Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Featured Image

Jamaa kavamia semina ya wasomi iliyokua inafanyika maeneo ya ubungo plaza bas wakaanza kujitambulisha
1. Naitwa Anna niko SUA mwaka3 nasoma agriculture
2. Naitwa Stella niko UDSM mwaka2 nasoma public relation

3. Naitwa Emmanuel niko UDOM mwaka3 nasoma computer science
bas jamaa nae akainuka kwa kusuasua huku akijishtukia akasema"Naitwa Elisha niko Tanesco mwaka wa 7 nasoma mita"

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Rose Mwinuka (Guest) on July 10, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Guest (Guest) on October 13, 2025

Hata mimi mnanifurahsh san

Peter Mbise (Guest) on July 6, 2024

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Joseph Kiwanga (Guest) on May 4, 2024

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

James Kimani (Guest) on April 17, 2024

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Robert Ndunguru (Guest) on April 9, 2024

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Bernard Oduor (Guest) on April 4, 2024

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Abubakar (Guest) on March 12, 2024

πŸ˜… Bado nacheka!

Grace Wairimu (Guest) on February 25, 2024

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Paul Ndomba (Guest) on February 19, 2024

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Issa (Guest) on February 17, 2024

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Samson Tibaijuka (Guest) on February 15, 2024

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Chum (Guest) on January 17, 2024

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Mwinyi (Guest) on January 14, 2024

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Victor Kimario (Guest) on January 6, 2024

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Yahya (Guest) on December 8, 2023

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Nchi (Guest) on October 11, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Edith Cherotich (Guest) on October 9, 2023

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

James Malima (Guest) on August 31, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

David Ochieng (Guest) on August 29, 2023

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Jane Muthui (Guest) on August 29, 2023

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Dorothy Majaliwa (Guest) on August 20, 2023

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Samuel Omondi (Guest) on August 6, 2023

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Diana Mumbua (Guest) on August 3, 2023

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Ruth Kibona (Guest) on July 19, 2023

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

James Kimani (Guest) on July 3, 2023

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Alex Nakitare (Guest) on June 24, 2023

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

John Lissu (Guest) on June 3, 2023

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Stephen Kangethe (Guest) on June 1, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Fatuma (Guest) on May 27, 2023

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Alice Jebet (Guest) on May 22, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Lucy Mahiga (Guest) on May 3, 2023

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Charles Wafula (Guest) on April 25, 2023

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Henry Sokoine (Guest) on April 24, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Nuru (Guest) on April 21, 2023

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Rahma (Guest) on March 26, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Peter Otieno (Guest) on March 16, 2023

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

James Mduma (Guest) on March 6, 2023

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Warda (Guest) on March 5, 2023

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Thomas Mtaki (Guest) on January 25, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Kevin Maina (Guest) on January 25, 2023

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Kazija (Guest) on January 18, 2023

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Janet Mwikali (Guest) on November 29, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Peter Tibaijuka (Guest) on November 25, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Elizabeth Malima (Guest) on November 4, 2022

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Samson Mahiga (Guest) on November 1, 2022

πŸ˜‚πŸ€£

Alice Wanjiru (Guest) on October 26, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Lucy Wangui (Guest) on October 19, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Rahim (Guest) on October 18, 2022

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Mary Kendi (Guest) on October 10, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Nancy Kawawa (Guest) on October 8, 2022

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Sharon Kibiru (Guest) on September 28, 2022

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Mary Sokoine (Guest) on September 26, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Rabia (Guest) on September 10, 2022

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Susan Wangari (Guest) on September 7, 2022

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Nancy Akumu (Guest) on September 6, 2022

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Carol Nyakio (Guest) on September 1, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Kassim (Guest) on July 21, 2022

πŸ˜… Bado ninacheka!

Edward Chepkoech (Guest) on July 18, 2022

😁 Hii ni dhahabu!

Mary Njeri (Guest) on July 7, 2022

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Related Posts

Madenge hakosi visa. Soma hii

Madenge hakosi visa. Soma hii

MADENGE
HAKOSI
VISA


baada ya kumaliza form four baba akamwambia achague zaw... Read More

Wanandoa wa Kijapani wakibishana

Wanandoa wa Kijapani wakibishana

*Wanandoa wa Kijapan wakiwa wanabishana hadharani*

*Husband: Takamushi jiku.*
*Wife :h... Read More

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

Jamaa mmoja alienda kuomba kazi Mbuga ya Wanyama, akaambiwa nafasi ya Kazi ipo ila hakuna Sokwe,... Read More

Cheki jinsi huyu mwanaume alivyomuweza mwanamke wake

Cheki jinsi huyu mwanaume alivyomuweza mwanamke wake

Demu alimpigia simu jamaa yake ilikua weekend mazungumzo yalikua hivi:-

Read More
Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

MUME wakati anakata roho huku mkewe akiwa amemshikilia alisema mke wangu, mi natubu kwako, kwani ... Read More

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Duh! Maisha

Ile time unawaza baba angekua MO DWEJI baba ako na ye anawaza mwanangu ... Read More

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

MASSAWE alienda na marafiki zake bar kunywa, baada ya kumaliza kutumia akal... Read More

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamilia….Je sungur... Read More

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

MDADA: Baby nikwambie kitu
MKAKA: Yeah Baby Uko huru nambie
MDADA: nilikua naomba hela ... Read More

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Ka ni wewe? DOGO: baba mi siendi tena shule inaonekana walimu hawana uhakika na majibu yao. BABA: ... Read More
Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google alisema : mimi nina kila kitu

Facebook ikasema : mimi najua watu wote

Wha... Read More

Breaking news

Breaking news

Breaking news πŸ’₯

Watu wasiojulikana wamevamia jengo lisilojulikana na

Kufanya ... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About