Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Baadhi ya misemo mikali ya leo

Featured Image

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

2. Hata uwe na magari mangapi chooni utaenda kwa miguu.

3. Kama ubinadamu kazi mbona hatupewi mishahara?

4. Ukichanganya wali na choroko unapata mseto, lakini hautibu malaria.

5. Hata njiwa nae ana makinda, lakini hawezi kuwa spika wa Bunge.

6. Hata uwe na haraka vipi kwenda Zenj, huwezi kupanda Jahazi ya Yusuph Mzee.

7. Umeme hauna kiuno lakini unaongoza kwa kukatika.

8. Hata uwe kauzu vipi, huwezi kujamba wakati unatongoza.

9. Hata uwe na imani kali vipi, huwezi kusali wakati unafanya mapenzi.

10. Hata kizibo ni mfuniko lakini hauwezi kufunika sufuria.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Mariam Hassan (Guest) on June 22, 2024

πŸ˜‚πŸ˜…

Husna (Guest) on June 18, 2024

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Fadhila (Guest) on May 25, 2024

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Guest (Guest) on November 24, 2025

".yani mtu unakuta nimevaa vizuri
:badara uniambie nduguyangu
=umependeza
.unakuja kuniambi
.ET UMEULAMBAA
WEWE nimeulamba mnini..
naulishawahi kuniona naulamba wap nanani alikwambia mimi naulamba
umeona naishara gani paka ukasema nimeulamba nimeramba kinini umeona mimi ndo wakuulamba mimi kwel au ww unaesoma ndohuwa unaulamba

aaaa badilisheni kali bwana a
(abu me by )

Aziza (Guest) on May 16, 2024

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Betty Kimaro (Guest) on April 29, 2024

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Mwajuma (Guest) on April 17, 2024

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Mchawi (Guest) on March 28, 2024

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Alice Wanjiru (Guest) on March 18, 2024

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Mary Mrope (Guest) on February 19, 2024

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Mary Kendi (Guest) on February 19, 2024

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Stephen Mushi (Guest) on February 8, 2024

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Amina (Guest) on January 24, 2024

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Esther Nyambura (Guest) on January 22, 2024

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

David Kawawa (Guest) on January 7, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Lucy Kimotho (Guest) on December 31, 2023

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Samson Tibaijuka (Guest) on December 28, 2023

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Monica Lissu (Guest) on December 25, 2023

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Joseph Mallya (Guest) on December 6, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Benjamin Masanja (Guest) on November 19, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Christopher Oloo (Guest) on November 4, 2023

πŸ˜‚πŸ€£

Stephen Amollo (Guest) on September 30, 2023

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Baraka (Guest) on August 27, 2023

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Ann Awino (Guest) on August 19, 2023

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on August 15, 2023

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Bernard Oduor (Guest) on July 22, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Binti (Guest) on July 20, 2023

😁 Kicheko bora ya siku!

Josephine Nduta (Guest) on June 23, 2023

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Joyce Mussa (Guest) on May 12, 2023

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Ruth Mtangi (Guest) on May 9, 2023

πŸ˜† Kali sana!

Janet Wambura (Guest) on May 7, 2023

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Mary Kidata (Guest) on April 17, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Mwinyi (Guest) on April 6, 2023

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Sarah Achieng (Guest) on April 2, 2023

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Mchawi (Guest) on March 30, 2023

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Furaha (Guest) on March 19, 2023

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Nancy Kawawa (Guest) on March 13, 2023

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Kevin Maina (Guest) on March 4, 2023

πŸ˜… Bado ninacheka!

Victor Sokoine (Guest) on March 3, 2023

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Guest (Guest) on February 7, 2026

A

Benjamin Masanja (Guest) on January 31, 2023

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Frank Sokoine (Guest) on January 17, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Josephine Nduta (Guest) on December 13, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Janet Sumaye (Guest) on November 25, 2022

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Charles Mchome (Guest) on November 19, 2022

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Robert Ndunguru (Guest) on October 28, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Joseph Kitine (Guest) on October 17, 2022

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Kevin Maina (Guest) on October 1, 2022

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Nahida (Guest) on September 7, 2022

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Paul Kamau (Guest) on September 5, 2022

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Patrick Kidata (Guest) on August 24, 2022

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Joyce Mussa (Guest) on July 16, 2022

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on July 13, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Kenneth Murithi (Guest) on June 30, 2022

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Margaret Mahiga (Guest) on May 15, 2022

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Josephine (Guest) on April 28, 2022

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Alice Wanjiru (Guest) on March 27, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Richard Mulwa (Guest) on March 4, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Betty Kimaro (Guest) on March 2, 2022

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Peter Mwambui (Guest) on March 1, 2022

πŸ˜‚πŸ˜†

Related Posts

Mambo makuu matatu waafrika tusiyoyajua

Mambo makuu matatu waafrika tusiyoyajua

NIMEKAA NIKAWAZA πŸ™‡πŸΌ KUWA KUNA MAMBO KAMA MATATU HIVIπŸ‘ŒπŸ» WAAFRIKA HATUYAJUI πŸ™‰ KAMA TUNG... Read More
Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Mfugaji mmoja alikwenda kwa mfugaji mwenzake (ambae pia ni bwana mifugo wa eneo lao) asubuhi moja... Read More

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Jana nateremka kwenye BASI UBUNGO nataka nichukue TEKSI hadi KIMARA naambiwa sh.15,000/=.
Wa... Read More

Ndege ya Tanzania

Ndege ya Tanzania

Kuna maprofesa 40 walipanda AIR TANZANIA ili wasafari. Kabla ndege haijaanza kuondoka, Lilipita t... Read More

Faida 3 za uvutaji wa sigara

Faida 3 za uvutaji wa sigara

Ni hizi

1. Mvuta sigara hazeeki
2. Mvuta sigara haumwi na mbwa
3. Mvuta sigara ny... Read More

Duh, Ukisikia ngoma droo ndio hii

Duh, Ukisikia ngoma droo ndio hii

Ni noma!

Baada ya Talaka mke kamtumia mume meseji:- "Nasikitika kukujulisha kuwa bi... Read More

Mshahara usiobadilika

Mshahara usiobadilika

PAMOJA NA HALI NGUMU YA UCHUMI NCHINI HUWEZI AMINI MSHAHARA WA DHAMBI HAUJABADILIKA HATA ... Read More

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Nmeokoa maisha ya mtu asubuhi ya leo huwezi amini.Nmekutana na ombaomba nikamuuliza atajisikiaje ... Read More

Cha kufanya msichana akikukimbia halafu atake kukurudia

Cha kufanya msichana akikukimbia halafu atake kukurudia

……… Kama msichana atakutupa kwa sababu huna pesa, na baadaye unapopata pesa akarudi tena ku... Read More

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ushawai kumpenda dem na kumfia mazima kiasi kwmb anakwambia ye ana msela lkn we huelewi..unamkaz... Read More

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?"
MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi."
jamaa ... Read More

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

MUME: Fungua mlango!

MKE: Leo sifungui! Nimechoshwa na ul... Read More

πŸ“– Explore More Articles