Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE 🔁
AckyShine

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Featured Image

Siku hizi wa naume licha ya kukimbia nyumba zao kwa kisingizio cha kazi maajabu weekend hasa Jumamosi utasikia wanaaga nafika hapo njiani naja naenda kununua gazeti.

Kumbe wanaenda kunywa supu unasubiri wee mpaka alasiri au jioni

Hivyo wanandoa wengi hili limekuwa tatizo mwanaume kiguu na njia asb mchana na njia kumuacha mama na watoto.

Nini kifanyike hasa weekenda Mwanaume ashinde NYUMBANI akikupumzikia??

Zipo njia nyingi mojawapo SUPU YA WEEKEND NA MAZUNGUMZO NA MKAO

Ni kweli wanawake wengi hamjuagi kuwakalisha waume home.

Anza hivi
Siku uko home wewe amka mapema kabla yake anza makeke jikoni…

Mara blenda priiiii… juice… ama milk shake…. hahahaha..Utaona anasogea jikoni..

Wakati anakunywa juice ama milk shake…Anza kukuna nazi…

Chambua mnafu…

Hapo jikoni kuna kanyama kanachemka… katia kitunguu tupia viazi 2 na ndizi.Hahaha..

ile harufu ikianza kutoka utasikia anafuata maji jikoni… hahahaha kwenye friji… wala hatumi..

Hahaahha… utasikia nini kiko jikoni?Hahahaa.

Mmiminie supu…

Na ndizi mbili na kiazi kimoja kapilipili mbuzi pembeni..

Muulize kuna chapati…Mpe.. hahahahaha..Akimaliza supu nakuapia atasinzia..

.Akishtuka ugali na mnafu na nyama umeiva…Mpe ale..Mshushie na glass ya mtindi…Hahahaha..

analewa full Hata kama kuna mama junior anaambiwa usipige…

Hahahahahaha….Baada ya hapo acha apumzike… aoge…

Kisha funga ka khanga kako kepesi jilaze pembeni.. woiiiiiiiii..

Mkimaliza muombe pesa ya sokoni…

NAKUAPIA HATA KAMA JANA YAKE ALIKUPA ATAKUPA TENA.

Hahahahaha.. jamani…

Hahahahaha… yani kwa raha ya supu… nakuapia utaambiwa hata mama alipiga simu jana… hahahaha.. ama utasikia mamii.. njoo uone njoo… unaitiwa kitu cha kwenye tv.. hahaha.

Hata hujaona mwanzo ila kwa raha yakasupu utaitwa…

Hata kama huna kalio nakuambia utapigwa kibao hata cha mgongo…. hahahahahahahahahaha.

Sasa wewe unaamka chai na mkate kama chuo cha uhazili…
Wali maharage kama jeshi la j

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Ruth Kibona (Guest) on July 22, 2024

😂 Nimeipenda kabisa hii!

Andrew Odhiambo (Guest) on July 16, 2024

😂 Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Stephen Kikwete (Guest) on June 8, 2024

😄😅👏😂

Dorothy Mwakalindile (Guest) on April 18, 2024

Hii ni kali sana! 😂🤣

Charles Wafula (Guest) on April 12, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha! 😊😂

Sarah Karani (Guest) on March 31, 2024

Hii ni joke ya ukweli kabisa! 😂🤣

Elizabeth Mrema (Guest) on March 19, 2024

😂 Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Janet Wambura (Guest) on March 2, 2024

😅 Nilihitaji kicheko hicho!

Nancy Kabura (Guest) on February 19, 2024

Hizi jokes zinabamba sana! 😆😂

Nora Lowassa (Guest) on February 14, 2024

Nimecheka hadi mbavu zinauma 😂😂

John Mushi (Guest) on February 9, 2024

Mna kipaji cha ucheshi! 👏😂

Grace Majaliwa (Guest) on February 4, 2024

😂🤣😆

Patrick Akech (Guest) on December 28, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! 👏🤣

Agnes Sumaye (Guest) on November 27, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! 😊😂

Peter Otieno (Guest) on November 26, 2023

😁 Hii ni dhahabu!

Mercy Atieno (Guest) on November 12, 2023

🤣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Ramadhan (Guest) on October 28, 2023

😆 Hii imenigonga kweli!

Samuel Omondi (Guest) on October 23, 2023

😆 Hiyo punchline!

Tabu (Guest) on October 16, 2023

🤣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Chiku (Guest) on September 19, 2023

😂 Hii ni ya kuhifadhi!

Fadhili (Guest) on September 4, 2023

😅 Bado nacheka!

Stephen Mushi (Guest) on August 6, 2023

Hii imenibamba sana! 😂😅

Robert Okello (Guest) on July 24, 2023

😄 Umeimaliza kabisa!

Joyce Aoko (Guest) on June 20, 2023

Nimefurahia sana hii! 😅😊

Andrew Mahiga (Guest) on May 25, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🤣😊

Joseph Kiwanga (Guest) on May 10, 2023

😆 Ninaihifadhi kwa baadaye!

