Katika miezi sita ya mwanzo baada ya kujifungua, mwanamke anayenyonyesha mtoto anapata kinga ya mimba kwa asilimia kubwa. Lakini i i inabidi mama anyonyeshe mtoto kwa kipindi kirefu (muda wote mtoto awe ananyonya maziwa ya mama tu na anyonye kila anapohitaji) na vilevile mama awe hajaanza kupata hedhi yake. Kama mama ameanza kupata hedhi yake au kama anampa mtoto chakula kingine, anaweza kupata mimba tena. Kwa hivyo, anashauriwa kutumia njia za kupanga uzazi i i ili kuzuia mimba za mfululizo.
Mama anayenyonyesha mtoto anaweza kupata mimba?
Date: April 16, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Comments
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Jinsi ya Kukabiliana na Ushinikizaji wa Kufanya Ngono kabla ya Wakati
Jinsi ya Kukabiliana na Ushinikizaji wa Kufanya Ngono kabla ya Wakati
Karibu vijana wapend... Read More
Je, nini imani ya watu katika kufanya mazoezi ya kujenga ujasiri wakati wa ngono/kufanya mapenzi?
Leo tutazungumzia jambo la muhimu sana, ambalo ni kujenga ujasiri wakati wa ngono. Hivi karibuni,... Read More
Jinsi ya Kutambua Ishara za Upendo kutoka kwa Msichana
Upendo ni hisia ambazo zinafanya maisha kuwa na maana zaidi. Kila mtu anapaswa kupata upendo, na ... Read More
Je, watu wanaamini nini katika kuongeza mchezo wa hisia wakati wa ngono/kufanya mapenzi?
Je, watu wanaamini nini katika kuongeza mchezo wa hisia wakati wa ngono/kufanya mapenzi? Kufanya ... Read More
Je, kuna umuhimu wa kujadili masuala ya hisia na utambuzi katika uhusiano wa ngono/kufanya mapenzi?
Habari rafiki yangu! Leo tuzungumzie suala muhimu sana ambalo linapaswa kujadiliwa katika uhusian... Read More
Njia za Kujenga Uwezo wa Kusamehe na Msichana katika Uhusiano
Njia za Kujenga Uwezo wa Kusamehe na Msichana katika Uhusiano
Uhusiano ni kitu kizuri sana... Read More
Je, ni sahihi kuzungumza na wenzio/ marafiki juu ya uhusiano wangu wa kimapenzi?
Kama unavyohusisha rafiki zako katika mihemuko mingine, inaeleweka kama utataka kuwashirikisha ka... Read More
Je, ni muhimu kwa washiriki wote kufikia kilele wakati wa ngono/kufanya mapenzi?
Je, ni muhimu kwa washiriki wote kufikia kilele wakati wa ngono/kufanya mapenzi?
Wakati wa... Read More
Kwa nini watu wanakuwa wagomvi na wakali wanapokuwa wamelewa?
Madhara ya pombe husababisha watu walioolewa kugombana.
Kutokana na ushawishi wa pombe watu ...
Read More
Nini maana ya neno Albino?
Vidokezo vya Kutafuta Tarehe ya Muda Mrefu na Msichana
Leo hii tutazungumzia kuhusu masuala ya kutafuta tarehe ya muda mrefu na msichana. Inawezekana um... Read More
Nifanyeje Kuzungumza na Mwenzi Wangu kuhusu Matumizi ya Vipira (IUD)?
Nifanyeje Kuzungumza na Mwenzi Wangu kuhusu Matumizi ya Vipira (IUD)?
Karibu sana! Leo tut... Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!