Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Featured Image

Msichana wa kazi alitaka mama mwenye nyumba ampandishie mshahara….. Mama mwenye nyumba akamwambia msichana ampe sababu tatu za kutaka kupandishiwa mshahara.

Msichana: Napika vizuri kuliko wewe.

Mama: Nani kakuambia?
Msichana: Baba kaniambia.

Mama: ok. Sababu ya pili?
Msichana: Napasi nguo vizuri kuliko wewe

Mama: Nani kakuambia na hili?

Msichana: Baba pia kaniambia

Mama: ok, na sababu ya tatu?

Msichana: Najitahidi kitandani kuliko wewe.

(Hapa mama kaonekana kutaka kujua zaidi na akawa tayari kujiandaa kumrukia akate kichwa cha binti mara moja)

Mama: Mume wangu kakuambia na hili pia?

Msichana: Hapana ni Shamba boy kaniambia mimi najitahidi kitandani kuliko wewe.

Mama: Tafadhali punguza sauti baba yako asisikie. Nitakupandishia mshahara wako mara tatu…….

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Richard Mulwa (Guest) on January 21, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Rose Mwinuka (Guest) on January 15, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Mercy Atieno (Guest) on January 3, 2020

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

John Kamande (Guest) on December 28, 2019

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Nancy Komba (Guest) on December 23, 2019

πŸ˜‚πŸ‘Œ

David Musyoka (Guest) on November 10, 2019

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Samuel Were (Guest) on October 29, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Monica Adhiambo (Guest) on October 13, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Njuguna (Guest) on October 3, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

George Mallya (Guest) on September 12, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Janet Wambura (Guest) on August 11, 2019

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Yusra (Guest) on August 6, 2019

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

John Kamande (Guest) on August 3, 2019

😊🀣πŸ”₯

Joyce Mussa (Guest) on August 3, 2019

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Betty Kimaro (Guest) on July 15, 2019

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Joyce Nkya (Guest) on July 12, 2019

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Chris Okello (Guest) on July 2, 2019

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Anna Mchome (Guest) on June 21, 2019

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

James Kawawa (Guest) on June 2, 2019

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Andrew Mahiga (Guest) on May 25, 2019

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Henry Sokoine (Guest) on May 25, 2019

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Stephen Kangethe (Guest) on May 19, 2019

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Warda (Guest) on May 6, 2019

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Mary Sokoine (Guest) on May 5, 2019

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Ibrahim (Guest) on May 1, 2019

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Martin Otieno (Guest) on April 30, 2019

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Benjamin Kibicho (Guest) on April 7, 2019

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Paul Ndomba (Guest) on April 3, 2019

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Agnes Lowassa (Guest) on April 1, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Catherine Naliaka (Guest) on March 16, 2019

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Linda Karimi (Guest) on March 5, 2019

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Josephine (Guest) on January 16, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

Victor Kamau (Guest) on December 16, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Joseph Kitine (Guest) on December 9, 2018

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Muslima (Guest) on November 28, 2018

😁 Kicheko bora ya siku!

Edward Lowassa (Guest) on November 14, 2018

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Tabitha Okumu (Guest) on October 28, 2018

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Paul Ndomba (Guest) on October 3, 2018

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Kazija (Guest) on October 2, 2018

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Miriam Mchome (Guest) on September 17, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Halima (Guest) on September 12, 2018

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Jafari (Guest) on September 11, 2018

😁 Hii ni dhahabu!

Agnes Njeri (Guest) on August 27, 2018

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Ruth Wanjiku (Guest) on August 1, 2018

🀣 Hii imewaka moto!

Anna Mahiga (Guest) on July 17, 2018

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Azima (Guest) on July 16, 2018

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Mwanahawa (Guest) on July 14, 2018

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

John Mushi (Guest) on June 17, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Edwin Ndambuki (Guest) on June 11, 2018

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Samuel Omondi (Guest) on May 5, 2018

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Ahmed (Guest) on March 30, 2018

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Nancy Komba (Guest) on March 13, 2018

Asante Ackyshine

Lucy Kimotho (Guest) on March 5, 2018

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Paul Kamau (Guest) on February 15, 2018

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

James Kawawa (Guest) on February 2, 2018

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Grace Njuguna (Guest) on January 7, 2018

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Emily Chepngeno (Guest) on January 4, 2018

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Charles Wafula (Guest) on December 23, 2017

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Sokoine (Guest) on December 21, 2017

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

John Kamande (Guest) on November 28, 2017

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Related Posts

Eti ni kweli hii ni sababu wanaume wana Upendo Sana?

Eti ni kweli hii ni sababu wanaume wana Upendo Sana?

Wanaume wana upendo kwa kweli.

Mwanaume hata akipewa kundi la wanawake 90 achague mmoja!! H... Read More

Faida 3 za uvutaji wa sigara

Faida 3 za uvutaji wa sigara

Ni hizi

1. Mvuta sigara hazeeki
2. Mvuta sigara haumwi na mbwa
3. Mvuta sigara ny... Read More

Ufugaji wa nguruwe kazi, Cheki jamaa hawa wake walivyompa mtihani

Ufugaji wa nguruwe kazi, Cheki jamaa hawa wake walivyompa mtihani

MWANAHARAKATI: Hawa nguruwe unawalishanini?
.

... Read More
Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga

Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga

Mwanamke wakizaramo: Unampa hela ana nunua dela anaenda ana msutia jirani, anali... Read More

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.

MWAL: John we ... Read More

Mipango ya mke na mume ya pasaka

Mipango ya mke na mume ya pasaka

Mke: Unampango gani na pasaka hii mmewangu..
Mume: Nitafanya kama yesu..
Mke: Unamaanis... Read More

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Leo nimechoka zangu alafu shangazi amekuja anataka nimuunganishe facebook. Imebidi nimwambie
Read More

Angalia huyu bibi alichotufanyia kwenye gari

Angalia huyu bibi alichotufanyia kwenye gari

​tulikua kwenye gari kibao ad wengne mlangon likasmimama kituo kimoja kulikua kuna bibi anataka... Read More

Jambo usilolijua kuhusu mwili wako

Jambo usilolijua kuhusu mwili wako

JE WAJUA!…..

Msuli mrefu kuliko yote kwenye mwili wa binadamu unaunganis... Read More

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

DOGO: Mama Jana Baba Alikuja Na Mwanamke Na
Akaanza Kumtoa Nguo Huku Akimuita Beib…
B... Read More

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Mtalii: Do you have vegetables here.
Mtafsiri: Mnavyo vijimeza hapa.
Waiter: Vijimeza v... Read More

Mambo makuu matatu waafrika tusiyoyajua

Mambo makuu matatu waafrika tusiyoyajua

NIMEKAA NIKAWAZA πŸ™‡πŸΌ KUWA KUNA MAMBO KAMA MATATU HIVIπŸ‘ŒπŸ» WAAFRIKA HATUYAJUI πŸ™‰ KAMA TUNG... Read More
πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About