Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

Featured Image

1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamilia….Je sungura anayeishi mwituni anaitwaje?"

ZUZU:"Sunguramilia."

2.Ticha:"Rais wa kwanza wa kenya aliitwa KENYATTA…Je rais wa kwanza wa
Tanzania aliitwaje?"
ZUZU:"TANZANIATTA."

3. Ticha:"Kuku yuko katika jamii ya NDEGE…Je samaki yuko katika jamii ya nini?"

ZUZU:"MELI."

4. Ticha:"Coach wa Arsenal anaitwa ARSENE,wa Man-city anaitwa MANCINI….Je wa
Liverpool anaitwaje?

ZUZU:"LIVER."

5 Ticha:"Ukiwa na mbuzi 10,wezi waje waibe 5,utabaki na nini?"

ZUZU:"Hasira nyingi sana!"

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Khamis (Guest) on July 19, 2024

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Benjamin Masanja (Guest) on July 12, 2024

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Rabia (Guest) on June 10, 2024

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Peter Mwambui (Guest) on June 9, 2024

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Jaffar (Guest) on May 20, 2024

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

David Chacha (Guest) on April 23, 2024

😊🀣πŸ”₯

Wilson Ombati (Guest) on April 13, 2024

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Peter Mwambui (Guest) on March 21, 2024

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Stephen Mushi (Guest) on March 10, 2024

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Guest (Guest) on November 28, 2025

watoto wa2000 palipo namapenzi hapakosi pesa napalipo napesa hapakosi mapenzi

Khatib (Guest) on February 28, 2024

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Ruth Wanjiku (Guest) on February 19, 2024

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Ramadhan (Guest) on February 15, 2024

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Catherine Naliaka (Guest) on February 8, 2024

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Esther Nyambura (Guest) on February 7, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Benjamin Masanja (Guest) on February 7, 2024

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Francis Njeru (Guest) on February 4, 2024

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

David Chacha (Guest) on January 24, 2024

πŸ˜‚πŸ˜‚

Lydia Mzindakaya (Guest) on December 14, 2023

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Betty Kimaro (Guest) on December 10, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Bahati (Guest) on November 30, 2023

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

James Kawawa (Guest) on November 27, 2023

πŸ˜‚πŸ˜†

Joseph Mallya (Guest) on November 22, 2023

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

George Wanjala (Guest) on October 26, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Irene Makena (Guest) on October 22, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Isaac Kiptoo (Guest) on October 12, 2023

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Peter Mugendi (Guest) on September 22, 2023

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Rose Lowassa (Guest) on September 21, 2023

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Joseph Kawawa (Guest) on September 15, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Masika (Guest) on September 2, 2023

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Andrew Odhiambo (Guest) on August 25, 2023

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Henry Mollel (Guest) on August 13, 2023

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

John Lissu (Guest) on August 9, 2023

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Chris Okello (Guest) on July 30, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Betty Kimaro (Guest) on July 23, 2023

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Grace Mligo (Guest) on July 20, 2023

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Betty Akinyi (Guest) on June 28, 2023

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Shukuru (Guest) on June 27, 2023

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Margaret Mahiga (Guest) on June 5, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Anna Mchome (Guest) on May 14, 2023

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

James Mduma (Guest) on March 15, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

David Sokoine (Guest) on March 9, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Moses Mwita (Guest) on March 3, 2023

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Nora Lowassa (Guest) on February 6, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Nancy Kabura (Guest) on January 3, 2023

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Nasra (Guest) on November 14, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Fikiri (Guest) on September 28, 2022

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Nora Kidata (Guest) on September 9, 2022

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Jane Muthoni (Guest) on August 26, 2022

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

John Lissu (Guest) on August 14, 2022

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Stephen Mushi (Guest) on August 5, 2022

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

George Ndungu (Guest) on July 16, 2022

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Rose Waithera (Guest) on July 4, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Janet Sumaye (Guest) on June 30, 2022

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Rose Mwinuka (Guest) on June 22, 2022

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Samuel Were (Guest) on June 12, 2022

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Charles Mchome (Guest) on June 5, 2022

Asante Ackyshine

Edith Cherotich (Guest) on June 1, 2022

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Samuel Omondi (Guest) on May 16, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Mwanaisha (Guest) on April 6, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Related Posts

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Angalia nilichokifanya Jana kumkomoa x-wangu

Mwenzenu nilikatiwa umeme jana basi leo si nikaamua kwenda kununua luku ya 10,000. Kufika njiani ... Read More

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Wabongo ni noma! Angalia huyu mbongo anachokifanya

Basi juzi kati hapa sehemu ndogo ya ukuta wa Ikulu ya Magogoni ilianguka!.. Wakapelekwa contractors ... Read More
Cheki kilichompata huyu dada!!

Cheki kilichompata huyu dada!!

NDOA inafungwa KANISANI Mchungaji akauliza-Yeyote mwenye Pingamizi La Ndoa hii kufungwa aje Mbel... Read More

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Jamaa kaingia mgahawani kwa fujo
JAMAA :Β Nipe soda moja na kila mtu mpe ya... Read More

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Badala yakupika PILAU tutapika TAMBI kwenye Xmas maana tutakua tumeokoa sh.15,000/= Vitunguu swa... Read More

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nimetoka kufanya interview wakaniuliza status yangu nikaawabia status yangu ni Hey there... Read More

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

MVULANA:Β Daktari, rafiki yangu wa kike ni mjamzito, l... Read More

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More
Angalia nilichomfanyia huyu mwizi

Angalia nilichomfanyia huyu mwizi

Et jana usiku mwiz kavunja mlango kwangu
akaanza kutafuta kitu kila kona ikabid
na mie ... Read More

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Karibuni tuangalie aina hizi 10 za ndoa.

1. NDOA YA MKEKA

Inatokana na kufumaniwa... Read More

Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Mkaka aliingia kwenye hoteli moja akaketi meza moja na mdada mrembo maarufu sana;
MKAKA: Sam... Read More

πŸ“– Explore More Articles