Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

Featured Image

πŸ˜†πŸ˜† πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Jamaa kagombana na mkewe, akasusa kula🍽🍨 kurudi kazini kamkuta mkewe amevaa kanga imeandikwaΒ ukisusa wenzio walaΒ ilipofika asubuhi mke akavaa kanga imeandikwaΒ ukitoka 🚢🚢mwenzio anaingiaπŸ’ƒπŸ’ƒ

jamaa akagoma kwenda kazini 😬😬 mke akabadili kanga na kuvaa iloandikwaΒ nimemdhibiti ndo mana hatoki🚷 jamaa akaenda kuomba ushauri kwa rafiki yake akaambiwa twende nyumbsni kwako, walipofika walimkuta mke kavaa kanga imeandikwaΒ ulidhani rafiki yako kumbe adui yakoπŸ€”πŸ€” jamaa akaamua kusafiri siku tano ili kupunguza hasira. Aliporudi akamkuta mke amevaa kanga imeandikwaΒ ni bora nimpe jirani kuliko kiozee ndani
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

hata kama hupendagi ujinga kwa maneno ya kwenye kanga utasanda tu

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Charles Mchome (Guest) on September 25, 2019

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Mustafa (Guest) on September 21, 2019

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Jane Muthui (Guest) on August 30, 2019

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Susan Wangari (Guest) on August 22, 2019

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Sarah Mbise (Guest) on August 15, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Kahina (Guest) on August 9, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

Edward Lowassa (Guest) on August 3, 2019

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Janet Mbithe (Guest) on July 9, 2019

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Elizabeth Mtei (Guest) on June 19, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Mligo (Guest) on June 11, 2019

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Ruth Wanjiku (Guest) on June 4, 2019

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Amani (Guest) on June 3, 2019

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Diana Mallya (Guest) on May 30, 2019

πŸ˜‚ Kali sana!

Kevin Maina (Guest) on May 17, 2019

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Nassar (Guest) on May 16, 2019

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Zuhura (Guest) on May 10, 2019

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Jacob Kiplangat (Guest) on April 11, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Janet Mbithe (Guest) on April 1, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Edward Chepkoech (Guest) on March 20, 2019

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Jaffar (Guest) on March 6, 2019

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Salum (Guest) on January 11, 2019

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Simon Kiprono (Guest) on December 22, 2018

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Paul Ndomba (Guest) on November 30, 2018

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Charles Mchome (Guest) on October 20, 2018

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Samson Mahiga (Guest) on October 18, 2018

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Jaffar (Guest) on October 17, 2018

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Agnes Njeri (Guest) on October 9, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Grace Njuguna (Guest) on September 8, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Jamal (Guest) on September 6, 2018

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Ruth Mtangi (Guest) on August 25, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

David Kawawa (Guest) on July 27, 2018

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Sofia (Guest) on July 16, 2018

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

John Lissu (Guest) on July 14, 2018

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Esther Nyambura (Guest) on June 29, 2018

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Kevin Maina (Guest) on June 25, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Tabitha Okumu (Guest) on May 26, 2018

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Josephine Nekesa (Guest) on May 11, 2018

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Jaffar (Guest) on April 17, 2018

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Ann Awino (Guest) on March 25, 2018

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Jafari (Guest) on March 11, 2018

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Husna (Guest) on March 5, 2018

πŸ˜„ Kali sana!

Mariam (Guest) on February 9, 2018

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Joseph Mallya (Guest) on January 19, 2018

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Christopher Oloo (Guest) on January 6, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nasra (Guest) on January 4, 2018

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Mwinyi (Guest) on December 25, 2017

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Anna Kibwana (Guest) on December 19, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Mwajuma (Guest) on December 12, 2017

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Rukia (Guest) on December 4, 2017

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Kassim (Guest) on October 28, 2017

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Alex Nakitare (Guest) on October 26, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Edwin Ndambuki (Guest) on October 14, 2017

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Janet Sumari (Guest) on October 2, 2017

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

David Chacha (Guest) on August 10, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Samuel Were (Guest) on July 18, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Nassor (Guest) on July 13, 2017

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Stephen Kangethe (Guest) on July 12, 2017

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Elizabeth Mrema (Guest) on July 8, 2017

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Victor Kimario (Guest) on May 9, 2017

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Nancy Kabura (Guest) on April 27, 2017

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Related Posts

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Wewe ni mza... Read More

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Jamaa kaenda kumtembelea rafiki yake Levi, kule sehemu za kwetu, akakaribishwa bonge ya ugali na ... Read More

Huyu mke ni shida!

Huyu mke ni shida!

MUME: "Unajua mi unanishangaza sana, kila siku nakusikia mara useme TV yangu, gari yangu, chumban... Read More

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Ukimchoka mkeo, waweza kumtaftia sababu za kumuacha kama hizi

_
1. Mi... Read More

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Angalia hawa machizi walichokisema baada ya kuona ndege angani

Machizi wamekaa sehemu mara ghafla ikapita ndege angani.
Chizi wa kwanza... Read More

Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Boy:- hallow
Dem:- hellow
Boy:- ivi jina lako nani vile
Dem:- am miss precious A. ... Read More

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Mwalimu aliingia darasani akiwa amechoka kinoma
akawambia wanafunzi.

'leo tutajifunza ... Read More

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

MASSAWE alienda na marafiki zake bar kunywa, baada ya kumaliza kutumia akal... Read More

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Eti kati ya MAMBA na KIBOKO nani kiboko???😜😜😜😜... Read More

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Foleni ndeeeeefu jamaa yupo kwenye daladala anaenda kazini kaona heri amuandikie boss wake msg k... Read More

Je, hili nalo ulilipitia ulipokua Shuleni?

Je, hili nalo ulilipitia ulipokua Shuleni?

Hakuna Kitu Kilikua Kinaniumizaga Kipindi Nipo Shuleni.

Time Mmetoka Kwenye Mitihani Wa Mat... Read More

Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga

Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga

Mwanamke wakizaramo: Unampa hela ana nunua dela anaenda ana msutia jirani, anali... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About