Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Haya mapenzi jamani! Umewah kumpenda kwa kihivi??

Featured Image

Sijui Kama ushawai fall in love ile haswaa..

yani unampenda mtoto hadi akikupigia ile sauti ilivo tamu unajiskia kutafuna na kuimeza hiyo simu

Akikuita tu "my love"unajiskia tu kuvua nguo mwenywe
..
hicho kiupendo ukiwa nae unajskia unaweza piga wanaume 8 kwa pamoja

Yani ile love mtashinda pamoja kutwa nzima afu usiku unakopa salio umpigie muongee

Yani yale mapenz kiasi ukiona love story za romeo na Juliet unaona hakuna wanachofanya coz mapenz yao hayafikii yenu..

ile true love akikuangalia machoni akuguse mashavu afu akwambie,"I love u"
Unajishikilia kwenye ukuta usizimie..

yani ukimfikiria unaweza kulala chini ya kitanda Ku dilute hiyo feeling coz ni too much..

Umewahi kufeel hivyo??

Kama ushawai experience hivyo?? Basi HIYO SIYO "LOVE" NI "BANGI" PLZ ACHA KUTUMIA!
#ishakua_biashara_kichaa

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Athumani (Guest) on July 10, 2024

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Lucy Mushi (Guest) on July 5, 2024

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Khadija (Guest) on June 12, 2024

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Irene Makena (Guest) on June 6, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Nora Kidata (Guest) on May 15, 2024

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Stephen Kangethe (Guest) on May 13, 2024

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Lucy Kimotho (Guest) on May 5, 2024

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Abubakar (Guest) on May 2, 2024

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Wilson Ombati (Guest) on April 30, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Frank Sokoine (Guest) on April 19, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Margaret Anyango (Guest) on April 8, 2024

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on April 6, 2024

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Janet Sumari (Guest) on March 27, 2024

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Agnes Njeri (Guest) on March 11, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

John Malisa (Guest) on March 4, 2024

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Mwanajuma (Guest) on February 12, 2024

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Samuel Were (Guest) on January 30, 2024

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Mazrui (Guest) on January 8, 2024

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

David Sokoine (Guest) on October 16, 2023

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Joseph Kitine (Guest) on October 6, 2023

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Betty Akinyi (Guest) on September 23, 2023

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Lydia Mutheu (Guest) on September 15, 2023

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Edith Cherotich (Guest) on September 11, 2023

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Patrick Kidata (Guest) on August 5, 2023

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Agnes Njeri (Guest) on July 27, 2023

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Peter Mbise (Guest) on July 21, 2023

πŸ˜„ Kali sana!

Samuel Omondi (Guest) on July 1, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Victor Mwalimu (Guest) on June 25, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Brian Karanja (Guest) on June 1, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

John Mushi (Guest) on May 28, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Mwanakhamis (Guest) on April 18, 2023

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Nora Kidata (Guest) on February 10, 2023

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Shukuru (Guest) on February 2, 2023

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Mary Kendi (Guest) on January 18, 2023

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Azima (Guest) on December 26, 2022

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Hassan (Guest) on December 15, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

John Kamande (Guest) on December 13, 2022

πŸ˜† Bado nacheka!

Shamsa (Guest) on December 6, 2022

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Janet Mbithe (Guest) on November 22, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Mzee (Guest) on November 16, 2022

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Lucy Kimotho (Guest) on November 15, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Mustafa (Guest) on November 9, 2022

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Robert Okello (Guest) on October 7, 2022

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Lucy Kimotho (Guest) on September 4, 2022

πŸ˜‚πŸ‘Œ

James Kimani (Guest) on August 14, 2022

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Philip Nyaga (Guest) on July 26, 2022

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Arifa (Guest) on July 12, 2022

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Alice Mwikali (Guest) on June 18, 2022

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Lucy Mahiga (Guest) on June 9, 2022

πŸ˜… Bado ninacheka!

Jamila (Guest) on June 3, 2022

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Victor Mwalimu (Guest) on May 22, 2022

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Lucy Mushi (Guest) on May 22, 2022

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Bernard Oduor (Guest) on April 22, 2022

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Francis Njeru (Guest) on April 1, 2022

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Faiza (Guest) on March 29, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Farida (Guest) on March 23, 2022

πŸ˜„ Kichekesho gani!

George Tenga (Guest) on March 12, 2022

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Agnes Njeri (Guest) on January 21, 2022

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Amani (Guest) on January 10, 2022

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Zulekha (Guest) on December 30, 2021

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Related Posts

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Jana niligombana na mke wng, Akaniambia nibebe kila kitu changu niondoke, Bas kiustaarabu... Read More

Njia nne za kufikisha Habari kwa haraka

Njia nne za kufikisha Habari kwa haraka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Duh! Maisha

Ile time unawaza baba angekua MO DWEJI baba ako na ye anawaza mwanangu ... Read More

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa f... Read More
Ufugaji wa nguruwe kazi, Cheki jamaa hawa wake walivyompa mtihani

Ufugaji wa nguruwe kazi, Cheki jamaa hawa wake walivyompa mtihani

MWANAHARAKATI: Hawa nguruwe unawalishanini?
.

... Read More
Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Kuna Daktari wa Moyo alifariki wakamchongeaa jeneza lenye umbo la Moyo. Ghafla Daktari mwingine ... Read More

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

JAMAA: Baba Padri nimekuja kuungama
PADRI: Haya
JAMAA: Niliiba kamba
PADRI: Kamba?... Read More

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza shidaaaa……!

Mwalimu wa chakula alipokuwa anaongea na wapishi akiwaeleza maha... Read More

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

Baba mmoja Juzi alimpaka Sumu Mke wake kwenye Matiti akiwa amelala ili Mtoto akinyonya afe kwani... Read More

Mjini shule. Soma hii

Mjini shule. Soma hii

Kuna mdada nilimkopesha pesa kwa ahadi kuwa baada ya wiki moja atanirejeshea pesa zangu.

Ba... Read More

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Sababu ya girlfriend πŸ‘§ kuniblock

Nimeblockiwa bila kosa X Girlfriend From no where kanitext eti Hi; Vp na huko kwenu mvua... Read More

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Jamaa fulani alikuwa ame2lia beach mzungu akapita akamuliza "Are u relax ? Jamaa akawa hamuelewi... Read More