Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Misemo 17 ya kuchekesha

Featured Image

1) gari la kuvutwa halina overtake
2) kisigino hakikakai mbele
3) wimbo wa taifa haupgwi disko
4) feni haiwashwi beach
5) mshkaki hauchomwi kwa jiko la ges
6) mganga haagiz tembele
7) hata bibi alikuwa bint
8) mke wa mtu sumu,mume wamtu maziwa
9) kipara bila pesa ni kovu
10) mbwa hanenepi migiuu
11) picha ya rais haina bodyguard
12) mjini shule kijiji tuition
13) saa ya ukutani haivaliwi mkonon
14) heshima pesa shkamoo makelele
15) ulinz pesa bastora mzgo
16) kuku ni kuku jogoo mbwembwe
17) kusoma kuelewa kukesha mbwembwe

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Anna Mahiga (Guest) on May 10, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Salum (Guest) on April 16, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Betty Kimaro (Guest) on April 15, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Nancy Kawawa (Guest) on April 11, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

James Kawawa (Guest) on February 24, 2016

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Rose Lowassa (Guest) on February 13, 2016

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Lydia Mahiga (Guest) on January 29, 2016

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Janet Sumari (Guest) on January 29, 2016

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Lydia Wanyama (Guest) on January 17, 2016

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Mary Kidata (Guest) on January 1, 2016

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Christopher Oloo (Guest) on November 10, 2015

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

John Mushi (Guest) on October 27, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Diana Mallya (Guest) on October 26, 2015

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Sekela (Guest) on October 4, 2015

πŸ˜… Bado ninacheka!

Mary Mrope (Guest) on September 13, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Jackson Makori (Guest) on September 13, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Athumani (Guest) on July 30, 2015

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Mashaka (Guest) on July 17, 2015

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Sarah Karani (Guest) on June 13, 2015

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Binti (Guest) on June 2, 2015

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Jane Muthui (Guest) on May 19, 2015

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Jafari (Guest) on April 30, 2015

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Omari (Guest) on April 26, 2015

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Michael Onyango (Guest) on April 25, 2015

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Related Posts

Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli

Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli

Kasuku alisimama mlango wa kuingia supermarket wakapita wanawake watatu akasema nyeupe, nyekundu, ki... Read More
Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Mzee: Dereva ongeza sauti tumsikilize Mwalimu Nyerere!!

Dereva: ungemsikiliza mwalimu wa... Read More

Maswali ya kijinga yakijibiwa vizuri

Maswali ya kijinga yakijibiwa vizuri

Haya ndiyo majibu mazuriπŸ˜πŸ˜πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Q: Umenyoa nywele?

Read More
Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Jamaa kaingia Bar;
Jamaa: Muhudumu, nipe kinywaji na mpe kila mtu humu ndani kinywaji, maana... Read More

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Leo nimepulizia Air Fresh yenye Harufu ya Pilau nyumbani kwangu sasa watoto wa Jirani wamehamia ... Read More

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka ule ambapo nilipeleka barua ya maombi yangu ya kazi kwenye kampuni moja ... Read More

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee moja alikuwa kila usiku anapita mbele ya bank anasimama,kisha anapiga honi,akitoka askari ml... Read More

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ushawai kumpenda dem na kumfia mazima kiasi kwmb anakwambia ye ana msela lkn we huelewi..unamkaz... Read More

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

MASSAWE alienda na marafiki zake bar kunywa, baada ya kumaliza kutumia akal... Read More

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

MSICHANA: Mbona jana nimekupigia simu hujapokea?
JAMAA: please beby forget me.
MSichAnA... Read More

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Alipelekwa Hospitali na baba yake, baada ya vipimo Doctor akawa anamuandikia dawa, baba yake akatoka... Read More
Wazo la asubuh - penzi la kuku

Wazo la asubuh - penzi la kuku

Wazo la asubui

πŸ™ˆPenzi la kuku sekunde 2 ila vifaranga kibao.Lakini binadamu masaa kib... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About