Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

Featured Image

RAFIKI: Vipi mbona leo huna uchangamfu
JAMAA: Wanawake bwana, mwanamke hata umpendeje atakugeuka tu
RAFIKI: Nini tena ndugu yangu? Mbona shemeji mtu fresh sana
JAMAA: Hata mimi nilikuwa najua hivyo, leo nimegundua kumbe ana siri kubwa sana
ananificha, mi naita huu ni usaliti wa ndoa.
RAFIKI: Nini tena?

JAMAA:Nimegundua mke wangu kumbe anafanya biashara ya kitimoto na hajawahi hata kuniambia
RAFIKI: Kitimoto? We umejuaje?
JAMAA: Leo asubuhi nilichelewa kuamka niliamua nijipumzishe kidogo kabla ya kwenda kazini, simu ya mke wangu ikalia, nikaamua kuipokea, kabla hata sijafungua mdomo, nikasikia sauti ya mwanaume mmoja akauliza, β€œHuyo nguruwe umeshamuondoa?’ Hebu we fikiria nilivyoshtuka, yaani mpaka sasa nashindwa kuamini kuwa mke wangu ananizunguka anafanya biashara ya nguruwe hajaniambia hata siku moja

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Anthony Kariuki (Guest) on December 11, 2021

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

George Mallya (Guest) on November 30, 2021

πŸ˜‚πŸ€£

Patrick Mutua (Guest) on November 15, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Lydia Mutheu (Guest) on November 6, 2021

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Kiza (Guest) on October 20, 2021

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Anna Mchome (Guest) on October 12, 2021

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Joseph Kawawa (Guest) on October 8, 2021

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Lydia Wanyama (Guest) on September 28, 2021

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Isaac Kiptoo (Guest) on August 28, 2021

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mary Kidata (Guest) on August 27, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

George Mallya (Guest) on August 22, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Ruth Wanjiku (Guest) on August 16, 2021

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Lucy Mahiga (Guest) on August 13, 2021

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

George Ndungu (Guest) on August 10, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Alice Mwikali (Guest) on July 21, 2021

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Catherine Mkumbo (Guest) on July 13, 2021

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Peter Tibaijuka (Guest) on June 2, 2021

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Josephine Nekesa (Guest) on May 29, 2021

Asante Ackyshine

Stephen Malecela (Guest) on May 22, 2021

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Tabu (Guest) on May 22, 2021

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Anna Sumari (Guest) on May 14, 2021

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Patrick Mutua (Guest) on May 8, 2021

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Daniel Obura (Guest) on May 4, 2021

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Irene Makena (Guest) on April 22, 2021

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Charles Mchome (Guest) on April 4, 2021

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

David Sokoine (Guest) on April 3, 2021

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Rose Mwinuka (Guest) on March 16, 2021

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Joyce Aoko (Guest) on February 17, 2021

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Alex Nakitare (Guest) on February 4, 2021

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Yusuf (Guest) on February 3, 2021

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Francis Njeru (Guest) on January 20, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Sofia (Guest) on January 13, 2021

😁 Hii ni dhahabu!

Jane Malecela (Guest) on January 12, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Saidi (Guest) on January 7, 2021

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Masika (Guest) on December 25, 2020

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Joseph Kiwanga (Guest) on December 21, 2020

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Sultan (Guest) on November 15, 2020

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Abdillah (Guest) on November 15, 2020

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Andrew Mahiga (Guest) on November 8, 2020

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

John Mwangi (Guest) on November 5, 2020

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Alex Nakitare (Guest) on October 28, 2020

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Saidi (Guest) on October 10, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Mary Sokoine (Guest) on October 2, 2020

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Lydia Wanyama (Guest) on August 20, 2020

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

James Kawawa (Guest) on August 14, 2020

πŸ˜‚ Kali sana!

Grace Mushi (Guest) on August 7, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Wilson Ombati (Guest) on June 12, 2020

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Stephen Kangethe (Guest) on May 12, 2020

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Moses Mwita (Guest) on April 3, 2020

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Mwafirika (Guest) on April 3, 2020

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Joseph Kawawa (Guest) on March 22, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Jamila (Guest) on March 13, 2020

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

David Chacha (Guest) on March 7, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Ibrahim (Guest) on February 8, 2020

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

John Mwangi (Guest) on January 20, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Baridi (Guest) on January 18, 2020

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Patrick Kidata (Guest) on December 24, 2019

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Amani (Guest) on December 21, 2019

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Joseph Kawawa (Guest) on December 18, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Njuguna (Guest) on December 12, 2019

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?

Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?

Siku hizi kudekezwa na kupetiwa petiwa tunawaachia matajiri

Hakuna mwanamke yupo tayar kula... Read More

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Baba na mama baada ya kurudi safari pamoja wakakuta BARUA iko mezani SEBULENI ikisema…. "Baba n... Read More

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ushawai kumpenda dem na kumfia mazima kiasi kwmb anakwambia ye ana msela lkn we huelewi..unamkaz... Read More

Tenda Wema Uende Zako

Tenda Wema Uende Zako

Nimekuta panya ana struggle kuingia chini ya mlango wa jirani yangu…

Nikagonga mlango Jir... Read More

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Hata kama ni Mgeni this is too much. Mwenyeji: Karibu mgeni karibu ukae,utapenda chai au soda? Mgeni... Read More
Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa f... Read More
Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Jana nilipanda daladala nikapata seat nikaketi, nikawa nimejiachia ninachati kwenye simu yangu(Sm... Read More

Hii bahati mbaya hii haifai kusema Samahani

Hii bahati mbaya hii haifai kusema Samahani

(KIFO NI NIN)
KIFO ni pale unapokosea text na kumtumia

... Read More
Kali ya mwaka iliyotokea Benki Baada ya wezi kuiba

Kali ya mwaka iliyotokea Benki Baada ya wezi kuiba

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

Baba mmoja Juzi alimpaka Sumu Mke wake kwenye Matiti akiwa amelala ili Mtoto akinyonya afe kwani... Read More

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Cheki tabia za kuandika vimaneno vya ajabuajabu kwenye pikipiki na bodaboda ilivyomponza huyu

Jamaa mmoja dereva wa bajaji alianguka, sasa bajaji ikawa imem'bana akawa anafurukuta bil... Read More

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Vichaa wawili walikuwa wamekaa sehemu ghafla ikapita ndege angani kichaa mmoja akasema ndege ile... Read More

πŸ“– Explore More Articles