Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

Featured Image

1. Maswali haya je una majibi? JIBU KISHA NITUMIE MAJIBU![mtihani wa maarifa ya dunia]
1. Kama hela haioti kwny miti, kwnn bank zina matawi?
2. Kwnn gundi haigandi kwenye chupa yake?
3. Kama tunatakiwa tusi-drive wkt tumekunywa, kwnn bar kuna parking?
4. Kama neno abbreviation linamaanisha ufupisho, kwnn lenyewe ni refu hvo?
5. Kama tunatakiwa kufanya sex ndani ya ndoa 2, kwnn tunabalehe kabla ya kufunga ndoa? Kazi kwako…



2.Taxi Mwanamke aliingia kwnye tax akiwa hana nguo,km alivyozaliwa!Dereva akawa anamshangaa,mwanamke akamuuliza hujawahi kuona uchi au! Dereva akajibu.ninachoshangaa c uchi wako,najiuliza pesa ya kunilipa utakuwa umeiweka wapi?


3.Siri Baba: mwanangu, enhe shika hii 500Tsh usimuambie mama yako kuwa nimelala na housegirl. Mtoto: sitaki, tatizo we baba ni mbahiri sana mwenzio mama akilala na dereva ananipaga 1,000Tsh.


4.Tendo la ndoa TENDO LA NDOA LINAVYOOMBWA:

WAMASAI: Mama Yeyo nipe ile kitu namesa mwensake

WAHAYA: Mama Koku infacti njoo tuperform

WACHAGA: Mama Manka Fungua Kibubu nitupe shilingi

WAPEMBA: Mama Ali panua paja mti waja!

WAZARAMO(hamna tafsida)andaa k*#, m*$$ yaja


5.Short na Long Call Kama haja ndogo ni ''short call'' Haja kubwa ni "long call" Basi kujamba iitwe "missed call"


6.Heshima Mtoto kaona nyeti ya baba yake, Akauliza "nini hii"? Baba,akajibu "ni Heshima", kesho yake wakaja wageni, baba akamwambia mtoto, "toa heshima kwa wageni", mtoto akatoa Nyeti yake, akaonesha, wageni wakashangaa! mtoto akasema "mnashangaa haka kadogo, baba anayo heshima kubwaaa……!


7.Kurudi shule Mtoto kamuuliza babake; " Eti baba, Unataka kuanza tena shule? Baba akauliza: "kwa nini Umeuliza hivyo? Mtoto akamwambia: Jana uthiku, nilickia ukimnong'oneza mama" Eti, kama anapenda, Muende la pili..! " Hivi Baba mimi niko la nne wewe na mama itakuwaje mwende la pili? Uthikubali hata kdogo"


8.Mchaga. Mchaga alipata ajali alipozinduka pale hospitali akauliza "nipo wapi hapa?" Nesi akajibu,"umepata ajali, hapa upo hospitali. Bahati mbaya umekatika mkono." Mgonjwa: Na je saa yangu ipo wapi ya Rolex? Ipo mzee, nesi alijibu. Nesi: Mkeo na watoto wapo hapa kukufariji. Mgonjwa: Yeuwi… Wamefunga duka?


9. Kimombo na sms Jamaa katumiwa msg na dem wake,kutokana na urefu wa msg ikashindwa kufika yote mwishoni ikaandika'some text missing'jamaa kizungu hajui hivyo maneno ya mwisho hakuelewa maana yake lkn akahisi litakuwa neno la kimahaba,kusudi aonekane mjanja akajibu, "some text missing too dear"


10.Vibweka vya housegirl Mama mwenye nyumba "jamani nyie watoto wa nyumba hii, vijiti vya meno nimeleta juzi tu leo vimeisha?" Ndipo hoousgirl akadakia na kusema "mama mimi simo humo maana kila nikitumia nikimaliza tu navirudishiaga humo humo."

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Edward Chepkoech (Guest) on July 11, 2024

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Guest (Guest) on March 12, 2026

Uwakika

Guest (Guest) on March 4, 2026

Vunja mbavu za madenge

D2 (User) on March 12, 2026

Unazihitaji?

