Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

Featured Image

1. Ati wee ni m-black mpaka ukiingia kwa dinga(gari), dirisha zinakuwa tinted!

2. Kwenu kuchafu mpaka mende zinatema mate.

3. Vile wewe mfupi, ukipiga picha ya passport inatokea full.

4. Ati(house) yenu ina gate lakini hakuna fence.

5. Baba alienda ku buy ngombe akaona ikikojoa akasema sitaki hiyo imetoboka.

6.Wee mblack mpaka ukikutana na mzungu afternoon anakusalimia: Good evening.

7. Mko wengi kwa house mpaka kuna rush hours na kukinyesha kunakuwa na jam.

8. Paka yenu noma mpaka ikishika panya inaomba chumvi, fork na pilipili.

9. We ni mrefu mpaka ukikunywa maziwa inafika kwa tumbo ikiwa mgando.

10.Wewe ni mweusi ukikanyanga makaa unawacha footprint nyeusi.

11. Kwenyu mkikunywa maji mnaitisha toothpick

12. We ni mbishi hadi ulikataa kuzaliwa uchi

13. Kwenu kuna insecurity ikifika usiku hadi geti mnaingiza ndani

14. Kwenu ni wengi sana hadi mmeweka round about ndani.

15. Wewe ni mlafi hadi maji uliyochemshia mayai unayafanya supu.

16. We ni mjinga sana hadi blood test ulifeli.

17. Una chogo refu hadi ukigeuka haraka unaweza kuliona.

18. Una kichwa kikubwa hadi ukiingia kwenye daladala konda anakwambia "abiria usiingie na mizigo, tunaweka juu kwenye carrier

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Khamis (Guest) on April 10, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Alice Mrema (Guest) on March 7, 2023

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Henry Mollel (Guest) on March 4, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Irene Makena (Guest) on February 24, 2023

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Alex Nyamweya (Guest) on January 21, 2023

πŸ˜… Bado ninacheka!

Alice Mrema (Guest) on December 28, 2022

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Raphael Okoth (Guest) on November 25, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Anna Malela (Guest) on November 9, 2022

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Ruth Mtangi (Guest) on October 31, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Edward Lowassa (Guest) on October 22, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Alice Mwikali (Guest) on October 4, 2022

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on September 29, 2022

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Ruth Mtangi (Guest) on September 22, 2022

🀣 Hii imenigonga vizuri!

John Mwangi (Guest) on July 14, 2022

πŸ˜… Nilihitaji hii!

David Kawawa (Guest) on July 10, 2022

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Jacob Kiplangat (Guest) on July 5, 2022

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Amina (Guest) on June 24, 2022

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Joyce Mussa (Guest) on June 21, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Mwanaidi (Guest) on June 12, 2022

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Joseph Njoroge (Guest) on June 11, 2022

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Dorothy Mwakalindile (Guest) on June 11, 2022

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Jane Malecela (Guest) on May 30, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Stephen Malecela (Guest) on May 13, 2022

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Thomas Mtaki (Guest) on April 9, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Anna Mahiga (Guest) on March 7, 2022

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Rose Lowassa (Guest) on March 2, 2022

πŸ˜„ Kali sana!

Grace Njuguna (Guest) on December 14, 2021

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Peter Otieno (Guest) on December 9, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Elizabeth Mtei (Guest) on November 27, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Violet Mumo (Guest) on November 25, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Philip Nyaga (Guest) on November 25, 2021

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Anna Sumari (Guest) on October 25, 2021

πŸ˜† Bado nacheka!

Martin Otieno (Guest) on October 22, 2021

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Sofia (Guest) on October 19, 2021

🀣 Hii imewaka moto!

Linda Karimi (Guest) on October 12, 2021

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Carol Nyakio (Guest) on October 5, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Mwanaisha (Guest) on September 19, 2021

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Mustafa (Guest) on September 14, 2021

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Janet Sumaye (Guest) on September 7, 2021

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Stephen Kangethe (Guest) on July 27, 2021

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Thomas Mtaki (Guest) on May 19, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Nancy Kawawa (Guest) on May 12, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Peter Mwambui (Guest) on April 30, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Anna Mchome (Guest) on April 25, 2021

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

James Mduma (Guest) on April 21, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Peter Tibaijuka (Guest) on April 15, 2021

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Victor Kamau (Guest) on April 2, 2021

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Thomas Mtaki (Guest) on March 17, 2021

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Grace Minja (Guest) on February 20, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Nora Lowassa (Guest) on February 7, 2021

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Mercy Atieno (Guest) on January 20, 2021

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Ruth Kibona (Guest) on January 14, 2021

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Monica Nyalandu (Guest) on December 25, 2020

πŸ˜† Kali sana!

Thomas Mwakalindile (Guest) on December 21, 2020

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

John Lissu (Guest) on October 29, 2020

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Catherine Mkumbo (Guest) on October 14, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Jane Muthoni (Guest) on October 5, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Dorothy Majaliwa (Guest) on September 23, 2020

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Raphael Okoth (Guest) on August 31, 2020

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

John Kamande (Guest) on August 9, 2020

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Related Posts

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

Baba mmoja Juzi alimpaka Sumu Mke wake kwenye Matiti akiwa amelala ili Mtoto akinyonya afe kwani... Read More

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Mhindi afaulu mtihani wa Kiswahili

(1) Mfa maji ?……………….. Tampa life jacket.Read More

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

*Mchaga mmoja kamtoa mke wake out.*

*mchaga* : _chips yai bei gani?_

*mhudumu*: _elfu... Read More

Misemo 17 ya kuchekesha

Misemo 17 ya kuchekesha

1) gari la kuvutwa halina overtake
2) kisigino hakikakai mbele
3) wimbo wa taifa haupgw... Read More

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae... Read More

Cheka na methali

Cheka na methali

1.Simba mwendapole =Huyo ni Sharobaro
2.Asiyefunzwa na Mamae= Ujue Mama hajapitia Ualimu
Read More

Huyu Jamaa kaona bora afe kuliko mke wake ajue Siri zake

Huyu Jamaa kaona bora afe kuliko mke wake ajue Siri zake

Jamaa Mmoja Alimwambia Mke Wake Wasiliana Na Kitengo Cha Dharura Hospitali, Niko Taabani Nahisi ... Read More

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Juzi nikitoka church nilipanda kihiace na kulikuwa na mrembo mkali hujawahi kuona,kila kijana ali... Read More

Hapo sasa akili itakuja

Hapo sasa akili itakuja

Pale unapo gundua kuwa yule ulie mtukana kwenye bajaji ndio boss anaeenda kukufanyia inte... Read More

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "Naitwa John nimepiga s... Read More
Cheki huyu mtoto anachosema

Cheki huyu mtoto anachosema

sijui hili toto langu nilipeleke wapi, Leo limetoka shule eti nikaliuliza BIBILIA kwa kingereza i... Read More

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Mume alimpa mkewe talaka wakaenda mahakamani ili hakimu aamue nani aka... Read More
πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About