Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

Featured Image

1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamilia….Je sungura anayeishi mwituni anaitwaje?"

ZUZU:"Sunguramilia."

2.Ticha:"Rais wa kwanza wa kenya aliitwa KENYATTA…Je rais wa kwanza wa
Tanzania aliitwaje?"
ZUZU:"TANZANIATTA."

3. Ticha:"Kuku yuko katika jamii ya NDEGE…Je samaki yuko katika jamii ya nini?"

ZUZU:"MELI."

4. Ticha:"Coach wa Arsenal anaitwa ARSENE,wa Man-city anaitwa MANCINI….Je wa
Liverpool anaitwaje?

ZUZU:"LIVER."

5 Ticha:"Ukiwa na mbuzi 10,wezi waje waibe 5,utabaki na nini?"

ZUZU:"Hasira nyingi sana!"

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Maimuna (Guest) on April 5, 2022

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Edith Cherotich (Guest) on March 1, 2022

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Majid (Guest) on February 16, 2022

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Francis Mtangi (Guest) on February 14, 2022

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Dorothy Mwakalindile (Guest) on February 2, 2022

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Edwin Ndambuki (Guest) on January 10, 2022

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Lucy Kimotho (Guest) on January 2, 2022

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Leila (Guest) on November 30, 2021

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

George Ndungu (Guest) on November 8, 2021

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

George Tenga (Guest) on October 30, 2021

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Rose Mwinuka (Guest) on October 25, 2021

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mwanajuma (Guest) on October 19, 2021

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Monica Nyalandu (Guest) on August 30, 2021

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Carol Nyakio (Guest) on August 29, 2021

πŸ˜‚πŸ˜…

Joseph Njoroge (Guest) on August 23, 2021

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Agnes Sumaye (Guest) on July 19, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Mwanakhamis (Guest) on July 10, 2021

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Linda Karimi (Guest) on June 11, 2021

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Anna Mchome (Guest) on May 19, 2021

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Issack (Guest) on May 18, 2021

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Peter Mugendi (Guest) on April 21, 2021

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Miriam Mchome (Guest) on April 18, 2021

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Jackson Makori (Guest) on February 27, 2021

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Philip Nyaga (Guest) on January 20, 2021

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Maimuna (Guest) on January 5, 2021

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Betty Akinyi (Guest) on December 8, 2020

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Henry Sokoine (Guest) on December 4, 2020

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Sofia (Guest) on December 1, 2020

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

James Kimani (Guest) on December 1, 2020

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Monica Lissu (Guest) on November 29, 2020

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Grace Minja (Guest) on November 16, 2020

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Patrick Mutua (Guest) on October 4, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Peter Mugendi (Guest) on September 6, 2020

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Bernard Oduor (Guest) on August 29, 2020

πŸ˜„ Kali sana!

Catherine Mkumbo (Guest) on August 17, 2020

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Lydia Mutheu (Guest) on August 14, 2020

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Jafari (Guest) on July 31, 2020

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Agnes Sumaye (Guest) on July 10, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Lucy Kimotho (Guest) on July 7, 2020

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Catherine Naliaka (Guest) on July 7, 2020

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

John Mushi (Guest) on June 20, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Paul Kamau (Guest) on June 15, 2020

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Sarah Mbise (Guest) on May 13, 2020

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Anna Mchome (Guest) on April 16, 2020

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Lydia Mahiga (Guest) on April 11, 2020

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Tabu (Guest) on April 6, 2020

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Nancy Kawawa (Guest) on March 29, 2020

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Dorothy Mwakalindile (Guest) on March 27, 2020

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Hashim (Guest) on March 6, 2020

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Samson Mahiga (Guest) on February 1, 2020

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Omar (Guest) on December 14, 2019

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Hellen Nduta (Guest) on December 11, 2019

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Irene Akoth (Guest) on November 27, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

David Nyerere (Guest) on November 22, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Zuhura (Guest) on November 19, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

John Kamande (Guest) on November 15, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Nancy Kabura (Guest) on November 5, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Joyce Aoko (Guest) on October 29, 2019

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Catherine Naliaka (Guest) on October 6, 2019

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Janet Wambura (Guest) on October 4, 2019

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Cheki kilichompata huyu dada!!

Cheki kilichompata huyu dada!!

NDOA inafungwa KANISANI Mchungaji akauliza-Yeyote mwenye Pingamizi La Ndoa hii kufungwa aje Mbel... Read More

Madenge hakosi visa. Soma hii

Madenge hakosi visa. Soma hii

MADENGE
HAKOSI
VISA


baada ya kumaliza form four baba akamwambia achague zaw... Read More

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Jamaa alisahau kuzima simu akiwa msikitini anaswali GHAFLA simu ikaita akaingiza mkono ili aikat... Read More

Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Mkaka aliingia kwenye hoteli moja akaketi meza moja na mdada mrembo maarufu sana;
MKAKA: Sam... Read More

Wanawake wanavyopenda hela, hadi kutoka kwa nyani na ngedere

Wanawake wanavyopenda hela, hadi kutoka kwa nyani na ngedere

Kama Nyani na ngedere wangekuwa na pesa…

Trust me Kuna wanawa... Read More

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Nmeokoa maisha ya mtu asubuhi ya leo huwezi amini.Nmekutana na ombaomba nikamuuliza atajisikiaje ... Read More

Hapo sasa akili itakuja

Hapo sasa akili itakuja

Pale unapo gundua kuwa yule ulie mtukana kwenye bajaji ndio boss anaeenda kukufanyia inte... Read More

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Mzee: Dereva ongeza sauti tumsikilize Mwalimu Nyerere!!

Dereva: ungemsikiliza mwalimu wa... Read More

Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Msanii mmoja anaitwa ''KINYA'' alikuwa ana perfom jukwaan..!!!
Kawaida kila msanii lazima aj... Read More

Baadhi ya misemo mikali ya leo

Baadhi ya misemo mikali ya leo

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

2. Hata uwe na magari m... Read More

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

HABARI MPASUKO..

jana katika taasisi ya wanyama pori ya Nat Geo ilitangazwa kuwa ametokea N... Read More

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

*Hadith ya Shemdoe na Mwalimu wa English:*

*Teacher:* `Who is a pharmacist?`

*Shemdoe... Read More

πŸ“– Explore More Articles