Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kichekesho cha mke wa mvuvi

Featured Image

CHEKA KIDOGO

MVUVI MASKINI NA MKEWE MALAYA.
Mvuvi mmoja alikua akiishi na mke wake huku
akiwa hajui kama mkewe malaya,
Leo hii kamuaga mkewe baada ya kuondka
mkewe akaanza kuingiza wanaume kama
kawaida
Hawara 1;nakupenda
Mke Wa Mvuvi;oke, Nipe Penz Haraka Kabla
Mume wngu hajarudi.
Hawara 1;oke!
Basi picha likaanza wakati wanaendelea mara
mlango ukagongwa, akamwambia hawara mume
wangu huyo jifiche darini jamaa akafanya,, mke
wa mvuvi akaelekea mlangon kumbe alikua
hawara 2.
mke wa mvuvi; aaahaa kumbe ni wewe nilijua
mume wangu bas njo haraka kabla mume wangu
hajarudi..
picha likaendelea huku wa darini akiona vyote,
mlangon kukagongwa
mke wa mvuvi; mume wangu hyo jifiche uvungun
jamaa akafanya kisha mke akajikoki kumpokea
mumewe,
mke wa mvvi; oooh! mume wngu pole umechoka
eeh leo umepata samaki mkubwa nashukuru sana
tulikua hatuna mboga
mvuvi;usinishukuru mimi mshukuru aliye juu.
hawara 1; sipo mwenyewe mwingine yupo
uvunguni… 

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Rukia (Guest) on November 8, 2019

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

George Mallya (Guest) on October 31, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Ann Awino (Guest) on October 3, 2019

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Makame (Guest) on September 18, 2019

🀣 Hii imewaka moto!

Emily Chepngeno (Guest) on September 7, 2019

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Christopher Oloo (Guest) on August 21, 2019

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Esther Nyambura (Guest) on August 17, 2019

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Stephen Malecela (Guest) on August 6, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Mtumwa (Guest) on August 3, 2019

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Alice Wanjiru (Guest) on June 17, 2019

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Jackson Makori (Guest) on June 5, 2019

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Lucy Mushi (Guest) on May 17, 2019

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

David Nyerere (Guest) on April 4, 2019

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Lucy Mahiga (Guest) on March 30, 2019

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Francis Mrope (Guest) on March 6, 2019

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Janet Mwikali (Guest) on March 3, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Rabia (Guest) on January 31, 2019

😁 Hii ni dhahabu!

Christopher Oloo (Guest) on December 31, 2018

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Dorothy Majaliwa (Guest) on December 25, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Mwakisu (Guest) on November 27, 2018

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Janet Wambura (Guest) on November 12, 2018

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Victor Mwalimu (Guest) on October 13, 2018

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Moses Kipkemboi (Guest) on October 10, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Paul Ndomba (Guest) on August 9, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Jane Malecela (Guest) on July 31, 2018

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Fikiri (Guest) on July 9, 2018

πŸ˜… Bado ninacheka!

Patrick Kidata (Guest) on April 29, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Patrick Mutua (Guest) on April 23, 2018

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Anna Mchome (Guest) on April 17, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Josephine Nduta (Guest) on March 17, 2018

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Zuhura (Guest) on February 21, 2018

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Irene Akoth (Guest) on February 19, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Rose Amukowa (Guest) on January 31, 2018

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Monica Lissu (Guest) on January 23, 2018

🀣πŸ”₯😊

Baridi (Guest) on January 12, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

Rose Kiwanga (Guest) on December 23, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on December 23, 2017

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Halimah (Guest) on December 4, 2017

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Betty Akinyi (Guest) on November 24, 2017

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Betty Cheruiyot (Guest) on November 19, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Tabitha Okumu (Guest) on October 23, 2017

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Joyce Aoko (Guest) on October 15, 2017

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Jane Malecela (Guest) on September 24, 2017

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Violet Mumo (Guest) on August 20, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Frank Macha (Guest) on July 15, 2017

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Agnes Lowassa (Guest) on July 11, 2017

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Mwanais (Guest) on June 23, 2017

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Miriam Mchome (Guest) on May 28, 2017

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Juma (Guest) on May 26, 2017

🀣 Hii imenigonga vizuri!

John Kamande (Guest) on May 10, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Jacob Kiplangat (Guest) on May 4, 2017

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Miriam Mchome (Guest) on May 3, 2017

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Esther Cheruiyot (Guest) on April 25, 2017

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Bahati (Guest) on April 21, 2017

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Rose Lowassa (Guest) on April 18, 2017

πŸ˜„ Kali sana!

John Kamande (Guest) on April 17, 2017

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Philip Nyaga (Guest) on April 13, 2017

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

James Kimani (Guest) on April 7, 2017

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Joseph Kawawa (Guest) on April 2, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Betty Cheruiyot (Guest) on March 25, 2017

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Related Posts

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Wazazi wengine wanaandikaΒ MBWA​MKALIΒ kwenye geti lao kama binti wao ana mia... Read More

Ukata wa January

Ukata wa January

Boss;-Β kwa nini umechelewa kazini
Juma;-Β kuna mtu njiani alidondo... Read More

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Huyu jamaa kawaweza polisi watatu, cheki alichowaambia

Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: kimya
Polisi::: hodi, hodi
Jamaa::: ... Read More

Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Pale unapokuwa umefulia sana…

Mgeni anakutembelea Maskani kwako….Unaamua Kuchukua Ile S... Read More

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Alipelekwa Hospitali na baba yake, baada ya vipimo Doctor akawa anamuandikia dawa, baba yake akatoka... Read More
Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Unamtumia baba ako meseji ukiwa shule "Baba naomba unitumie 100,000 ya pckt mny" anakuuliza "pck... Read More

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Shikamoo kingereza..!

Baada ya kufika Kempiski nikaona menu imeandikwa:

Saute... Read More

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

MKE NA MCHEPUKO.

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakin... Read More

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Dalali aliwatafutia jamaa chumba Buguruni karibu na reli, nyumba nzuri sana. Jamaa na mkewe wakahami... Read More
Hali za ndoa

Hali za ndoa

Kuna kijana alikua anajua kuwa mke wake anatoka nje ya ndoa basi akamwuliza mke, mkewe akakataa, aka... Read More
Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Jana nilipanda daladala nikapata seat nikaketi, nikawa nimejiachia ninachati kwenye simu yangu(Sm... Read More

Angalia huyu Jamaa alivyomuweza huyu mrembo

Angalia huyu Jamaa alivyomuweza huyu mrembo

Nipo kwenye daladala siti ya nyuma kabisa nimekaa na mrembo mzurii.sasa nikawa namtongoza kwa sau... Read More

πŸ“– Explore More Articles