Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Featured Image
Jamaa alikuwa anagombana na mkewe,hatimae akamwambia kwa ukali "Unajua nimechoka sasa, haya kusanya nguo zako na…….. Kabla hajamalizia sentensi simu ya mkewe ikaita, kumbe alikuwa ni baba yake. Basi mzee akaanza kuongea na binti yake huku jamaa anasikia "Aisee mwanangu nimebahatika kuuza ile nyumba yangu sasa nimeona niwatumie milioni 20 mjaribu kuanzisha mradi na mwenzio. Haya mwambie yeye nitampigia kesho kama ana mradi mwingine nimpe hela kidogo".Baada ya simu kukatwa mke akamgeukia jamaa akamuuliza,"eeenhee!!! ulikuwa unasema umenichoka nikusanye nguo zangu halafu iweje? Jamaa kwa upole akajibu "Nilikuwa nasema ukusanye nguo zako na unipe nifue".
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Mohamed (Guest) on July 12, 2024

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Rabia (Guest) on July 1, 2024

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Anna Malela (Guest) on June 20, 2024

😊🀣πŸ”₯

Catherine Mkumbo (Guest) on June 14, 2024

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Athumani (Guest) on June 9, 2024

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Jacob Kiplangat (Guest) on May 22, 2024

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Mohamed (Guest) on April 21, 2024

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Dorothy Nkya (Guest) on April 16, 2024

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Baridi (Guest) on April 15, 2024

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Anna Sumari (Guest) on March 21, 2024

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Biashara (Guest) on March 21, 2024

πŸ˜‚ Kali sana!

Zawadi (Guest) on March 16, 2024

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Nancy Komba (Guest) on February 16, 2024

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Zakaria (Guest) on January 25, 2024

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Samuel Omondi (Guest) on January 24, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Mary Sokoine (Guest) on January 14, 2024

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Mzee (Guest) on November 1, 2023

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Francis Mrope (Guest) on October 19, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Ochieng (Guest) on September 28, 2023

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

David Sokoine (Guest) on September 23, 2023

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Grace Njuguna (Guest) on September 18, 2023

😁 Hii ni dhahabu!

Joseph Mallya (Guest) on September 8, 2023

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Frank Sokoine (Guest) on August 31, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Lucy Kimotho (Guest) on August 14, 2023

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Jackson Makori (Guest) on July 30, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Rose Lowassa (Guest) on June 24, 2023

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Elizabeth Mrema (Guest) on June 23, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

George Mallya (Guest) on June 8, 2023

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Fadhili (Guest) on June 3, 2023

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Jabir (Guest) on May 22, 2023

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Elizabeth Mrema (Guest) on May 21, 2023

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Miriam Mchome (Guest) on May 17, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Sumaya (Guest) on April 27, 2023

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Joyce Mussa (Guest) on April 22, 2023

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Mwanajuma (Guest) on April 20, 2023

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Maulid (Guest) on April 15, 2023

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Francis Mrope (Guest) on April 7, 2023

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on February 18, 2023

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Brian Karanja (Guest) on February 10, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Linda Karimi (Guest) on February 9, 2023

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

David Chacha (Guest) on January 29, 2023

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Frank Sokoine (Guest) on January 27, 2023

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Salima (Guest) on December 15, 2022

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

David Ochieng (Guest) on December 4, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Nancy Kabura (Guest) on October 29, 2022

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Esther Nyambura (Guest) on October 28, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Henry Mollel (Guest) on October 14, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Irene Makena (Guest) on September 30, 2022

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Michael Mboya (Guest) on September 19, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Alice Wanjiru (Guest) on September 18, 2022

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Dorothy Mwakalindile (Guest) on September 14, 2022

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Lucy Mahiga (Guest) on September 7, 2022

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Martin Otieno (Guest) on September 6, 2022

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Sharifa (Guest) on August 13, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

John Mushi (Guest) on August 7, 2022

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Janet Sumari (Guest) on June 24, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Mary Kidata (Guest) on June 14, 2022

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Shamsa (Guest) on June 8, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Joseph Njoroge (Guest) on May 25, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Joseph Mallya (Guest) on May 16, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Mtoto alimwuuliza baba yake,
Mtoto: Baba unaweza kumwachia hilo gari lako house boy/girl aka... Read More

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza Mashuleni, wanaenda kwenye Engineering na Medical school.

<... Read More
Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

πŸ˜†πŸ˜† πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Jamaa kagombana na mkewe, akasusa kula🍽🍨 kurudi kazini ka... Read More

KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku

KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku

Ukiona masikin kachinja kuku basi kat ya kuku au yeye kuna mmoja atakua mgonjwa... Read More

Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

Read More
Huyu Jamaa kaona bora afe kuliko mke wake ajue Siri zake

Huyu Jamaa kaona bora afe kuliko mke wake ajue Siri zake

Jamaa Mmoja Alimwambia Mke Wake Wasiliana Na Kitengo Cha Dharura Hospitali, Niko Taabani Nahisi ... Read More

Angalia hawa kina mama, ni shida..!

Angalia hawa kina mama, ni shida..!

Mama mdaku alishangaa kila siku mchungaji anaingia nyumba ya jirani yake ambaye hana mume, akawa... Read More

Ukata wa January

Ukata wa January

Boss;-Β kwa nini umechelewa kazini
Juma;-Β kuna mtu njiani alidondo... Read More

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Foleni ndeeeeefu jamaa yupo kwenye daladala anaenda kazini kaona heri amuandikie boss wake msg k... Read More

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae... Read More

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

walianza na halohalooo!
Wakaja unalo babu weee!
Ikafuata utaj... Read More

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Wanafunzi waliulizwa na mwalimu nani angependa kwenda peponi? Wote wakanyosha ila mmoja tu alipok... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About