Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Featured Image

Hakuna m2 mwenye ndugu wengi kama konda wa daladala.

Utasikia,
"HAYA, DADA HAPO MBELE, MJOMBA KULE MWISHO.
MA-MDOGO UNAENDA?,
NGOJA ASHUKE BIBI.
HAYA SHEMEJI UMEIKUTA YA KUWAH.
Babu njoo ukae!
Baba angu hapo tusogee kidogo,

Shangazi maliza ngazi,
Swaiba geukia mbele,
Kaka hapo shika upande wa pili,
Mdogo wangu mpishe Ma Mkwe akae.
Subiri Shemeji yako apande…

Duh… makonda noma…!!

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Frank Sokoine (Guest) on June 27, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Guest (Guest) on December 7, 2025

Shamtoi

Susan Wangari (Guest) on June 8, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joseph Kiwanga (Guest) on June 3, 2024

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Mary Njeri (Guest) on May 19, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Ruth Wanjiku (Guest) on May 2, 2024

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Thomas Mwakalindile (Guest) on April 16, 2024

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Betty Akinyi (Guest) on April 9, 2024

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Shani (Guest) on March 18, 2024

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Salum (Guest) on February 18, 2024

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Jackson Makori (Guest) on December 7, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Husna (Guest) on December 5, 2023

πŸ˜„ Kichekesho gani!

John Mushi (Guest) on December 1, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Charles Mboje (Guest) on November 23, 2023

🀣πŸ”₯😊

Victor Sokoine (Guest) on September 23, 2023

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Safiya (Guest) on September 1, 2023

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Betty Akinyi (Guest) on August 29, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Stephen Kikwete (Guest) on August 26, 2023

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Michael Mboya (Guest) on August 1, 2023

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Susan Wangari (Guest) on July 30, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Samson Tibaijuka (Guest) on July 5, 2023

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Mary Njeri (Guest) on June 27, 2023

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Paul Ndomba (Guest) on June 9, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Elizabeth Mrope (Guest) on June 7, 2023

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Nahida (Guest) on June 5, 2023

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Joseph Kiwanga (Guest) on May 30, 2023

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Abubakari (Guest) on May 22, 2023

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Samuel Omondi (Guest) on May 4, 2023

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Ruth Kibona (Guest) on April 17, 2023

😁 Kicheko bora ya siku!

Daniel Obura (Guest) on April 15, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Grace Mligo (Guest) on April 12, 2023

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Joyce Aoko (Guest) on April 12, 2023

πŸ˜† Bado nacheka!

Stephen Kangethe (Guest) on April 9, 2023

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Paul Ndomba (Guest) on April 4, 2023

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Maimuna (Guest) on March 28, 2023

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Victor Mwalimu (Guest) on March 8, 2023

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Peter Mugendi (Guest) on March 4, 2023

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Zuhura (Guest) on February 27, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

James Malima (Guest) on February 7, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Rose Mwinuka (Guest) on January 30, 2023

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Nasra (Guest) on January 11, 2023

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Christopher Oloo (Guest) on January 5, 2023

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Furaha (Guest) on January 2, 2023

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Nancy Kawawa (Guest) on December 22, 2022

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

David Musyoka (Guest) on December 21, 2022

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Furaha (Guest) on December 11, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

John Lissu (Guest) on November 20, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Victor Mwalimu (Guest) on November 5, 2022

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Nassor (Guest) on November 4, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

George Tenga (Guest) on October 27, 2022

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

James Malima (Guest) on October 6, 2022

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Ann Awino (Guest) on September 28, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

John Lissu (Guest) on September 28, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Ramadhan (Guest) on September 7, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Kenneth Murithi (Guest) on August 12, 2022

πŸ˜… Bado ninacheka!

Hashim (Guest) on July 24, 2022

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

David Sokoine (Guest) on June 13, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Simon Kiprono (Guest) on June 6, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Shamim (Guest) on May 28, 2022

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Aziza (Guest) on May 16, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Related Posts

Jamaa amkomesha boss wake

Jamaa amkomesha boss wake

Kuna jamaa alifutwa kazi…

Ikawa kila siku anaenda nyumbani kwa boss wake na kunya mlango ... Read More

Mapenzi Stress tupu

Mapenzi Stress tupu

Stress Tupu

Unapokea Sms kwa mpenzi wako anakuambia

"Kuanzia Leo Mimi Na wewe Basi! ?... Read More

Hii sasa kali kweli kweli!!

Hii sasa kali kweli kweli!!

MCHUNGAJI alitangaza kila mwanaume aliye na mke atoe sadaka kulingana na uzuri wa mke wake…bac... Read More

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Huu usharobaro mwingine uchizi. Jamaa kamzimia demu kanisani, mara ukafika mda wa kutoa sadaka, eti ... Read More
Cheka na methali

Cheka na methali

1.Simba mwendapole =Huyo ni Sharobaro
2.Asiyefunzwa na Mamae= Ujue Mama hajapitia Ualimu
Read More

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

HUU NDO UMUHIMU WA ENGLISH KATIKA MAPENZI

jaribu kumwita mpenzi wako "my sweet potato" a... Read More

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nilichokifanya kwa rafiki yangu

Nimekuja kwa Rafiki angu kumtembelea kaacha maji jikon yeye kaenda kununua unga. Huku mm nikaonge... Read More

Njia nne za kufikisha Habari kwa haraka

Njia nne za kufikisha Habari kwa haraka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.

MWAL: John we ... Read More

Dongo kwako kama una degree moja Halafu unachagua kazi

Dongo kwako kama una degree moja Halafu unachagua kazi

Mtu una degree 1 unachagua kazi! Wakati thermometer ina degree 100, inafanya kazi kwenye kwapa.<... Read More

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Baada ya kumaliza Degree yake ya sheria Bwana Rwegashora aliamua kurudi nyu... Read More

Angalia alichokifanya huyu mkaka alipoenda benki 🏦

Angalia alichokifanya huyu mkaka alipoenda benki 🏦

At the bank..

Teller: Hii pesa ni fake

Mkaka: Shida iko wapi..pesa ni yangu..acc... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About