Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Featured Image

Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake:
JAMAA: Shem nakupenda!
MKE: Hebu toka hapa! Je rafiki
yako akijua? tena koma!
JAMAA: Ntakupa milioni 1!
MKE: Basi njoo kesho mchana
mume wangu akiwa kazini!

Kesho yake Jamaa kaja
na milioni 1 wakamalizana na mke wa rafki yake,
jioni ilipofika
Mume akarudi home na
kumuuliza Mkewe, "Rafki yangu SAM kaleta hela yangu milioni 1?"
MKE akajibu kwa unyonge, "Ndio!"
MUME: Yes! Ndio maana nampenda SAM kanikopa asubuhi jioni karejesha!!!!
Mke hoi……

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Ann Wambui (Guest) on July 6, 2024

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Agnes Sumaye (Guest) on July 3, 2024

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Salma (Guest) on June 20, 2024

πŸ˜… Bado nacheka!

Lucy Kimotho (Guest) on June 9, 2024

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Patrick Akech (Guest) on June 4, 2024

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Samson Tibaijuka (Guest) on May 6, 2024

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Saidi (Guest) on April 27, 2024

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Jafari (Guest) on April 12, 2024

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Lydia Mutheu (Guest) on April 1, 2024

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Catherine Naliaka (Guest) on March 20, 2024

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Linda Karimi (Guest) on March 17, 2024

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Monica Lissu (Guest) on March 4, 2024

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Edith Cherotich (Guest) on January 24, 2024

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Grace Majaliwa (Guest) on January 20, 2024

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Faiza (Guest) on January 18, 2024

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Wilson Ombati (Guest) on January 2, 2024

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Baridi (Guest) on January 1, 2024

πŸ˜„ Kali sana!

Lydia Mahiga (Guest) on December 27, 2023

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Sumaya (Guest) on December 18, 2023

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Betty Kimaro (Guest) on December 14, 2023

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Janet Wambura (Guest) on November 24, 2023

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

John Mushi (Guest) on November 20, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

George Mallya (Guest) on November 4, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Susan Wangari (Guest) on October 30, 2023

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Issa (Guest) on October 10, 2023

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

David Chacha (Guest) on September 24, 2023

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Joyce Nkya (Guest) on September 6, 2023

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Victor Kimario (Guest) on August 19, 2023

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Carol Nyakio (Guest) on June 25, 2023

πŸ˜‚ Kali sana!

Daniel Obura (Guest) on May 13, 2023

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Khatib (Guest) on April 26, 2023

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Simon Kiprono (Guest) on March 20, 2023

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Sarah Karani (Guest) on March 19, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Rose Mwinuka (Guest) on March 15, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Janet Wambura (Guest) on February 28, 2023

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Isaac Kiptoo (Guest) on January 25, 2023

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Josephine Nekesa (Guest) on January 23, 2023

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Sekela (Guest) on January 7, 2023

πŸ˜… Bado ninacheka!

Francis Mrope (Guest) on January 6, 2023

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Faith Kariuki (Guest) on December 26, 2022

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Mercy Atieno (Guest) on December 21, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Brian Karanja (Guest) on December 16, 2022

😁 Hii ni dhahabu!

John Lissu (Guest) on December 10, 2022

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Baridi (Guest) on September 24, 2022

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Irene Makena (Guest) on September 24, 2022

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Edith Cherotich (Guest) on September 18, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Dorothy Nkya (Guest) on August 28, 2022

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

David Musyoka (Guest) on August 20, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Umi (Guest) on July 24, 2022

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Esther Cheruiyot (Guest) on July 22, 2022

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

George Ndungu (Guest) on July 17, 2022

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Betty Akinyi (Guest) on April 29, 2022

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Abubakari (Guest) on April 25, 2022

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Moses Kipkemboi (Guest) on April 15, 2022

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Joyce Nkya (Guest) on March 29, 2022

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Fikiri (Guest) on February 22, 2022

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Zakia (Guest) on February 19, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Francis Mtangi (Guest) on February 12, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Lucy Wangui (Guest) on January 27, 2022

πŸ˜‚πŸ€£

Charles Mrope (Guest) on December 17, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Related Posts

Duh! Wanaume jamani…

Duh! Wanaume jamani…

Lakini sisi wanaume hatuko fair … Yani demu anang'ng'ana kujipodoa uso na sisi tunaang... Read More

Kali ya mwaka iliyotokea Benki Baada ya wezi kuiba

Kali ya mwaka iliyotokea Benki Baada ya wezi kuiba

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Hii sasa kali kweli kweli!!

Hii sasa kali kweli kweli!!

MCHUNGAJI alitangaza kila mwanaume aliye na mke atoe sadaka kulingana na uzuri wa mke wake…bac... Read More

Utani wa wachaga

Utani wa wachaga

Wachaga wamegawanyika kama ifuatavyo, sio wote wajanja. Kuna:-

1. WAROMBO; Hawa wajanja san... Read More

Mvua zazua kasheshe! Soma hii..

Mvua zazua kasheshe! Soma hii..

Baba- : Halloo mke wangu.. yaani ni shida sitaweza kurudi nyumban, daraja limevunjika na kutoka m... Read More

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Nmeokoa maisha ya mtu asubuhi ya leo huwezi amini.Nmekutana na ombaomba nikamuuliza atajisikiaje ... Read More

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza shidaaaa……!

Mwalimu wa chakula alipokuwa anaongea na wapishi akiwaeleza maha... Read More

Ufugaji wa nguruwe kazi, Cheki jamaa hawa wake walivyompa mtihani

Ufugaji wa nguruwe kazi, Cheki jamaa hawa wake walivyompa mtihani

MWANAHARAKATI: Hawa nguruwe unawalishanini?
.

... Read More
Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

JE WAJUA?

Je wajua kwamba kuku wa kwenye Whatsapp anamzidi tembo ukubwa? πŸ“πŸ‘‰πŸ½πŸ... Read More

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Jamaa mmoja dereva wa bajaji alianguka, sasa bajaji ikawa imem'bana akawa anafurukuta bil... Read More

Tabia za Kimama kwa wanaume

Tabia za Kimama kwa wanaume

1, mwanaume kuoga haraka haraka ili uwahi kuangalia igizo, huo ni UMAMA..πŸ˜‚

2, mwanaume k... Read More

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Duh! Angalia alichokula huyu mwizi! Wizi mwingine bwana!

Baada ya mwizi kuvunja mlango huko Tarime, akaingia kwenye stoo akaona vinyama kwenye bakuli vik... Read More