Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

Featured Image

DADA alienda Salon wakati anasukwa akaingia
MKAKA mtanashati,
DADA akaamua kujaribu bahati yake.
DADA:Mambo? KAKA:Poa.
DADA:Mimi na wewe tunaweza kuongea baade?
KAKA:Kuhusu nini?
DADA:Nimekupenda nataka nikutoe out.
KAKA:Sawa ila nitamwambia nini
MKE wangu?
DADA:Aah ilo sio tatizo mdanganye tu,mwambie unakwenda kumtembelea rafiki yako hospitalini.
KAKA:Mwambie mwenyewe huyo hapo anayekusuka.

Β 

Unajua nn kiliendelea?

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Joyce Nkya (Guest) on July 16, 2019

πŸ˜† Kali sana!

Nancy Akumu (Guest) on June 30, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Yusra (Guest) on June 7, 2019

😁 Hii ni dhahabu!

Zulekha (Guest) on May 20, 2019

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Nahida (Guest) on May 19, 2019

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Francis Mrope (Guest) on May 18, 2019

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Peter Mbise (Guest) on May 13, 2019

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Mercy Atieno (Guest) on April 28, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Edwin Ndambuki (Guest) on March 31, 2019

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Nassor (Guest) on March 30, 2019

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Aziza (Guest) on March 27, 2019

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Maimuna (Guest) on March 27, 2019

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Rose Waithera (Guest) on March 17, 2019

😊🀣πŸ”₯

Jamila (Guest) on March 16, 2019

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Edwin Ndambuki (Guest) on February 16, 2019

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Paul Kamau (Guest) on February 10, 2019

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Edwin Ndambuki (Guest) on January 21, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Shukuru (Guest) on January 4, 2019

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Charles Wafula (Guest) on December 5, 2018

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Christopher Oloo (Guest) on December 3, 2018

πŸ˜… Bado ninacheka!

Lucy Wangui (Guest) on November 25, 2018

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Alice Mrema (Guest) on November 9, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Andrew Odhiambo (Guest) on November 3, 2018

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Kassim (Guest) on October 30, 2018

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Maida (Guest) on October 27, 2018

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Miriam Mchome (Guest) on October 24, 2018

πŸ˜‚πŸ€£

Patrick Akech (Guest) on October 21, 2018

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Josephine Nekesa (Guest) on October 11, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Alice Mwikali (Guest) on October 10, 2018

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Mary Kendi (Guest) on September 27, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Agnes Sumaye (Guest) on September 11, 2018

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Dorothy Nkya (Guest) on September 1, 2018

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Robert Okello (Guest) on July 29, 2018

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Diana Mumbua (Guest) on July 28, 2018

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Ruth Kibona (Guest) on July 20, 2018

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Maimuna (Guest) on July 11, 2018

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Samuel Omondi (Guest) on June 17, 2018

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Alice Wanjiru (Guest) on May 21, 2018

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Brian Karanja (Guest) on March 25, 2018

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Elijah Mutua (Guest) on March 19, 2018

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Frank Macha (Guest) on March 13, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Maida (Guest) on March 6, 2018

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Mwanaidi (Guest) on January 26, 2018

πŸ˜„ Kali sana!

Amina (Guest) on January 20, 2018

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Rose Kiwanga (Guest) on January 7, 2018

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Jane Muthoni (Guest) on December 20, 2017

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Diana Mallya (Guest) on December 6, 2017

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Joseph Kawawa (Guest) on November 23, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Bernard Oduor (Guest) on November 18, 2017

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Abdullah (Guest) on November 16, 2017

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Amina (Guest) on November 8, 2017

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Stephen Mushi (Guest) on November 1, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Monica Adhiambo (Guest) on October 16, 2017

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Henry Mollel (Guest) on September 24, 2017

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Maneno (Guest) on September 15, 2017

πŸ˜† Bado nacheka!

Omari (Guest) on September 4, 2017

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on August 29, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Zainab (Guest) on August 22, 2017

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Khadija (Guest) on July 24, 2017

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Charles Mchome (Guest) on July 17, 2017

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Related Posts

Mambo ya kijijini haya!

Mambo ya kijijini haya!

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani

Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani

Chizi kaanguka toka kwenye gorofa fasta watu wakamfuata kumsaidia wakamuulza VP IMEK... Read More

Huyu mme ni shida

Huyu mme ni shida

MKE..mume wangu unaweza kuua simba kwasababu yangu???

MME: Hapana mke wangu, sema kingineRead More

Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli

Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli

Kasuku alisimama mlango wa kuingia supermarket wakapita wanawake watatu akasema nyeupe, nyekundu, ki... Read More
Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

πŸ˜‚πŸ˜‚ kweli nimeamin mitandao inahribu watu

Leo kuna jamaa kamuona Dada akipita barabara... Read More

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Wewe ni mza... Read More

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Jamaa flani alikuwa amelala na mkewe. Mara akamuona mtu amesimama kitandani.

Jamaa akafoka,... Read More

Angalia huyu bibi alichotufanyia kwenye gari

Angalia huyu bibi alichotufanyia kwenye gari

​tulikua kwenye gari kibao ad wengne mlangon likasmimama kituo kimoja kulikua kuna bibi anataka... Read More

Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi

Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi

JE, una KITAMBI na unataka kukiondoa?

FANYA HAYA;

1. Kopa mkopo mkubwa benkiRead More

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Miaka 13: Usipende wavulana ni wabaya.
Miaka 18: Sitaki nikuone na yule mvulana tena!
M... Read More

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza
Mashuleni, wanaenda kwenye
Engineering na Medical sc... Read More

Huyu Jamaa bwana! Cheki anavyojibu sasa

Huyu Jamaa bwana! Cheki anavyojibu sasa

*Mdukuzi:* _halloo massai unasemaj_
*Massai:* _safi rafiki_

*Mdukuzi:* _nikikuuliza sw... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About