Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Baadhi ya misemo mikali ya leo

Featured Image

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

2. Hata uwe na magari mangapi chooni utaenda kwa miguu.

3. Kama ubinadamu kazi mbona hatupewi mishahara?

4. Ukichanganya wali na choroko unapata mseto, lakini hautibu malaria.

5. Hata njiwa nae ana makinda, lakini hawezi kuwa spika wa Bunge.

6. Hata uwe na haraka vipi kwenda Zenj, huwezi kupanda Jahazi ya Yusuph Mzee.

7. Umeme hauna kiuno lakini unaongoza kwa kukatika.

8. Hata uwe kauzu vipi, huwezi kujamba wakati unatongoza.

9. Hata uwe na imani kali vipi, huwezi kusali wakati unafanya mapenzi.

10. Hata kizibo ni mfuniko lakini hauwezi kufunika sufuria.

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Frank Macha (Guest) on October 17, 2017

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Joseph Kawawa (Guest) on October 8, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Lydia Wanyama (Guest) on October 4, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Isaac Kiptoo (Guest) on September 22, 2017

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Isaac Kiptoo (Guest) on September 11, 2017

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Moses Mwita (Guest) on September 10, 2017

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Ann Wambui (Guest) on August 4, 2017

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Carol Nyakio (Guest) on July 24, 2017

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Anna Mahiga (Guest) on July 15, 2017

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Irene Makena (Guest) on June 28, 2017

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

George Wanjala (Guest) on May 21, 2017

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Farida (Guest) on May 20, 2017

πŸ˜… Bado nacheka!

Mariam Kawawa (Guest) on April 24, 2017

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Wande (Guest) on March 22, 2017

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Samuel Were (Guest) on March 19, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Khalifa (Guest) on February 3, 2017

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Shamim (Guest) on January 25, 2017

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Isaac Kiptoo (Guest) on January 12, 2017

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Grace Majaliwa (Guest) on December 19, 2016

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joyce Mussa (Guest) on December 10, 2016

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Peter Mugendi (Guest) on November 8, 2016

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Dorothy Nkya (Guest) on October 22, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Shamim (Guest) on October 11, 2016

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Daniel Obura (Guest) on October 2, 2016

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Issack (Guest) on September 17, 2016

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Jacob Kiplangat (Guest) on September 17, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Francis Mrope (Guest) on August 29, 2016

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Maulid (Guest) on August 26, 2016

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Benjamin Kibicho (Guest) on August 12, 2016

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Janet Mwikali (Guest) on July 31, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Ali (Guest) on July 24, 2016

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Mary Njeri (Guest) on July 19, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Ahmed (Guest) on June 8, 2016

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Jafari (Guest) on June 1, 2016

Asante Ackyshine

Peter Otieno (Guest) on May 24, 2016

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Irene Makena (Guest) on May 24, 2016

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

George Mallya (Guest) on April 28, 2016

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

David Musyoka (Guest) on April 20, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Henry Sokoine (Guest) on April 5, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Ruth Wanjiku (Guest) on March 13, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Anna Mchome (Guest) on March 10, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Amir (Guest) on March 2, 2016

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Grace Wairimu (Guest) on February 28, 2016

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Esther Cheruiyot (Guest) on February 19, 2016

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Bahati (Guest) on January 4, 2016

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Henry Mollel (Guest) on December 25, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Rose Amukowa (Guest) on December 19, 2015

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Mchuma (Guest) on November 7, 2015

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Ibrahim (Guest) on October 31, 2015

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Jane Muthoni (Guest) on October 5, 2015

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Paul Ndomba (Guest) on September 16, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Rose Lowassa (Guest) on September 3, 2015

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Francis Mtangi (Guest) on August 27, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Charles Mchome (Guest) on August 26, 2015

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Jacob Kiplangat (Guest) on August 13, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Sarah Karani (Guest) on June 22, 2015

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Nicholas Wanjohi (Guest) on May 24, 2015

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Andrew Mahiga (Guest) on May 2, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Mchaga aliyemshangaza Mungu

Mchaga aliyemshangaza Mungu

Mchungaji anawaambia waumini: Fanya jambo moja la kumshangaza Mungu…

Read More
Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Umeenda kutembea ukweni kwako baada ya chakula chausiku unapewa chumba chakulala inapofik... Read More

Huyu mme ni shida

Huyu mme ni shida

MKE..mume wangu unaweza kuua simba kwasababu yangu???

MME: Hapana mke wangu, sema kingineRead More

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

CHEKA KIDOGO
Majambaz waliliteka gar moja lililokua limeshehen abiria
Baada ya abiria k... Read More

Wasichana wa leo

Wasichana wa leo

Jamaa yupo ndani ya Range rover yake mpya na msichana ambaye ni mpenzi wake.

#Jamaa: kuna s... Read More

Jamaa amkomesha boss wake

Jamaa amkomesha boss wake

Kuna jamaa alifutwa kazi…

Ikawa kila siku anaenda nyumbani kwa boss wake na kunya mlango ... Read More

Hii mitoto mingine mijinga, cheki alichokifanya huyu

Hii mitoto mingine mijinga, cheki alichokifanya huyu

Nimeamka asubuhi nikiwa na elfu 1 tu mfukoni, nikamtuma mtoto wa jirani akaninunulie maa... Read More

Huyu mwanamke kazidi sasa

Huyu mwanamke kazidi sasa

Jamaa: Mambo honey, upo ok?
Mrembo: Sipo ok my dear
<... Read More

Ikitokea hii kwenye chumba cha mtihani

Ikitokea hii kwenye chumba cha mtihani

Upo kwenye chumba cha mtihani,
maswalii yamekupiga kinyama
Unaamua kuchukua smartphone ... Read More

Duh, Ukisikia ngoma droo ndio hii

Duh, Ukisikia ngoma droo ndio hii

Ni noma!

Baada ya Talaka mke kamtumia mume meseji:- "Nasikitika kukujulisha kuwa bi... Read More

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee moja alikuwa kila usiku anapita mbele ya bank anasimama,kisha anapiga honi,akitoka askari ml... Read More

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Badala yakupika PILAU tutapika TAMBI kwenye Xmas maana tutakua tumeokoa sh.15,000/= Vitunguu swa... Read More