Guest) on October 14, 2023

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Andrew Mahiga (Guest) on October 12, 2023

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

James Kawawa (Guest) on October 10, 2023

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Joseph Kitine (Guest) on October 3, 2023

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Joseph Kitine (Guest) on September 29, 2023

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Salima (Guest) on September 24, 2023

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Lucy Wangui (Guest) on September 23, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Stephen Kikwete (Guest) on September 22, 2023

πŸ˜† Hiyo punchline!

Betty Akinyi (Guest) on August 12, 2023

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Grace Njuguna (Guest) on July 25, 2023

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on July 19, 2023

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Wilson Ombati (Guest) on July 2, 2023

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Catherine Naliaka (Guest) on June 7, 2023

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Mariam Kawawa (Guest) on May 22, 2023

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Peter Otieno (Guest) on April 23, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Elizabeth Malima (Guest) on March 25, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Lydia Mutheu (Guest) on March 23, 2023

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Elizabeth Mrope (Guest) on March 6, 2023

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Martin Otieno (Guest) on March 5, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Grace Mushi (Guest) on February 26, 2023

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Esther Cheruiyot (Guest) on February 13, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Elizabeth Malima (Guest) on February 11, 2023

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Joyce Mussa (Guest) on February 9, 2023

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Wande (Guest) on January 8, 2023

πŸ˜… Bado ninacheka!

Yahya (Guest) on December 8, 2022

😁 Kicheko bora ya siku!

Samuel Omondi (Guest) on November 9, 2022

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Emily Chepngeno (Guest) on October 31, 2022

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Sarah Karani (Guest) on September 23, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Henry Mollel (Guest) on August 29, 2022

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Andrew Mahiga (Guest) on August 28, 2022

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Farida (Guest) on August 25, 2022

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Jane Muthui (Guest) on August 6, 2022

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Amir (Guest) on July 17, 2022

πŸ˜… Nilihitaji hii!

James Kimani (Guest) on July 14, 2022

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Rehema (Guest) on July 9, 2022

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Safiya (Guest) on July 3, 2022

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Zainab (Guest) on June 20, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Lucy Mahiga (Guest) on May 23, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

John Mushi (Guest) on April 23, 2022

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Lydia Mzindakaya (Guest) on April 6, 2022

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Fredrick Mutiso (Guest) on March 31, 2022

πŸ˜‚πŸ˜…

Mary Sokoine (Guest) on March 17, 2022

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

James Kimani (Guest) on March 1, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Joyce Aoko (Guest) on February 28, 2022

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Richard Mulwa (Guest) on February 26, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Related Posts

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Leo nimepulizia Air Fresh yenye Harufu ya Pilau nyumbani kwangu sasa watoto wa Jirani wamehamia ... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Angalia nilivyomkomoa huyu dogo

Kuna mtoto wa jirani ananibore sana kila nkimtuma kitu dukani lazima aonje,

... Read More
Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "Naitwa John nimepiga s... Read More
Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Haya mawazo ya huyu Mtu kuhusu Shetani ni kiboko

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Kuna washikaji walikuwa wakivuta bangi… kiberiti kikawaishia… wakamtuma mwenzao akatafute ki... Read More

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Jamaa mmoja dereva wa bajaji alianguka, sasa bajaji ikawa imem'bana akawa anafurukuta bil... Read More

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Mlevi mmoja aliona wananchi wakipiga mwizi akawaambia "mwacheni msimpige, hii tabia yenu ya kupi... Read More

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Eti kuna mkaka alitembelewa na mama yake mzazi. Wakiwa sebuleni yeye, mama na mke wake, mke wake ... Read More

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishani kama hii

Hakuna siku mbaya maishan kuona mtu uliyesoma naye darasa moja, anakupita na private car,, afu w... Read More

Chezea paka wewe, Angalia kilichomkuta huyu na paka wake

Chezea paka wewe, Angalia kilichomkuta huyu na paka wake

Jamaa alichukua paka wake na kwenda kumtupa
mbal,aliporudi nyumban alimkuta paka
amekwi... Read More

Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Baada ya walevi wawili kuokota kioo hiki ndicho kilifuata

Angalia kilichotokea Walevi wawili waliokota kioo, mlevi wa 1 akaangalia muda mrefu kisha akasema "... Read More
πŸ“– Explore More Articles