Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Ungekua wewe ni mwalimu ungemshauri nini huyu mwanafunzi?

Featured Image

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.

MWAL: John we unataka ukiwa mkubwa uwe nani?

JOHN: Nataka niwe daktari wa moyo niwasaidie watanzania wanaougua magonjwa ya moyo.

MWAL: vizuri. Na wewe Rose unataka kuwa nani?

ROSE: Nataka kuwa rubani, niweze kusaidia watu wanapenda kusafiri kw anga.

MWAL: Safi sana Rose. Utakua utakua mfano kwa wasichana wenzio kuwa na bidii kwenye masomo ya sayansi.

MWAL: Na wewe James??

JAMES: mimi nataka kuwa tajiri mkubwa sana. Niwe na nyumba Tanzania, S.Africa, Marekani na Dubai. Niwe na gari 7 za kutembelea. Kila siku nabadilisha. Leo nikipanda hii, siirudii hadi week iishe. Nataka niwe namiliki viwanda, Makampuni, ndege binafsi na mashamba makubwa. Nataka niwe na nguvu serikalini ya kuamua nani awe Rais na nani asiwe……"

Akameza mate kisha akaendelea….

"Nataka kuwa na walinzi 20 wenye silaha nzito wakinizunguka, na watumishi wakininyenyekea. Nataka kuwa bilionea ninayeogopwa. Lakini pia nataka kuwa na mke mzuuuri sana ambaye nitakuwa natembea nae kila mahali."

MWAL: ndoto nzuri sn lakini unahitaji bidii sana kutimiza. Haya na wewe Jenny tueleze unataka kuwa nani??

JENNY: Nataka kuwa mke wa James.!!

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Moses Kipkemboi (Guest) on July 22, 2024

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Aziza (Guest) on July 8, 2024

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Rose Amukowa (Guest) on June 24, 2024

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Mchawi (Guest) on June 18, 2024

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

John Mushi (Guest) on June 7, 2024

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joyce Mussa (Guest) on June 7, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Francis Mrope (Guest) on May 21, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on May 15, 2024

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Samuel Omondi (Guest) on April 29, 2024

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Jacob Kiplangat (Guest) on April 11, 2024

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Anna Mahiga (Guest) on April 8, 2024

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Yusra (Guest) on March 18, 2024

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Shamim (Guest) on March 2, 2024

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Isaac Kiptoo (Guest) on February 7, 2024

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

James Mduma (Guest) on January 24, 2024

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Janet Wambura (Guest) on January 22, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Anna Sumari (Guest) on January 5, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Monica Adhiambo (Guest) on November 12, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Susan Wangari (Guest) on November 9, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Samson Tibaijuka (Guest) on November 6, 2023

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Edward Chepkoech (Guest) on October 14, 2023

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Margaret Mahiga (Guest) on September 3, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Mary Mrope (Guest) on August 14, 2023

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Stephen Kangethe (Guest) on August 13, 2023

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Samuel Were (Guest) on August 10, 2023

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Peter Mbise (Guest) on July 22, 2023

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Tabitha Okumu (Guest) on July 10, 2023

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Victor Kamau (Guest) on July 2, 2023

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joseph Kitine (Guest) on June 27, 2023

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Nicholas Wanjohi (Guest) on June 21, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Mwanahawa (Guest) on June 18, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Alice Mrema (Guest) on June 7, 2023

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Wilson Ombati (Guest) on June 1, 2023

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Sarah Karani (Guest) on May 30, 2023

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Peter Mwambui (Guest) on May 12, 2023

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Warda (Guest) on April 28, 2023

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Martin Otieno (Guest) on April 27, 2023

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Patrick Mutua (Guest) on April 19, 2023

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Wilson Ombati (Guest) on April 10, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Sarah Achieng (Guest) on April 3, 2023

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Edith Cherotich (Guest) on April 2, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Alex Nyamweya (Guest) on March 26, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Stephen Malecela (Guest) on January 3, 2023

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Joy Wacera (Guest) on December 10, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Edward Chepkoech (Guest) on December 4, 2022

πŸ˜‚πŸ˜†

Joseph Njoroge (Guest) on November 24, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

George Ndungu (Guest) on November 2, 2022

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Salima (Guest) on October 27, 2022

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Jane Malecela (Guest) on October 25, 2022

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Elizabeth Mtei (Guest) on October 23, 2022

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Joseph Kitine (Guest) on October 14, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Lucy Mahiga (Guest) on September 29, 2022

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

John Mwangi (Guest) on August 23, 2022

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Elizabeth Malima (Guest) on August 22, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

Nora Kidata (Guest) on July 26, 2022

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

George Wanjala (Guest) on July 3, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Abdillah (Guest) on June 28, 2022

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Muslima (Guest) on April 27, 2022

πŸ˜„ Kali sana!

David Kawawa (Guest) on April 5, 2022

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Irene Akoth (Guest) on March 14, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

MVULANA:Β Daktari, rafiki yangu wa kike ni mjamzito, l... Read More

Mcheki Chizi na daktari

Mcheki Chizi na daktari

Tafakari na ujumbe huuuu!!!…

DAKTARI :- Unajisikiaje?

CHIZI:-Kila siku naota nyani ... Read More

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Mume alimpa mkewe talaka wakaenda mahakamani ili hakimu aamue nani aka... Read More
Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Jamaa Wawili Walifika Stesheni, wakakuta Treni ndo kwanza inaondoka. Wakaanza Kuikimbiza. Mmoja a... Read More

Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Ulishawahi kutana na hii….
Issa: mambo
Jeni:poa vp
Issa:poa nambie:

Jeni:p... Read More

Staili nyingine za michepuko ni shida

Staili nyingine za michepuko ni shida

Mtu na mkewe walikuwa bado wamelala asubuhi, mtu akapiga hodi mke akaenda kufungua mlango, si aka... Read More

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Ukiona hivyo ujue ndio hivi

Mwanaume mwenzangu ukiona unamtext msg msichana WhatsApp kaisom... Read More

Wale wa kupenda kupewa pewa namba za simu soma hii

Wale wa kupenda kupewa pewa namba za simu soma hii

Unaomba namba ya simu ya mdada af anakunyima ila unalazimisha akupe anaona kuliko muendelee kuong... Read More

KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku

KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku

Ukiona masikin kachinja kuku basi kat ya kuku au yeye kuna mmoja atakua mgonjwa... Read More

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

1:Mkimaliza kuongea niambieni niendelee kufundisha

2:Baba yako kauza ng'ombe ili alete ng'o... Read More

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More

Cheka kidogo: Majibu ya mhindi kwenye mtihani wa Kiswahili alipoambiwa ajibu methali

Cheka kidogo: Majibu ya mhindi kwenye mtihani wa Kiswahili alipoambiwa ajibu methali

Mhindi kwenye mtihani wa kiswahili anaambiwa amalizie methali:

(a)Nyani haoni…..valisa... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About