Guest (Guest) on March 30, 2026

MON

Ann Wambui (Guest) on July 7, 2024

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

David Chacha (Guest) on July 2, 2024

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Guest (Guest) on March 19, 2026

Cheka

Agnes Lowassa (Guest) on July 1, 2024

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Sarah Achieng (Guest) on July 1, 2024

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Peter Mwambui (Guest) on June 22, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Daudi (Guest) on May 21, 2024

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Nora Lowassa (Guest) on May 9, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Arifa (Guest) on April 15, 2024

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Anna Mchome (Guest) on April 9, 2024

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Elizabeth Mtei (Guest) on April 5, 2024

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Mwafirika (Guest) on March 12, 2024

🀣 Hii imenigonga vizuri!

George Ndungu (Guest) on February 24, 2024

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Yahya (Guest) on January 14, 2024

πŸ˜„ Kichekesho gani!

George Ndungu (Guest) on December 23, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Lucy Mushi (Guest) on November 16, 2023

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Monica Adhiambo (Guest) on November 5, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Joyce Nkya (Guest) on October 31, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Kahina (Guest) on October 21, 2023

πŸ˜† Bado nacheka!

Margaret Mahiga (Guest) on October 7, 2023

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Charles Mboje (Guest) on September 25, 2023

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Shani (Guest) on September 22, 2023

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Moses Kipkemboi (Guest) on August 22, 2023

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Dorothy Nkya (Guest) on July 29, 2023

πŸ˜‚ Kali sana!

Josephine Nekesa (Guest) on June 6, 2023

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Mercy Atieno (Guest) on June 3, 2023

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Simon Kiprono (Guest) on May 23, 2023

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Joseph Kitine (Guest) on May 16, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Raphael Okoth (Guest) on March 21, 2023

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Stephen Amollo (Guest) on March 14, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Samson Tibaijuka (Guest) on March 12, 2023

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Arifa (Guest) on February 2, 2023

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

John Kamande (Guest) on January 19, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Agnes Lowassa (Guest) on December 21, 2022

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Nora Lowassa (Guest) on December 5, 2022

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Raphael Okoth (Guest) on December 5, 2022

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Elizabeth Mrema (Guest) on November 20, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

John Mwangi (Guest) on October 24, 2022

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Ann Wambui (Guest) on October 2, 2022

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Michael Mboya (Guest) on September 26, 2022

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on September 2, 2022

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Paul Kamau (Guest) on August 15, 2022

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Grace Minja (Guest) on August 9, 2022

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Stephen Mushi (Guest) on July 11, 2022

πŸ˜… Bado ninacheka!

Nora Lowassa (Guest) on July 3, 2022

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Anna Sumari (Guest) on June 26, 2022

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Rose Amukowa (Guest) on June 25, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Tambwe (Guest) on June 15, 2022

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Mtumwa (Guest) on June 12, 2022

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Mjaka (Guest) on June 8, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Rose Kiwanga (Guest) on June 2, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Mary Sokoine (Guest) on May 30, 2022

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Kevin Maina (Guest) on May 26, 2022

πŸ˜‚πŸ€£

Andrew Odhiambo (Guest) on April 22, 2022

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Miriam Mchome (Guest) on March 21, 2022

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Related Posts

Kuwa na Binti aliyeacha shule

Kuwa na Binti aliyeacha shule

Kuwa na binti aliyeacha shule ni BALAA.

Anaweza kukuacha kwa s... Read More

Duh, hii sasa kazi

Duh, hii sasa kazi

Wakati unafikiria dingi yako afe ili urithi nyumba, dingi nae anafikiria uanze kufa ili apangishe... Read More

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Padri alikuwa amekaa katika confession booth kanisani
peke yake.
Mara... Read More

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Nimekutana na dogo mmoja hivi hapa analia,namuliza analia nin??ananambia ''ALIPEWA MIA TANO ZIPO... Read More

Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi

Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi

JE, una KITAMBI na unataka kukiondoa?

FANYA HAYA;

1. Kopa mkopo mkubwa benkiRead More

Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Jamani punguzeni pombe,kuna jirani yangu amerudi amelewa sasa nachungulia dirishani naona anagong... Read More

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

BABA MWEUSI
MAMA MWEUSI

na ww walikuzaa mweusi lakini umefikisha miaka 20 umeanza kua ... Read More

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamilia….Je sungur... Read More

Soma hii, Nani haelewi kati ya hawa?

Soma hii, Nani haelewi kati ya hawa?

Dogo: Bro naomba nitumie hela.