Kwa nini uume unasimama mara nyingine wakati wa kuamka asubuhi?
Date: April 17, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Ni kweli kwamba mara nyingi hali hii huwatokea wavulana na wanaume. Ndani ya uume kuna mishipa mingi ya damu na kama damu nyingi i i ikienda sehemu hii i ii inasababisha uume kuwa mgumu na kusimama. Mtu anapolala huwa ametulia na hivyo damu inaweza kusukumwa kuelekea kwenye uume. Kwa hiyo, msukumo wa damu ndani ya uume ni sababu pekee ya uume kusimama. Pia kujaa kwa kibofu cha mkojo huweza kusababisha uume kusimama wakati wa kuamka usingizini asubuhi.
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Neno βbikiraβ ni mtu yeyote ambaye hajawahi kujamii ana maishani mwake, awe mwanamke au mwana...
Read More
Ni vigumu kutoa jibu kamili kwa nini hisia hii i ii inatokea kwa watu wengine, kwa sababu wataala...
Read More
Nifanyeje Kukabiliana na Hisia za Kukosa Ujasiri wa Kujihusisha na Ngono? π
Karibu kija...
Read More
Leo tutazungumzia kuhusu vidokezo vya kuonyesha heshima kwa ndugu za msichana wako. Kama mwanaume...
Read More
Watu ambao wanaonekana tofauti na wengine (ama kwa misingi
ya kabila, rangi, dini, kimo au h...
Read More
Virusi vya UKIMWI kwa kiasi kikubwa vinaenea kwa njia ya kujamii ana. Kama mtu ana wapenzi wengi ...
Read More
Jinsi ya Kuanzisha Mazungumzo ya Kwanza kuhusu Ngono na Mpenzi Wangu πΌ
Karibu sana kwen...
Read More
Hapa Tanzania utoaji wa mimba hauruhusiwi kisheria. Hata hivyo watu wengine wanaamua kutoa mimba ...
Read More
Mwanamke ni hazina kubwa katika maisha ya kila mwanaume. Ni kiumbe chenye thamani, cha thabiti na...
Read More
Dawa za kulevya huathiri ubongo jinsi unavyofanya kazi. Hubadili hisia na husaidia kuondoa aibu n...
Read More
Sababu mojawapo ni kuwa bangi hulimwa hapa nchini na
hivyo hupatikana kwa urahisi. Bangi huu...
Read More
Kupata msichana ambaye anashiriki malengo yako na ana maslahi sawa nawe ni muhimu sana kwa mafani...
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!