Ndiyo, magonjwa ya zinaa yanaweza kuenea, hata ukitoa uume kabla ya kumwaga mbegu. Mwenye magonjwa ya zinaa mara nyingi ana michubuko midogo au vidonda sehemu za siri na wadudu wabaya wanaweza kutoka na kuingia mwilini kwa urahisi. Hivyo, maambukizi ya magonjwa ya zinaa yanaweza kutokea hata kabla ya kumwaga mbegu.
Je, magonjwa ya zinaa yanaweza kuenea ukitoa uume kabla ya kumwaga mbegu?
Date: April 17, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Comments
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Msichana ambaye hajawahi kujamiiana anaitwa bikira, je mvulana huitwaje?
Neno βbikiraβ ni mtu yeyote ambaye hajawahi kujamii ana maishani mwake, awe mwanamke au mwana... Read More
Jinsi ya Kupanga Tarehe ya Kipekee na Msichana Wako
Jinsi ya Kupanga Tarehe ya Kipekee na Msichana Wako
Kupanga tarehe ya kipekee na msichana ... Read More
Je, zipo sheria zinazolinda watu wenye ulemavu hapa Tanzania?
Ndiyo, zipo sheria
hapa T a n z a n i a
z i n a z o w a l ...
Read More
Nifanyeje Kukabiliana na Hisia za Kuwa na Hamu ya Kufanya Ngono?
Nifanyeje Kukabiliana na Hisia za Kuwa na Hamu ya Kufanya Ngono? ππ
Leo tutajadili j... Read More
Je, ni muhimu kuelewa na kuheshimu hisia za mwenza wako wakati wa ngono/kufanya mapenzi?
-
Kujenga uhusiano wa kimapenzi wenye afya na mwenza wako ni muhimu sana. Hii ni kwa saba... Read More
Je, unaweza kufa ukitumia dawa za kulevya?
Ndiyo, unaweza. Kifo kinaweza kuwa cha ghafla au
kutokana na madhara ya muda mrefu katika vi...
Read More
Kwanini Albino wanakuwa na mabaka meusi kwenye ngozi zao?
Ngozi ya Albino haina jinsi ya kujilinda na mionzi ya jua. Inaungua
sana baada ya kupatwa na...
Read More
Je, kuna mambo mazuri na mabaya kuhusu ngono/kufanya mapenzi?
Je, kuna mambo mazuri na mabaya kuhusu ngono/kufanya mapenzi? Ndio, kuna mambo mengi sana ambayo ... Read More
Jinsi ya Kuwa na Siku ya Kumbukumbu ya Kipekee na Msichana
Kumbukumbu zetu ni muhimu sana katika maisha yetu. Siku ya kumbukumbu ni siku muhimu sana kwa sab... Read More
Kwa nini pombe za kienyeji ni hatari kuliko pombe za viwandani?
Pombe zinazotengenezwa kiwandani zinafuata viwango
ambavyo ubora wake umethibitishwa kihalal...
Read More
Inawezekana msichana akapata mimba kabla ya kuvunja ungo?
Msichana anaweza kupata mimba kabla ya kuvunja ungo, yaani kabla ya kuona hedhi kwa mara ya kwanz... Read More
Je, ninaweza kuambukizwa na Virusi vya UKIMWI na UKIMWI kwa kuumwa na mbu?
Hapana, mbu na wadudu wengine hawawezi i kukuambukiza virusi vya UKIMWI kutokana na mfumo wa mii ... Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!