Je, sigara ni sumu kwa binadamu?
Date: April 15, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Ndiyo. Nikotini iliyo kwenye tumbaku ni sumu. Ukiwa na kiwango
kikubwa cha nikotini katika damu utajisikia kichefuchefu,
kutapika, kujaa kwa mate mdomoni, maumivu ya sehemu za
chini ya tumbo, kuharisha, na kujihisi dhaifu. Dalili nyingine
ni kuumwa na kichwa, kizunguzungu, kuongezeka kwa mapigo
ya moyo, kupata shinikizo la damu, kutetemeka na kutokwa na
jasho baridi. Nikotini nyingi inaweza kusababisha ukosefu wa
umakini na pia ukosefu wa usingizi.
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Kama unavyohusisha rafiki zako katika mihemuko mingine, inaeleweka kama utataka kuwashirikisha ka...
Read More
Je, Ni Vipi naweza Kuepuka Kufanya Ngono Kwa Sababu ya Kubembelezwa? π
Karibu vijana wa...
Read More
Wakati wa kujifungua, uke wa mwanamke mzima hupanuka kuanzia kipenyo cha sentimeta kumi mpaka kum...
Read More
Idadi kamili ya Albino Tanzania haijulikani kwani hakuna
aliyewahesabu. Inakisiwa kufuatana ...
Read More
Jinsi ya Kujifunza Kutambua na Kuheshimu Makubaliano ya Kufanya Ngono π
Karibu vijana w...
Read More
Ndiyo, lakini ni mwanzo tu na kwa muda mfupi; hii ni kwa
sababu mwanzoni nikotini iliyomo ka...
Read More
Je, ni lazima kutumia kinga (condom) kila wakati? π
Leo nataka kuzungumzia jambo muhimu...
Read More
Jinsi ya Kuonyesha Heshima kwa Msichana Wako
Wanawake ni vipenzi vya thamani sana katika m...
Read More
Nifanyeje Kukabiliana na Hisia za Kuwa na Hamu ya Kufanya Ngono? ππ
Leo tutajadili j...
Read More
Je, katika kujaribu fantasia za ngono/kufanya mapenzi pamoja na mwenza wako? Hii ni mada ambayo i...
Read More
Katika uhusiano wowote, mvutano ni jambo ambalo huwezi kuliepuka. Hata kama mna furaha nyingi pam...
Read More
Ni kweli kwamba mara nyingi hali hii huwatokea wavulana na wanaume. Ndani ya uume kuna mishipa mingi...
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!