Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Featured Image

Mwalimu aliingia darasani akiwa amechoka kinoma
akawambia wanafunzi.

'leo tutajifunza kipindi cha
dini " wanafunzi wakiwa wanajiandaa ili kuendelea
na kipindi mwalimu akajiegesha kwenye kiti klichokua
karibuu yake baada ya dakika kadhaa mwalimu alipitiwa
na usingizi, ghafla alingia mkurugenzi na
kusimama pembeni mwa kile kiti alichokalia mwalimu
ghafla kmya kikatawala darasani kiasi cha kunfanya
mwalimu ashtuke usingizini aliamka huku akipiga
miayo alpotupa jicho pembeni alimuona mkurugenzi
kasimama pemben! akiwa anababaika alifungua
kinywa na kusema ' Hivi ndivyo walivyolala wanafunzi
wa YESU walipokua wakimsubli kule mlimani, je
kuna mwenye swal? mkurugeni pale alipokua
akapiga makofi na kumsifia mwalimu kwa kufundisha
kwa vitendo.

Je % Ngapi unampa mwalimu kwa
kusolve kibarua chake.????

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Grace Mligo (Guest) on June 27, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

Habiba (Guest) on May 11, 2022

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Nashon (Guest) on April 27, 2022

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Michael Mboya (Guest) on April 22, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

David Sokoine (Guest) on April 20, 2022

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Faith Kariuki (Guest) on April 14, 2022

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Juma (Guest) on April 8, 2022

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Fadhila (Guest) on March 14, 2022

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Anna Kibwana (Guest) on March 10, 2022

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Alex Nyamweya (Guest) on March 8, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

David Ochieng (Guest) on March 2, 2022

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Rose Lowassa (Guest) on February 22, 2022

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Charles Mrope (Guest) on February 9, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Umi (Guest) on January 28, 2022

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Jackson Makori (Guest) on January 15, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Daniel Obura (Guest) on December 31, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Catherine Mkumbo (Guest) on November 26, 2021

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Joyce Mussa (Guest) on November 6, 2021

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Patrick Mutua (Guest) on October 20, 2021

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Vincent Mwangangi (Guest) on October 4, 2021

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Robert Okello (Guest) on October 2, 2021

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Bakari (Guest) on September 28, 2021

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Josephine (Guest) on September 5, 2021

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Mwanaidi (Guest) on August 27, 2021

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

James Malima (Guest) on August 24, 2021

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Stephen Kangethe (Guest) on August 19, 2021

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Sharon Kibiru (Guest) on August 9, 2021

🀣πŸ”₯😊

Rahim (Guest) on August 8, 2021

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Lucy Kimotho (Guest) on July 26, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Arifa (Guest) on July 24, 2021

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

John Lissu (Guest) on July 15, 2021

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Agnes Njeri (Guest) on July 13, 2021

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Christopher Oloo (Guest) on July 9, 2021

πŸ˜‚πŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on June 30, 2021

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Jackson Makori (Guest) on June 22, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Warda (Guest) on June 17, 2021

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Ann Wambui (Guest) on June 16, 2021

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Sarah Mbise (Guest) on May 27, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Raphael Okoth (Guest) on May 5, 2021

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Stephen Amollo (Guest) on May 4, 2021

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Jane Muthoni (Guest) on March 19, 2021

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Peter Tibaijuka (Guest) on March 16, 2021

πŸ˜‚πŸ˜†

Joyce Nkya (Guest) on February 5, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Simon Kiprono (Guest) on October 25, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Francis Mtangi (Guest) on September 9, 2020

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Linda Karimi (Guest) on September 4, 2020

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Rubea (Guest) on July 25, 2020

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Abubakar (Guest) on July 23, 2020

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Francis Njeru (Guest) on June 26, 2020

😁 Kicheko bora ya siku!

John Malisa (Guest) on June 22, 2020

πŸ˜‚πŸ‘Œ

George Wanjala (Guest) on June 19, 2020

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mary Kidata (Guest) on June 8, 2020

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Mary Kidata (Guest) on June 5, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Mary Sokoine (Guest) on May 14, 2020

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Mwajabu (Guest) on April 24, 2020

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Irene Makena (Guest) on March 16, 2020

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Nora Lowassa (Guest) on March 12, 2020

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Lydia Mahiga (Guest) on March 2, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Alice Wanjiru (Guest) on February 9, 2020

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Robert Ndunguru (Guest) on January 9, 2020

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Related Posts

Huyu bibi kweli kiboko, cheki alichofanya akiwa na babu

Huyu bibi kweli kiboko, cheki alichofanya akiwa na babu

Bibi na Babu walisafiri wakielekea kwa mtoto wao ambae hawajamuona zamani.<... Read More

Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Akina dada mpenzi wako akikuita MAMITO usikubali

na yeye mwite MAF... Read More

Kichekesho cha mke wa mvuvi

Kichekesho cha mke wa mvuvi

CHEKA KIDOGO

MVUVI MASKINI NA MKEWE MALAYA.
Mvuvi mmoja alikua akiishi na mke wake huk... Read More

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Karibuni tuangalie aina hizi 10 za ndoa.

1. NDOA YA MKEKA

Inatokana na kufumaniwa... Read More

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Angalia kilichojiri katika semina ya wanandoa kuhusu upendo

Kulikuwa na semina ya wanawake kuhusu namna ya kuishi kwa upendo katika ndoa.
Mwalimu aliwau... Read More

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

MSICHANA: Mbona jana nimekupigia simu hujapokea?
JAMAA: please beby forget me.
MSichAnA... Read More

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

😎 Jamaa kamuaga mkewe anaenda semina Songea kwa wiki nzima kumbe kahamia kwa demu nyu... Read More

Je, Chuoni kwako Kukoje?

Je, Chuoni kwako Kukoje?

FACT!
1.Ukiona geto lina feni, sabufa, meza ya plastic na kitanda ch sita kwa sita na Pc UJU... Read More

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Dogo kampigia simu baba yake;
DOGO: Baba katika zile shilingi laki mbili ulizonipa
nika... Read More

Acha usumbufu…

Acha usumbufu…

UNAMNG'ANG'ANIZA MPENZI WAKO AKUWEKE KWNY PROFILE PICHA MLOPIGA PAMOJA

HIVI ULIDHANI MWL.NY... Read More

Angalia nilichomfanyia huyu dereva sasa

Angalia nilichomfanyia huyu dereva sasa

Tulikua kwa basi tunaelekea arusha,ile namcheki dereva kumbe ni best yangu na basi ilikua... Read More

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google alisema : mimi nina kila kitu

Facebook ikasema : mimi najua watu wote

Wha... Read More