Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Featured Image

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa fanya supu, miguu fanya mchuzi chukuchuku. Ngozi usitupe tutafanya mswala, utumbo pikia ndizi na mifupa tutawauzia wenye mbwa. Kinyesi kihifadhi kwa mbolea ya bustani.

Mpishi akamuuliza Hutaki na sauti ya mbuzi tufanye ring tone kwenye simu yako? Mchaga akajibu Yesuu! hivi inawezekana? bac fanya hivyo tuwauzie na wengine hiyo ringtone. πŸ˜„πŸ˜„

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Josephine Nduta (Guest) on July 23, 2024

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Peter Otieno (Guest) on July 12, 2024

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Alice Mwikali (Guest) on June 29, 2024

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

David Chacha (Guest) on June 17, 2024

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Monica Nyalandu (Guest) on May 12, 2024

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Josephine Nduta (Guest) on May 9, 2024

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Victor Kamau (Guest) on January 3, 2024

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Sekela (Guest) on December 22, 2023

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Victor Malima (Guest) on December 19, 2023

😊🀣πŸ”₯

Patrick Mutua (Guest) on December 1, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Mohamed (Guest) on November 13, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Wilson Ombati (Guest) on October 29, 2023

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Peter Otieno (Guest) on October 19, 2023

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Abubakar (Guest) on October 12, 2023

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Baraka (Guest) on September 22, 2023

πŸ˜„ Kichekesho gani!

David Kawawa (Guest) on September 21, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Paul Ndomba (Guest) on September 5, 2023

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Mwafirika (Guest) on August 25, 2023

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Lucy Mushi (Guest) on August 24, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Lydia Mutheu (Guest) on August 21, 2023

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Richard Mulwa (Guest) on August 5, 2023

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Ali (Guest) on August 1, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Faith Kariuki (Guest) on July 30, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Lydia Wanyama (Guest) on July 25, 2023

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Grace Wairimu (Guest) on July 12, 2023

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

James Malima (Guest) on July 9, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Stephen Kangethe (Guest) on July 7, 2023

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

John Mushi (Guest) on July 4, 2023

πŸ˜† Bado nacheka!

Monica Adhiambo (Guest) on June 16, 2023

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Ali (Guest) on June 16, 2023

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Moses Kipkemboi (Guest) on June 9, 2023

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Susan Wangari (Guest) on May 23, 2023

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Nashon (Guest) on May 23, 2023

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Nancy Komba (Guest) on May 13, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Victor Kamau (Guest) on May 9, 2023

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Stephen Kikwete (Guest) on April 29, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Benjamin Kibicho (Guest) on March 30, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Linda Karimi (Guest) on March 20, 2023

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Juma (Guest) on March 1, 2023

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Joseph Mallya (Guest) on February 28, 2023

🀣πŸ”₯😊

Vincent Mwangangi (Guest) on February 15, 2023

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

James Kawawa (Guest) on January 29, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Michael Onyango (Guest) on January 25, 2023

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Athumani (Guest) on January 25, 2023

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Linda Karimi (Guest) on December 4, 2022

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Leila (Guest) on November 24, 2022

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Charles Mchome (Guest) on November 6, 2022

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Victor Sokoine (Guest) on October 22, 2022

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Richard Mulwa (Guest) on September 24, 2022

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Philip Nyaga (Guest) on September 13, 2022

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

John Lissu (Guest) on August 6, 2022

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Margaret Mahiga (Guest) on August 4, 2022

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

George Mallya (Guest) on August 3, 2022

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Anna Mchome (Guest) on June 19, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Sharon Kibiru (Guest) on June 10, 2022

πŸ˜‚πŸ˜†

Mary Mrope (Guest) on May 27, 2022

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Edwin Ndambuki (Guest) on May 16, 2022

πŸ˜‚πŸ€£

Kiza (Guest) on May 11, 2022

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Nora Kidata (Guest) on April 19, 2022

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Peter Tibaijuka (Guest) on April 18, 2022

πŸ˜… Bado ninacheka!

Related Posts

Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli

Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli

Kasuku alisimama mlango wa kuingia supermarket wakapita wanawake watatu akasema nyeupe, nyekundu, ki... Read More
Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Angalia huyu mgonjwa

Angalia huyu mgonjwa

Mngojwa: daktari Nina tatizo la kusahausahau kila dakika.

Daktari: hilo tatizo lilianza lin... Read More

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Jamaa alisahau kuzima simu akiwa msikitini anaswali GHAFLA simu ikaita akaingiza mkono ili aikat... Read More

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Kilichompata huyu anayependa kusoma SMS za watu kwenye daladala

Jana nilipanda daladala nikapata seat nikaketi, nikawa nimejiachia ninachati kwenye simu yangu(Sm... Read More

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Jana nateremka kwenye BASI UBUNGO nataka nichukue TEKSI hadi KIMARA naambiwa sh.15,000/=.
Wa... Read More

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Nmeokoa maisha ya mtu asubuhi ya leo huwezi amini.Nmekutana na ombaomba nikamuuliza atajisikiaje ... Read More

Njia nne za kufikisha Habari kwa haraka

Njia nne za kufikisha Habari kwa haraka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Balaa la mitoto isiyopenda shule

Balaa la mitoto isiyopenda shule

SINA MBAVU NA HIKI KISA;

BALAA LA MITOTO ISIYOPENDA SHULE!

Baada ya mwiz kuvamia nyum... Read More

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Nimefika hapa Polisi Station nimefarijika sana na Kustuka baada ya kumkuta Askari hapa Kaunta ana... Read More

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza Mashuleni, wanaenda kwenye Engineering na Medical school.

<... Read More
πŸ“– Explore More Articles