Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Featured Image

Kuna mama mmoja ameolewa na wanapendana sana na mmeo. siku moja mme wake alisafiri kikazi (safari ya zaidi ya mwezi) nje ya mkoa. Siku mmeo anarudi, yule mama alimtafuta fundi seremala amrekebishie chaga za kitanda zilikuwa zimeharibika, kwa ajili ya maandalizi ya mechi ya above +18.

Wakati fundi anaendelea na kazi kumbe mmeo huyu dada alishafika. hakutaka kumjulisha mkeo, kwa nia nzuri tu ya kumfanyia suprise, kwani alikuja na mazaga zaga kibao. Hiyo aliingia kwa kunyatia hadi kwenye mlango wa chumbani kwao. Ghafla akasikia mazungumzo ya mkeo na fundi ndani. Mazungumzo yalikuwaje? fuatilia hapa chini

Mama X: Fanya haraka mme wangu amekaribia
Fundi: Nakaribia kumaliza, nisaidie kuchomeka vizuri upande wako (akikusudia chaga)
Mama X: Mbona haiingii
Fundi: Ingiza kwa upande upande
Mama X: Sukuma kwa nguvu
Fundi: Angalia usiumie
Mama X: Hamna shida imeingia

Wakati jamaa akiendelea kusikiliza mlangoni, fundi akaweza godoro juu ya kitanda na mama x akajitupa kitandani kujaribu kama kimetengamaa. mara chaga akachomoka na kuanguaka chini. Nini kilifuata

Mama x: Uwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii iiiii(miguno) "my God, mbona hivi"
Fundi : Pole sana
Mama X: sasa?
Fundi: Ngoja nichomeke tena
Mama X: Yaan wewe, utaacha mme wangu afike hatujamaliza
Fundi: Usijali namaliza sasa hivi

Baada ya dakika chache, fundi akamuaga mama na kumwambia tayari, sasa naona umefurahi. Kutoka tu mlangoni akakutana uso kwa uso na jamaa amekunja ndita kama matuta ya viatu. Gues what happened?

Kitu gani kitatokea kisia toa maoni yako kama ni ww ungefanyaje?

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Joseph Mallya (Guest) on June 12, 2022

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Wilson Ombati (Guest) on June 9, 2022

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Sarah Mbise (Guest) on May 28, 2022

πŸ˜… Bado ninacheka!

Peter Mwambui (Guest) on May 27, 2022

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Joyce Nkya (Guest) on May 13, 2022

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Charles Mrope (Guest) on May 1, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Mwanahawa (Guest) on April 30, 2022

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Victor Kamau (Guest) on April 26, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Samson Tibaijuka (Guest) on April 26, 2022

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Monica Lissu (Guest) on April 17, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Athumani (Guest) on April 6, 2022

πŸ˜… Nilihitaji hii!

David Ochieng (Guest) on April 2, 2022

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mjaka (Guest) on March 27, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Mary Mrope (Guest) on March 27, 2022

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Susan Wangari (Guest) on March 12, 2022

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Violet Mumo (Guest) on March 1, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Furaha (Guest) on February 12, 2022

🀣 Sikutarajia hiyo!

Kevin Maina (Guest) on February 11, 2022

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Bernard Oduor (Guest) on January 17, 2022

🀣 Hii imewaka moto!

James Malima (Guest) on January 15, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Samson Mahiga (Guest) on January 13, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Kijakazi (Guest) on January 3, 2022

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Nicholas Wanjohi (Guest) on January 1, 2022

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on December 12, 2021

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Abdillah (Guest) on December 9, 2021

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Ruth Mtangi (Guest) on December 2, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Betty Cheruiyot (Guest) on November 25, 2021

πŸ˜‚πŸ˜†

Baraka (Guest) on November 18, 2021

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Jackson Makori (Guest) on October 24, 2021

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Rose Kiwanga (Guest) on October 9, 2021

