Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Featured Image

Mfugaji mmoja alikwenda kwa mfugaji mwenzake (ambae pia ni bwana mifugo wa eneo lao) asubuhi moja. Alipobisha hodi mtoto wa kiume wa umri upatao miaka 12 akamfungulia mlango. Mazungumzo yafuatayo yakafuatia:

Mkulima: Baba yako yupo?

Mtoto: Hapana Mzee, amekwenda mjini.

Mkulima: Mama yako?

Mtoto: Nae kaenda mjini na baba.

Mkulima: Kaka yako Howard yupo?

Mtoto: Nae hayupo, wote yeye, baba na mama wamekwenda mjini. Kwani una shida gani? Kama kuna kitu unahitaji niambie maana nimeachiwa funguo na najua vifaa vinapowekwa.
Mzee akawaza kidogo halafu akasema: Kwa kweli nilitaka kuongea na baba, mama au kaka yako kwa kuwa kaka yako amempa mimba binti yangu.

Mtoto akafikiria kidogo halafu akasema: Kusema ukweli itabidi umsubirie baba, ila kwa kukusaidia ni kuwa baba hulipisha shilingi laki moja kwa kupandisha dume la ng'ombe na elfu hamsini kwa beberu. Ila sijui baba hutoza shilingi ngapi kwa Howard akifanikiwa kutia mimba.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Victor Kamau (Guest) on March 12, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Mary Mrope (Guest) on March 8, 2017

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Hassan (Guest) on February 14, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Patrick Kidata (Guest) on February 2, 2017

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Charles Mboje (Guest) on February 2, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Paul Kamau (Guest) on January 23, 2017

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Alice Jebet (Guest) on January 13, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Nancy Komba (Guest) on January 1, 2017

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Rehema (Guest) on December 19, 2016

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Lucy Mahiga (Guest) on November 28, 2016

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Betty Akinyi (Guest) on November 12, 2016

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

George Wanjala (Guest) on November 2, 2016

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Edwin Ndambuki (Guest) on October 28, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Fatuma (Guest) on October 25, 2016

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Joyce Mussa (Guest) on October 24, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Abubakar (Guest) on September 4, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Nahida (Guest) on August 30, 2016

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Andrew Mchome (Guest) on August 18, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Paul Kamau (Guest) on August 6, 2016

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Vincent Mwangangi (Guest) on August 2, 2016

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Lydia Wanyama (Guest) on July 17, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Joseph Mallya (Guest) on July 8, 2016

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Samson Tibaijuka (Guest) on May 20, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Anna Kibwana (Guest) on May 17, 2016

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Warda (Guest) on May 5, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Ndoto (Guest) on April 29, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Fikiri (Guest) on April 28, 2016

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Peter Mbise (Guest) on April 19, 2016

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Ann Awino (Guest) on April 10, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Vincent Mwangangi (Guest) on March 11, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Shamsa (Guest) on March 1, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Nicholas Wanjohi (Guest) on February 29, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Joyce Aoko (Guest) on February 24, 2016

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Dorothy Mwakalindile (Guest) on February 14, 2016

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Fredrick Mutiso (Guest) on February 11, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Diana Mallya (Guest) on February 7, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Stephen Kikwete (Guest) on January 31, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Minja (Guest) on December 29, 2015

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

John Lissu (Guest) on December 29, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Faith Kariuki (Guest) on November 28, 2015

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Esther Cheruiyot (Guest) on November 14, 2015

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Michael Mboya (Guest) on October 21, 2015

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Nancy Kabura (Guest) on September 28, 2015

πŸ˜† Bado nacheka!

Grace Majaliwa (Guest) on September 27, 2015

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Hekima (Guest) on September 7, 2015

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

George Mallya (Guest) on September 3, 2015

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Sofia (Guest) on August 18, 2015

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Robert Okello (Guest) on August 14, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Daudi (Guest) on July 12, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Elijah Mutua (Guest) on June 9, 2015

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Charles Mboje (Guest) on June 1, 2015

πŸ˜‚πŸ˜…

Umi (Guest) on May 24, 2015

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Paul Kamau (Guest) on May 1, 2015

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Lucy Kimotho (Guest) on April 6, 2015

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Christopher Oloo (Guest) on April 5, 2015

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

James Malima (Guest) on April 5, 2015

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Anna Sumari (Guest) on April 3, 2015

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Related Posts

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Dalali aliwatafutia jamaa chumba Buguruni karibu na reli, nyumba nzuri sana. Jamaa na mkewe wakahami... Read More
Hii ndio ngoma droo kwa wanaume kati ya wanawake

Hii ndio ngoma droo kwa wanaume kati ya wanawake

{ NGOMA DROO}
Sikuizi utawasikia wadada wakisema kuachwa na mwanaume asie na pesa nisawa na ... Read More

Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Wanaume wenye kushinda vishawishi ni;

Wanaume ambao mnaweza kula wali hadi mwisho bila kugu... Read More

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Jamaa aliamua kumtoa demu wake out kwaajili ya chakula cha usiku kufika hotelini wakakaa mezani mhud... Read More
Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Marafiki wawiliΒ (Jose na Ben)Β walikuwa wanatembea mtaani akatokea mwanamke aka... Read More

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

HUU NDO UMUHIMU WA ENGLISH KATIKA MAPENZI

jaribu kumwita mpenzi wako "my sweet potato" a... Read More

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

MUME: Fungua mlango!

MKE: Leo sifungui! Nimechoshwa na ul... Read More

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Ukimchoka mkeo, waweza kumtaftia sababu za kumuacha kama hizi

_
1. Mi... Read More

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee moja alikuwa kila usiku anapita mbele ya bank anasimama,kisha anapiga honi,akitoka askari ml... Read More

Huyu mwanamke kazidi sasa

Huyu mwanamke kazidi sasa

Jamaa: Mambo honey, upo ok?
Mrembo: Sipo ok my dear
<... Read More

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza Mashuleni, wanaenda kwenye Engineering na Medical school.

<... Read More
Utani wa wachaga

Utani wa wachaga

Wachaga wamegawanyika kama ifuatavyo, sio wote wajanja. Kuna:-

1. WAROMBO; Hawa wajanja san... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About