Mashaka (Guest) on April 30, 2023

😄 Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Henry Mollel (Guest) on April 24, 2023

Hii ni joke ya kufurahisha sana! 👏😆

Zubeida (Guest) on April 19, 2023

🤣 Ninashiriki hii na kila mtu!

George Mallya (Guest) on April 7, 2023

😂 Nacheka hadi nalia!

Charles Mboje (Guest) on April 6, 2023

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Alice Mwikali (Guest) on February 22, 2023

😂😆

Aziza (Guest) on February 22, 2023

😂 Nitaiiba hii bila shaka!

Elizabeth Mrope (Guest) on February 14, 2023

Huyu alikuwa na point! 😂👌

Chris Okello (Guest) on February 2, 2023

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! 😂🤣

James Malima (Guest) on January 23, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! 👏😂

Monica Lissu (Guest) on January 6, 2023

😃 Hali imeboreshwa papo hapo!

Jaffar (Guest) on December 26, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Jacob Kiplangat (Guest) on November 29, 2022

Nimecheka kwa sauti! 🤣🤣

Omari (Guest) on November 27, 2022

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! 😄

Grace Wairimu (Guest) on November 21, 2022

😅 Bado ninacheka!

John Kamande (Guest) on November 11, 2022

Kila siku napenda jokes zenu! 😆😂

Monica Nyalandu (Guest) on October 29, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! 🤣😂

Samuel Were (Guest) on October 26, 2022

😆👏😂😄

Isaac Kiptoo (Guest) on October 23, 2022

😄 Umeshinda mtandao leo!

Lucy Mushi (Guest) on October 19, 2022

Hii imenichekesha sana! 🤣😆

Isaac Kiptoo (Guest) on September 20, 2022

Hii imenifurahisha sana! 🤣😊

Ruth Mtangi (Guest) on September 6, 2022

Hii ni ya kufurahisha sana! 😊😄

Shani (Guest) on August 31, 2022

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! 💰

Alex Nakitare (Guest) on August 29, 2022

😅 Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Victor Sokoine (Guest) on August 18, 2022

😂🤣😂😅

Dorothy Majaliwa (Guest) on August 9, 2022

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! 😆👏

Shamsa (Guest) on August 2, 2022

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Susan Wangari (Guest) on August 1, 2022

Huyu mtu ni mcheshi sana! 😂😂

Carol Nyakio (Guest) on July 31, 2022

Hizi jokes ni za ukweli! 😆👍

Habiba (Guest) on July 31, 2022

😄 Kali sana!

Betty Kimaro (Guest) on July 26, 2022

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! 😊😂

Kenneth Murithi (Guest) on July 2, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! 😊😆

Nyota (Guest) on June 30, 2022

😂 Siwezi kuacha kucheka!

Mgeni (Guest) on June 26, 2022

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! 😅

Related Posts

Ujinga wa ndoto ndio huu

Ujinga wa ndoto ndio huu

👉Ujinga wa ndoto ndiyo huu
••Utaota umeokota dolla ukiamka empty…
••Utaota... Read More

Huyu Jamaa ubahili umezidi kwa hiki anachomwambia huyu dada

Huyu Jamaa ubahili umezidi kwa hiki anachomwambia huyu dada

Kama ni ubahili hapa umezidi

mdada Bby naomba hela nimpeleke mdogo wangu ... Read More

Angalia haya mazungumzo ya msichana na mvulana, mapenzi ya ajabu haya

Angalia haya mazungumzo ya msichana na mvulana, mapenzi ya ajabu haya

Demu: Hny mambo jamani! Man: Safi nipe habari wangu wa moyo Demu:Wafanya kazi gani vile wangu? Man: ... Read More
Breaking news

Breaking news

Breaking news 💥

Watu wasiojulikana wamevamia jengo lisilojulikana na

Kufanya ... Read More

Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Padri alikuwa amekaa katika confession booth kanisani
peke yake.
Mara... Read More

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Mzee: Dereva ongeza sauti tumsikilize Mwalimu Nyerere!!

Dereva: ungemsikiliza mwalimu wa... Read More

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Hata kama ni Mgeni this is too much. Mwenyeji: Karibu mgeni karibu ukae,utapenda chai au soda? Mgeni... Read More
Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni viumbe WASTAARABU sana..Mdada anapokua kavaa BIKINI na BRA tu, 98% ya mwili wake unak... Read More

Tabia za wachepukaji

Tabia za wachepukaji

WACHEPUKAJI WENGI WANATABIA HIZI

1.Hachezi mbali na simu yake kila wakati.
2.Inbox na ... Read More

Omba omba sio barabarani tuu

Omba omba sio barabarani tuu

Boy:- baby ivi nikifa utakuja msibani?

Girl:-ntakuja ukinitumia n... Read More

Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Usije ukaenda kwa mganga, mwenzako yamenikuta, yani masharti niliyopewa, acha tu,
yalikua hi... Read More

Muda ambao unaweza kumzoea dingi

Muda ambao unaweza kumzoea dingi

Muda pekee ambao unaweza kumzoea DINGI ni pale unapomfundisha kutumia SMARTPHONE….

Wanaku... Read More

📖 Explore More Articles
🏠 Home 📖 Reading 🖼️ Gallery 💬 AI Chat 📘 About