Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

Featured Image

1. Ati wee ni m-black mpaka ukiingia kwa dinga(gari), dirisha zinakuwa tinted!

2. Kwenu kuchafu mpaka mende zinatema mate.

3. Vile wewe mfupi, ukipiga picha ya passport inatokea full.

4. Ati(house) yenu ina gate lakini hakuna fence.

5. Baba alienda ku buy ngombe akaona ikikojoa akasema sitaki hiyo imetoboka.

6.Wee mblack mpaka ukikutana na mzungu afternoon anakusalimia: Good evening.

7. Mko wengi kwa house mpaka kuna rush hours na kukinyesha kunakuwa na jam.

8. Paka yenu noma mpaka ikishika panya inaomba chumvi, fork na pilipili.

9. We ni mrefu mpaka ukikunywa maziwa inafika kwa tumbo ikiwa mgando.

10.Wewe ni mweusi ukikanyanga makaa unawacha footprint nyeusi.

11. Kwenyu mkikunywa maji mnaitisha toothpick

12. We ni mbishi hadi ulikataa kuzaliwa uchi

13. Kwenu kuna insecurity ikifika usiku hadi geti mnaingiza ndani

14. Kwenu ni wengi sana hadi mmeweka round about ndani.

15. Wewe ni mlafi hadi maji uliyochemshia mayai unayafanya supu.

16. We ni mjinga sana hadi blood test ulifeli.

17. Una chogo refu hadi ukigeuka haraka unaweza kuliona.

18. Una kichwa kikubwa hadi ukiingia kwenye daladala konda anakwambia "abiria usiingie na mizigo, tunaweka juu kwenye carrier

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Nancy Kabura (Guest) on October 30, 2015

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Simon Kiprono (Guest) on October 16, 2015

πŸ˜‚πŸ˜†

Alex Nakitare (Guest) on September 28, 2015

πŸ˜‚πŸ€£

Carol Nyakio (Guest) on September 12, 2015

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Hekima (Guest) on August 31, 2015

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Alex Nyamweya (Guest) on July 31, 2015

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Sarah Achieng (Guest) on July 26, 2015

😊🀣πŸ”₯

Patrick Mutua (Guest) on July 19, 2015

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Raha (Guest) on July 17, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Mariam (Guest) on July 12, 2015

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Robert Ndunguru (Guest) on July 9, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Rukia (Guest) on July 5, 2015

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Agnes Lowassa (Guest) on July 1, 2015

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Dorothy Mwakalindile (Guest) on June 27, 2015

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Esther Cheruiyot (Guest) on June 3, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Mashaka (Guest) on May 20, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Ahmed (Guest) on May 20, 2015

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Henry Sokoine (Guest) on May 16, 2015

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Bernard Oduor (Guest) on April 23, 2015

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Mwanaidha (Guest) on April 21, 2015

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Habiba (Guest) on April 19, 2015

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Yahya (Guest) on April 2, 2015

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Related Posts

Huyu Jamaa ubahili umezidi kwa hiki anachomwambia huyu dada

Huyu Jamaa ubahili umezidi kwa hiki anachomwambia huyu dada

Kama ni ubahili hapa umezidi

mdadaΒ Bby naomba hela nimpeleke mdogo wangu ... Read More

Hii mitoto mingine mijinga, cheki alichokifanya huyu

Hii mitoto mingine mijinga, cheki alichokifanya huyu

Nimeamka asubuhi nikiwa na elfu 1 tu mfukoni, nikamtuma mtoto wa jirani akaninunulie maa... Read More

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Leo nimepulizia Air Fresh yenye Harufu ya Pilau nyumbani kwangu sasa watoto wa Jirani wamehamia ... Read More

Hali za ndoa

Hali za ndoa

Kuna kijana alikua anajua kuwa mke wake anatoka nje ya ndoa basi akamwuliza mke, mkewe akakataa, aka... Read More
Huyu ndo mwanamke

Huyu ndo mwanamke

Akikuta PESA wakati anafua atapiga kimya kimya, sasa ngoja akute umeacha CONDOM ndo utajua kama u... Read More

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda k... Read More
Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Jana nateremka kwenye BASI UBUNGO nataka nichukue TEKSI hadi KIMARA naambiwa sh.15,000/=.
Wa... Read More

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Mtoto alimwuuliza baba yake,
Mtoto: Baba unaweza kumwachia hilo gari lako house boy/girl aka... Read More

Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

UNATOKA SEBULENI UNAENDA ZAKO CHOONI UNAINGIA TU HIVI GHAFLA UNAKUTANA NA MZIGO MKUBWA WA... Read More

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Jamaa kapokea simu kutoka kwa mke wake ndani ya daladala

jamaa: hellow hellow ( jamaa ak... Read More

Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Angalia jamaa alivyouweza huu mchepuko wake

Kuna mchepuko nilimtumia nauli jana ili aje,.kwang sasa leo kaniambia eti " nimesahau ile line ye... Read More

Upendo wa kweli ni nini?

Upendo wa kweli ni nini?

*Upendo wa kweli ni nini?*
*πŸ‘‰Upendo wa kweli ni pale mwanaume anapomfumania mwanamke wake... Read More

πŸ“– Explore More Articles