Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

Featured Image

BOSS anamwambia sekretari wake: Wiki hii tutaenda wote Serena Hotel kwenye mkutano fanya mipango yote.
SEKRETARI (anamuaga mumewe): Tunaenda na bosi Serena hotel kwenye mkutano for 1 week.
MUME (anampigia mpango wa kando): Mambo safi, wife anaenda kikazi Serena, jitayarishe tujipe raha for 1 week
(Mpango wa kando) anamwambia mwanafunzi wake wa tution: wiki hii nina kazi fulani hakuna tution mpaka week ijayo.
MWANAFUNZI anampigia simu sugar daddy wake ambaye ndo (BOSS): Dear hakuna tution wiki hii nakuja kwako…..

BOSS anamwambia sekretari wake: Siendi Serena tena coz mjukuu wangu atanitembelea.
SEKRETARI: Mume wangu hatuendi Serena
MUME (anampigia Mpango): dah! mpenzi, huyu mke wangu haendi tena. Shit! So hadi next time plz
Mpango wa kando a.k.a teacher (anampigia mwanafunzi): Darasa kama kawaida sorry for the earlier message.
MWANAFUNZI: darling tution inaendelea kumbe, so nakuja wiki ijayo!!
BOSS: Sekretari sorry jitayarishe ile safari ya Serena iko palepale……

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Frank Sokoine (Guest) on July 15, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Guest (Guest) on December 25, 2025

Daa!

Mwinyi (Guest) on July 10, 2024

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Grace Mligo (Guest) on June 12, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Moses Mwita (Guest) on June 6, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Lucy Wangui (Guest) on June 3, 2024

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Elizabeth Mtei (Guest) on June 3, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Edward Chepkoech (Guest) on May 15, 2024

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Joseph Kitine (Guest) on April 28, 2024

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Maimuna (Guest) on April 22, 2024

Asante Ackyshine

Agnes Sumaye (Guest) on March 26, 2024

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Ann Awino (Guest) on March 10, 2024

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Dorothy Nkya (Guest) on February 9, 2024

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Mariam Kawawa (Guest) on February 3, 2024

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Muslima (Guest) on December 14, 2023

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Mtumwa (Guest) on December 9, 2023

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Ruth Mtangi (Guest) on December 3, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Monica Adhiambo (Guest) on November 13, 2023

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Daniel Obura (Guest) on November 10, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Rose Amukowa (Guest) on October 15, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Anna Mahiga (Guest) on October 4, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

James Malima (Guest) on September 30, 2023

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Patrick Akech (Guest) on September 10, 2023

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Baridi (Guest) on September 5, 2023

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Susan Wangari (Guest) on September 1, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Stephen Amollo (Guest) on August 19, 2023

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Mariam Kawawa (Guest) on July 29, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Andrew Mchome (Guest) on July 18, 2023

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Mwanaidi (Guest) on July 15, 2023

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Lydia Mzindakaya (Guest) on July 11, 2023

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Ruth Mtangi (Guest) on July 6, 2023

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Sharon Kibiru (Guest) on July 5, 2023

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Ruth Kibona (Guest) on June 20, 2023

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Josephine Nduta (Guest) on June 18, 2023

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Dorothy Majaliwa (Guest) on June 15, 2023

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Janet Sumaye (Guest) on June 4, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Diana Mumbua (Guest) on May 27, 2023

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Betty Cheruiyot (Guest) on May 7, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Latifa (Guest) on April 28, 2023

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Anthony Kariuki (Guest) on April 28, 2023

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Henry Mollel (Guest) on March 27, 2023

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Jane Malecela (Guest) on March 2, 2023

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Zakaria (Guest) on January 29, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Zakaria (Guest) on January 18, 2023

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Amani (Guest) on January 5, 2023

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Mashaka (Guest) on December 28, 2022

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Chris Okello (Guest) on December 21, 2022

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Dorothy Majaliwa (Guest) on December 13, 2022

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Zubeida (Guest) on October 21, 2022

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Grace Wairimu (Guest) on September 1, 2022

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Jackson Makori (Guest) on August 12, 2022

🀣 Hii imewaka moto!

Charles Mchome (Guest) on August 1, 2022

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Irene Akoth (Guest) on July 23, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Selemani (Guest) on July 6, 2022

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Jacob Kiplangat (Guest) on June 24, 2022

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

John Lissu (Guest) on June 14, 2022

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Jane Malecela (Guest) on May 31, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

David Sokoine (Guest) on April 27, 2022

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Elizabeth Malima (Guest) on April 21, 2022

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on April 10, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Related Posts

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

Haya nayo ni maajabu mengine kwa wazazi wa mabinti

BABA MWEUSI
MAMA MWEUSI

na ww walikuzaa mweusi lakini umefikisha miaka 20 umeanza kua ... Read More

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

*Hadith ya Shemdoe na Mwalimu wa English:*

*Teacher:* `Who is a pharmacist?`

*Shemdoe... Read More

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

MUME: Fungua mlango!

MKE: Leo sifungui! Nimechoshwa na ul... Read More

Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Hapa mtaani kuna mwizi sugu ameshinda mil.10 za bahati nasibu ??.
Alipoulizwa atafanya nini ... Read More

Raha ya kuoa mke ambaye hajasoma

Raha ya kuoa mke ambaye hajasoma

Ukioa mke asiyesoma hata hili unaweza kufanya

KUOA MKE AMBAE HAJASOMA RAHA SANA LEO... Read More

Hii ndiyo maana ya matatizo

Hii ndiyo maana ya matatizo

SWALI: Nini maana ya matatizo..?

JIBU: matatizo ni pale unapopewa adhabu na mwanajeshi t... Read More

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza
Mashuleni, wanaenda kwenye
Engineering na Medical sc... Read More

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

DADA alienda Salon wakati anasukwa akaingia
MKAKA mtanashati,
DADA akaamua kujaribu bah... Read More

Ndege ya Tanzania

Ndege ya Tanzania

Kuna maprofesa 40 walipanda AIR TANZANIA ili wasafari. Kabla ndege haijaanza kuondoka, Lilipita t... Read More

Pale umapofanya interview huku ukijua hutapata kazi

Pale umapofanya interview huku ukijua hutapata kazi

Pale unaitwa kufanya interview na unajua tuu hutapata kazi tuu…..
Interviewer: where were ... Read More

Cheki huyu mwanamke anavyomkomoa mme wake baada ya kumsaliti

Cheki huyu mwanamke anavyomkomoa mme wake baada ya kumsaliti

MKE: Mbona unanukia pafyumu ya kike?
MUME: Yaa kuna mwanam... Read More

Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Wanawake hii nayo ni romantic ?πŸ’ž

Alaf wale Madem wanaowavua maboy wao KOFIA alaf wanakimbia nayo thinking its FUNNY and R... Read More

πŸ“– Explore More Articles