Kuna i imani potofu kwamba wote wenye matatizo ya akili wamekuwa hivyo kutokana na matumizi ya dawa za kulevya. Hii siyo kweli. Lakini dawa za kulevya nyingine huleta ulemavu wa akili. Hizi ni zile zii twazo vichagamsho kama kokaini na mirungi. Pale zitumiwapo kwa viwango vikubwa mtu huchanganyikiwa kwa muda wa siku chache au wiki nzima. Hii hutokea pia kwa bangi.
Je, watu huchanganyikiwa baada ya matumizi ya dawa za kulevya?
Date: April 17, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Comments
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Madhara ya pombe kwa mwili na akili
Pombe huingia kwenye damu na kuzunguka mwili mzima pamoja
na kwenye ubongo wako. Ina madhara...
Read More
Hatua gani zichukuliwe dhidi ya wanaowakeketa au kuwachezea unyago Albino juani?
Swali hili linaonyesha mambo mawili ambayo ni mabaya. Jambo
la kwanza ni ukeketaji ambao ni ...
Read More
Mahusiano ya kimapenzi kati ya msichana mwenye umri mdogo na watu wazima
Inawezekana kwa msichana mdogo kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mwanaume mwenye umri mkubwa. Hata... Read More
Jinsi ya Kupanga Tarehe ya Kipekee na Msichana Wako
Jinsi ya Kupanga Tarehe ya Kipekee na Msichana Wako
Kupanga tarehe ya kipekee na msichana ... Read More
Njia za Kuwa na Mazungumzo ya Kujenga na Msichana
Njia za Kuwa na Mazungumzo ya Kujenga na Msichana
Mawasiliano ni muhimu katika kila uhusia... Read More
Je, watu wanaoishi na hali ya ualbino wanaweza kuzaa watoto wangapi?
Kwa vile Albino hana tofauti na watu wengine inopokuja
kwenye suala la idadi ya watoto wa ku...
Read More
Mafuta kwenye kondomu
Mafuta yanayowekwa kwenye pakiti ya kondomu ni mafuta maalum na yana kazi ya kuhifadhi kondomu mp... Read More
Je, unyenyekevu una jukumu muhimu katika uhusiano wa ngono/kufanya mapenzi?
Je, unyenyekevu una jukumu muhimu katika uhusiano wa ngono/kufanya mapenzi?
Kwa wengi, ngo... Read More
Jinsi ya Kuonyesha Ukarimu kwa Msichana Wako
Habari za leo! Leo nataka kuzungumza juu ya jinsi ya kuonyesha ukarimu kwa msichana wako. Kama mw... Read More
Njia za Kujenga Ushirikiano na Msichana katika Malengo ya Pamoja
Kuwashirikisha wasichana katika malengo ya pamoja ni jambo muhimu sana katika jamii yetu. Wasicha... Read More
Ushauri kwa mtu aliyebakwa
Jambo la kwanza jaribu kumwondoa hofu mwathiriwa na
muliwaze maana amepata jambo la kutisha....
Read More
Je, Ni Sahihi Kuanza Kujihusisha na Ngono nikiwa na Mpenzi Wangu?
Je, Ni Sahihi Kuanza Kujihusisha na Ngono nikiwa na Mpenzi Wangu? π€
Jambo zuri kujiuliz... Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!