Kama mama mjamzito atatumia dawa za kulevya basi humuathiri mtoto moja kwa moja. Mtoto aliye tumboni hulishwa kupitia damu ya mama yake. Kwa hiyo mama mjamzito anapotumia dawa hizo za kulevya, dawa huingia mwilini mwa mtoto anayekua. Matumizi ya dawa za kulevya pia huongeza uwezekano wa mimba kuharibika.
Je, nini kitatokea iwapo mwanamke atatumia dawa za kulevya wakati wa ujauzito?
Date: April 17, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Comments
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Je, unaweza kufa kutokana na kuvuta sigara na kunywa pombe?
Ndiyo. Unaweza kufa kutokana na kuvuta sigara au kunywa
pombe. Lakini pale tu utakapozidisha...
Read More
Je, mimi ni msichana Albino ninaweza kupata mimba kama nikijamiiana mara moja tu?
Ndiyo msichana anaweza kupata mimba kwa kujamiiana mara
moja tu bila kujali ana rangi gani y...
Read More
Nini kifanyike ili kurekebisha matatizo ya macho ya Albino?
Kuishi kwa kushindwa kuona sawasawa ni changamoto ya
msingi waliyonayo Albino, inaathiri eli...
Read More
Je, mwanamke anajisikiaje akijamiiana na mwanaume aliyevaa kondomu au aliye βpekuβ?
Hatuwezi kusema mwanamke husikia raha gani akijamiiana na mwanaume aliyevaa kondomu au na mwanaum... Read More
Je, nini imani ya watu katika kuelewa na kuheshimu ukuaji wa kingono/kufanya mapenzi wa mwenza wako?
Je, nini imani ya watu katika kuelewa na kuheshimu ukuaji wa kingono/kufanya mapenzi wa mwenza wa... Read More
Kwa nini dawa hutengenezwa na kutumika hospitalini wakati zina madhara?
Baadhi ya dawa za kulevya pamoja na dawa za kutibu, hutumika hospitali kuokoa maisha na kupunguza... Read More
Njia za Kupata Msichana Anayeshiriki Maslahi yako na Malengo
Kupata msichana ambaye anashiriki malengo yako na ana maslahi sawa nawe ni muhimu sana kwa mafani... Read More
Madhara ya sigara na pombe kwa mtoto
Watoto hawatakiwi kunywa pombe wala kuvuta sigara!
Watoto hasa ndio wapo katika hatari zaid... Read More
Kwa nini nao watu wanaishi kwenye ndoa wanapata maambukizi ya virusi vya UKIMWI na UKIMWI?
Kuna sababu kuu mbili i kwa wana ndoa kupata maambukizi i ya Virusi vya UKIMWI na UKIMWI.
Kw...
Read More
Je, Ni Vipi Kujilinda na Maambukizi ya Kisonono na Kaswende?
Je, Ni Vipi Kujilinda na Maambukizi ya Kisonono na Kaswende? π
Karibu, vijana wapendwa!... Read More
Jinsi ya Kupata Msichana Mzuri na Sifa za Ndani za Thamani
Jinsi ya Kupata Msichana Mzuri na Sifa za Ndani za Thamani
Kupata msichana mzuri na sifa z... Read More
Nifanyeje kujiepusha na vishawishi vya mpenzi wangu vinavyoweza kunifanya nisitumie kondomu?
Mara nyingine siyo rahisi kujiepusha na vishawishi vya kujamiiana bila kutumia kondomu kutokana n... Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!