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Mary Kidata (Guest) on August 24, 2021

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Agnes Njeri (Guest) on July 15, 2021

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Victor Sokoine (Guest) on June 8, 2021

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Agnes Lowassa (Guest) on May 30, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Hashim (Guest) on May 10, 2021

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Josephine Nekesa (Guest) on March 18, 2021

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Mohamed (Guest) on March 8, 2021

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

John Kamande (Guest) on March 2, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Catherine Naliaka (Guest) on February 22, 2021

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Victor Kimario (Guest) on February 8, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Stephen Kikwete (Guest) on February 2, 2021

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Joseph Njoroge (Guest) on December 29, 2020

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Nashon (Guest) on December 14, 2020

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Victor Kimario (Guest) on October 27, 2020

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Raphael Okoth (Guest) on October 17, 2020

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Philip Nyaga (Guest) on October 16, 2020

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Nancy Kabura (Guest) on October 3, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Halimah (Guest) on September 15, 2020

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Jackson Makori (Guest) on September 3, 2020

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Shukuru (Guest) on August 27, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Alice Mrema (Guest) on August 14, 2020

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Esther Nyambura (Guest) on July 31, 2020

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Anna Mahiga (Guest) on July 3, 2020

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Lucy Kimotho (Guest) on July 1, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Anna Mahiga (Guest) on May 13, 2020

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Rose Lowassa (Guest) on March 7, 2020

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Elizabeth Mrope (Guest) on March 6, 2020

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Raphael Okoth (Guest) on February 22, 2020

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Monica Lissu (Guest) on February 3, 2020

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

David Musyoka (Guest) on December 23, 2019

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Related Posts

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa f... Read More
Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Huwa naenjoy sana kusoma yaliyoandikwa nyuma ya daladala hasa ninapokuwa kwenye foleni. Misemo ma... Read More

Mcheki Chizi na daktari

Mcheki Chizi na daktari

Tafakari na ujumbe huuuu!!!…

DAKTARI :- Unajisikiaje?

CHIZI:-Kila siku naota nyani ... Read More

Muda ambao unaweza kumzoea dingi

Muda ambao unaweza kumzoea dingi

Muda pekee ambao unaweza kumzoea DINGI ni pale unapomfundisha kutumia SMARTPHONE….

Wanaku... Read More

Omba omba sio barabarani tuu

Omba omba sio barabarani tuu

Boy:- baby ivi nikifa utakuja msibani?

Girl:-ntakuja ukinitumia n... Read More

Kilichotokea Leo mahakamani

Kilichotokea Leo mahakamani

Leo nimeenda mahakamani, mara judge akasema..
Order! Order…
Mimi na kiherehere changu... Read More

Kama simu yako ina wifi

Kama simu yako ina wifi

Kama simu yako ina Wi-fi ujue uko na mke wa mtuΒ πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ... Read More

Muda mzuri wa kulipa mahari

Muda mzuri wa kulipa mahari

Amini Nawaambieni

Hakuna Muda Mzuri wa Kulipa Mahari Kama Mwezi January. Baba Mkwe Anapo... Read More

Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo

Kuna mama mmoja kavamia bank uchi cha kushangaza hakuna anae kumbuka uso... Read More

Jamaa amkomesha boss wake

Jamaa amkomesha boss wake

Kuna jamaa alifutwa kazi…

Ikawa kila siku anaenda nyumbani kwa boss wake na kunya mlango ... Read More

Mimi ndio nimeelewa hivi!

Mimi ndio nimeelewa hivi!

Leo nimepishana na Vitz imeandikwa, "Never trust women"

Nikajua huyu mtu lazima alikuaga... Read More

Mkwe kazua mpya, Hii dunia ina mambo sana

Mkwe kazua mpya, Hii dunia ina mambo sana

Mama mkwe alimuuliza mkwewe "binti" samahani mbona mtoto hajafanana na mwanangu kabisa?

Bin... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About