Sidebar with Floating Button
AckySHINE 🔁
AckyShine

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

Featured Image

1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamilia….Je sungura anayeishi mwituni anaitwaje?"

ZUZU:"Sunguramilia."

2.Ticha:"Rais wa kwanza wa kenya aliitwa KENYATTA…Je rais wa kwanza wa
Tanzania aliitwaje?"
ZUZU:"TANZANIATTA."

3. Ticha:"Kuku yuko katika jamii ya NDEGE…Je samaki yuko katika jamii ya nini?"

ZUZU:"MELI."

 

237 💬 ⬇️

Eti hii ni kweli kwa mwanaume anayempa simu mkewe

Featured Image
238 💬 ⬇️

Huyu Jamaa ubahili umezidi kwa hiki anachomwambia huyu dada

Featured Image
236 💬 ⬇️

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Featured Image
236 💬 ⬇️

Cheki kilichompata huyu dada!!

Featured Image
237 💬 ⬇️

Mke anamwambia mme wake kuwa angetamani mme wake awe tajiri cheki alichojibiwa

Featured Image
238 💬 ⬇️

Eti ni kweli hii ni sababu wanaume wana Upendo Sana?

Featured Image
236 💬 ⬇️

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Featured Image
Ka ni wewe? DOGO: baba mi siendi tena shule inaonekana walimu hawana uhakika na majibu yao. BABA: Kwanini unasema hivyo?
236 💬 ⬇️

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

Featured Image
BOSS anamwambia sekretari wake: Wiki hii tutaenda wote Serena Hotel kwenye mkutano fanya mipango yote. SEKRETARI (anamuaga mumewe): Tunaenda na bosi Serena hotel kwenye mkutano for 1 week. MUME (anampigia mpango wa kando): Mambo safi, wife anaenda kikazi Serena, jitayarishe tujipe raha for 1 week (Mpango wa kando) anamwambia mwanafunzi wake wa tution: wiki hii nina kazi fulani hakuna tution mpaka week ijayo.
237 💬 ⬇️

Cheka kidogo: Majibu ya mhindi kwenye mtihani wa Kiswahili alipoambiwa ajibu methali

Featured Image
237 💬 ⬇️
🏠 Home 📖 Reading 🖼️ Gallery 💬 AI Chat 📘 About