Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kisa cha mzaramo na mchaga

Featured Image

MZARAMO V/S MCHAGA.
Mzaramo alitangaza anatibu magonjwa yooooooote
kwa tsh. 100,000/=
Na kama akishindwa kukutibu anakurudishia laki
yako nakukuongeza laki nyingine.
MCHAGA akaona hii fursa yakujipatia hela aiwezi mpita akaenda kutibiwa.
MZARAMO: "unaumwa nini?"
MCHAGA: "Sisikii ladha ya aina yoyote mdomoni kabisaaaa.."
MZARAMO: "sawa, toa laki kabisa.."
Mchaga akatoa.
MZARAMO akamuagiza msaidizi wake; "Naomba kikopo no.27 mpe anywe huyu.."
MCHAGA akanywa akatema faster; "Puh puu puu, Aisee huu si mkojo huu..?"
MZARAMO: "Umepona karibu tena.."
Mchaga aka-mind sana Kesho yake akarudi tena hakuamini ameliwa pesa yake.
MCHAGA: aisee nina tatizo la kumbukumbu nasahau
sanaaaaa.."
MZARAMO akamwambia "hakuna tabu, toa laki tukupe tiba..'
MCHAGA akatoa pesa akijua leo lazima afanikiwe..'
MZARAMO: "nesi naomba kikopo no.27.."
MCHAGA: "ASA CHALII ANGU HICHO SI CHA JANA CHA MKOJO HICHO AISEE..?"
MZARAMO: "UMEPONA KUMBUKUMBU UNAYO.

πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Lydia Mahiga (Guest) on July 20, 2024

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Lydia Wanyama (Guest) on June 27, 2024

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Mercy Atieno (Guest) on June 27, 2024

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Victor Malima (Guest) on June 1, 2024

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Lydia Mutheu (Guest) on May 20, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Guest (Guest) on August 10, 2025

noma sana

Yusra (Guest) on April 27, 2024

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Thomas Mtaki (Guest) on April 24, 2024

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Hellen Nduta (Guest) on April 3, 2024

😊🀣πŸ”₯

Charles Wafula (Guest) on April 1, 2024

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Husna (Guest) on February 22, 2024

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Stephen Kangethe (Guest) on January 31, 2024

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Stephen Malecela (Guest) on January 24, 2024

πŸ˜‚πŸ˜‚

Sarah Mbise (Guest) on January 20, 2024

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Shamsa (Guest) on January 9, 2024

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Dorothy Mwakalindile (Guest) on January 9, 2024

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Nora Kidata (Guest) on January 8, 2024

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on January 4, 2024

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Grace Mligo (Guest) on December 28, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Andrew Mahiga (Guest) on December 23, 2023

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Vincent Mwangangi (Guest) on December 19, 2023

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mariam Hassan (Guest) on December 12, 2023

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Agnes Sumaye (Guest) on December 6, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Dorothy Majaliwa (Guest) on October 4, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Lucy Wangui (Guest) on September 13, 2023

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Said (Guest) on August 14, 2023

Mchaga Noma

Ryan (Guest) on July 12, 2024

Noma kweli

Joseph Njoroge (Guest) on August 9, 2023

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Vincent Mwangangi (Guest) on August 5, 2023

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Ruth Kibona (Guest) on July 31, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Diana Mallya (Guest) on June 24, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Chiku (Guest) on June 24, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Mwajabu (Guest) on June 17, 2023

πŸ˜† Kali sana!

Daniel Obura (Guest) on June 8, 2023

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Betty Akinyi (Guest) on June 7, 2023

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Frank Macha (Guest) on May 14, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Victor Kimario (Guest) on May 12, 2023

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Miriam Mchome (Guest) on May 6, 2023

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Nassar (Guest) on April 28, 2023

Asante Ackyshine

Agnes Njeri (Guest) on April 28, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Issa (Guest) on April 22, 2023

🀣 Hii imewaka moto!

Nuru (Guest) on March 12, 2023

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

David Nyerere (Guest) on February 19, 2023

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Ruth Wanjiku (Guest) on February 12, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Faith Kariuki (Guest) on February 10, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

John Malisa (Guest) on December 28, 2022

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Linda Karimi (Guest) on December 25, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Abubakari (Guest) on December 18, 2022

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Halima (Guest) on November 26, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Andrew Mchome (Guest) on November 15, 2022

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Grace Mushi (Guest) on September 30, 2022

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Elizabeth Malima (Guest) on September 29, 2022

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

John Mwangi (Guest) on September 28, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Margaret Anyango (Guest) on September 26, 2022

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Kevin Maina (Guest) on September 17, 2022

πŸ˜… Bado ninacheka!

Binti (Guest) on September 9, 2022

😁 Kicheko bora ya siku!

Victor Kamau (Guest) on August 29, 2022

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Samson Tibaijuka (Guest) on August 28, 2022

πŸ˜„ Kali sana!

Joseph Kawawa (Guest) on August 26, 2022

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Josephine Nduta (Guest) on August 5, 2022

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Related Posts

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda k... Read More
Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More
Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Jamaa Wawili Walifika Stesheni, wakakuta Treni ndo kwanza inaondoka. Wakaanza Kuikimbiza. Mmoja a... Read More

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

Angalia huyu baba alichowafanya mtoto wake wa kike na boyfriend wake

BABA OYEEEEEEπŸ’ͺπŸ’ͺ
Soma hii…

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mar... Read More

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

MUME wakati anakata roho huku mkewe akiwa amemshikilia alisema mke wangu, mi natubu kwako, kwani ... Read More

Kuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya

Kuwa single nao ugonjwa eh, cheki huyu alichokifanya

Et

Umexhawah kuwa single had ukaamua kununua viatu vya kike kix... Read More

Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Wanaume wenye kushinda vishawishi ni;

Wanaume ambao mnaweza kula wali hadi mwisho bila kugu... Read More

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Jamaa alikuwa anagombana na mkewe,hatimae akamwambia kwa ukali "Unajua nimechoka sasa, haya kusanya ... Read More
Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Jamaa mmoja dereva wa bajaji alianguka, sasa bajaji ikawa imem'bana akawa anafurukuta bil... Read More

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Kilichotokea baada ya bibi na babu kukumbukia mahaba ya ujanani

Mzee wa miaka 60 alimwambia mkewe, leo nataka tukumbukie enzi zetu kutongozana, mke akajibu sawa, in... Read More
Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Trafik mlevi alisimamisha gari Mama akapaki pembeni akaona trafik anakuja akiwa anayumba! Alipofi... Read More

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Jamaa aliamua kumtoa demu wake out kwaajili ya chakula cha usiku kufika hotelini wakakaa mezani mhud... Read More
πŸ“– Explore More Articles