Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Featured Image

Mfugaji mmoja alikwenda kwa mfugaji mwenzake (ambae pia ni bwana mifugo wa eneo lao) asubuhi moja. Alipobisha hodi mtoto wa kiume wa umri upatao miaka 12 akamfungulia mlango. Mazungumzo yafuatayo yakafuatia:

Mkulima: Baba yako yupo?

Mtoto: Hapana Mzee, amekwenda mjini.

Mkulima: Mama yako?

Mtoto: Nae kaenda mjini na baba.

Mkulima: Kaka yako Howard yupo?

Mtoto: Nae hayupo, wote yeye, baba na mama wamekwenda mjini. Kwani una shida gani? Kama kuna kitu unahitaji niambie maana nimeachiwa funguo na najua vifaa vinapowekwa.
Mzee akawaza kidogo halafu akasema: Kwa kweli nilitaka kuongea na baba, mama au kaka yako kwa kuwa kaka yako amempa mimba binti yangu.

Mtoto akafikiria kidogo halafu akasema: Kusema ukweli itabidi umsubirie baba, ila kwa kukusaidia ni kuwa baba hulipisha shilingi laki moja kwa kupandisha dume la ng'ombe na elfu hamsini kwa beberu. Ila sijui baba hutoza shilingi ngapi kwa Howard akifanikiwa kutia mimba.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Victor Kamau (Guest) on March 12, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Mary Mrope (Guest) on March 8, 2017

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Hassan (Guest) on February 14, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Patrick Kidata (Guest) on February 2, 2017

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Charles Mboje (Guest) on February 2, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Paul Kamau (Guest) on January 23, 2017

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Alice Jebet (Guest) on January 13, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Nancy Komba (Guest) on January 1, 2017

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Rehema (Guest) on December 19, 2016

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Lucy Mahiga (Guest) on November 28, 2016

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Betty Akinyi (Guest) on November 12, 2016

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

George Wanjala (Guest) on November 2, 2016

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Edwin Ndambuki (Guest) on October 28, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Fatuma (Guest) on October 25, 2016

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Joyce Mussa (Guest) on October 24, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Abubakar (Guest) on September 4, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Nahida (Guest) on August 30, 2016

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Andrew Mchome (Guest) on August 18, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Paul Kamau (Guest) on August 6, 2016

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Vincent Mwangangi (Guest) on August 2, 2016

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Lydia Wanyama (Guest) on July 17, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Joseph Mallya (Guest) on July 8, 2016

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Samson Tibaijuka (Guest) on May 20, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Anna Kibwana (Guest) on May 17, 2016

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Warda (Guest) on May 5, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Ndoto (Guest) on April 29, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Fikiri (Guest) on April 28, 2016

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Peter Mbise (Guest) on April 19, 2016

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Ann Awino (Guest) on April 10, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Vincent Mwangangi (Guest) on March 11, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Shamsa (Guest) on March 1, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Nicholas Wanjohi (Guest) on February 29, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Joyce Aoko (Guest) on February 24, 2016

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Dorothy Mwakalindile (Guest) on February 14, 2016

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Fredrick Mutiso (Guest) on February 11, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Diana Mallya (Guest) on February 7, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Stephen Kikwete (Guest) on January 31, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Minja (Guest) on December 29, 2015

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

John Lissu (Guest) on December 29, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Faith Kariuki (Guest) on November 28, 2015

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Esther Cheruiyot (Guest) on November 14, 2015

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Michael Mboya (Guest) on October 21, 2015

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Nancy Kabura (Guest) on September 28, 2015

πŸ˜† Bado nacheka!

Grace Majaliwa (Guest) on September 27, 2015

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Hekima (Guest) on September 7, 2015

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

George Mallya (Guest) on September 3, 2015

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Sofia (Guest) on August 18, 2015

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Robert Okello (Guest) on August 14, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Daudi (Guest) on July 12, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Elijah Mutua (Guest) on June 9, 2015

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Charles Mboje (Guest) on June 1, 2015

πŸ˜‚πŸ˜…

Umi (Guest) on May 24, 2015

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Paul Kamau (Guest) on May 1, 2015

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Lucy Kimotho (Guest) on April 6, 2015

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Christopher Oloo (Guest) on April 5, 2015

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

James Malima (Guest) on April 5, 2015

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Anna Sumari (Guest) on April 3, 2015

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Related Posts

Muda ambao unaweza kumzoea dingi

Muda ambao unaweza kumzoea dingi

Muda pekee ambao unaweza kumzoea DINGI ni pale unapomfundisha kutumia SMARTPHONE….

Wanaku... Read More

Wasichana wafupi wanafurahisha

Wasichana wafupi wanafurahisha

Wasichana wafupi wananifurahisha sana…. Yaan siku ya Valentine, wakivaa magauni mekund... Read More

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Huu ndio uhondo na raha ya kupanda daladala wajameni

Wasiopanda dalaladala wanakosa uhondo wa kauli hizi
1. nitakupa
2. Atapewa mbele
3... Read More

Cheki tulichokifanya jana

Cheki tulichokifanya jana

JANA APA HOME

JENERETA LILIWASHWA

ACHA TUHANGAIKE KULIKUNA

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚... Read More

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Ka ni wewe? DOGO: baba mi siendi tena shule inaonekana walimu hawana uhakika na majibu yao. BABA: ... Read More
Wale wa kupenda kupewa pewa namba za simu soma hii

Wale wa kupenda kupewa pewa namba za simu soma hii

Unaomba namba ya simu ya mdada af anakunyima ila unalazimisha akupe anaona kuliko muendelee kuong... Read More

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!, Akamwambia Mbongo waulizane maswa... Read More
Angalia huyu mtoto anachomjibu baba yake baada ya kutoka kwenye mtihani

Angalia huyu mtoto anachomjibu baba yake baada ya kutoka kwenye mtihani

BABA: mwanangu kwenye huu mtihani uliofanya natumaini utafanya vizuri.
DOGO: ndio baba nitap... Read More

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake:
JAMAA: Shem nakupenda!
MKE: Hebu... Read More

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Cheki hawa washikaji wanachokifanya baada ya kuvuta bangi, Bangi si mchezo

Kuna washikaji walikuwa wakivuta bangi… kiberiti kikawaishia… wakamtuma mwenzao akatafute ki... Read More

Huyu panya wa tatu ni noma

Huyu panya wa tatu ni noma

πŸ€ πŸ€ πŸ€Β Panya watatu walikua wakibishana nani Ni noma zaidi

Read More

Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Mkaka aliingia kwenye hoteli moja akaketi meza moja na mdada mrembo maarufu sana;
MKAKA: Sam... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About