Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Stori za simu za wavulana na wasichana

Featured Image

STORY ZA WASICHANA KTK SIM

Mary… Hallow mpenzii
Lily…. Niambie my dear
Mary..Pouwaa za siku jamani
Lily…Nzuri rafiki Yangu wa damu
Mary…Jioni nakuja kwako tule Na
kunywa japo wine wanguu
Lily…Nakusubiri kwa hamuu
mpenziiii

BAADA YA KUKATA SIMU…KILA
MMOJA ANAWAZA

Lily…Huyu mchawi wa kike Leo
anataka kuja kwangu wala hanikuti.
Mary..Hahahahaaaa Uwiiiiiiiiii huyu
kahaba eti nakusubir Kwa hamuu
nani aende!!!

STORY ZA WAVULANA KATIKA SIMU

John…Niaje we mbwaa
Sam…Pouwa kichaa wanguu
John..Upo wap mpumbavu wewe
Sam…Niko hom, we fala Uko wap?
John..Baadae nakuibukia jambaz
langu tukale bata
Sawa… Pouwaa we ms**nge
nakusubiri

BAADA YA KUKATA SIMU…KILA
MMOJA ANAWAZA

John…Dah baadae nikakae na
mwanangu Sam sijamuona long
time
Sam…John bwana akiwa Na pesa
lazima anitafute mwanaeee.

FUNZO..

Baadhi ya Wasichana
hujifanya wanapendana Kwa
maneno lkn ni Kwa nje tu!! lkn
WANACHUKIANA
WAVULANA unaweza Kudhani
hawapendani Kwa Maneno lkn
WANAPENDANA..

Mpe TANO mchizi wako kudumisha upendo wetu wavulana…
High πŸ‘ŠπŸ‘ŠπŸ‘ŠπŸ‘ŠπŸ‘Š boys

hiyo apo

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Alex Nakitare (Guest) on July 20, 2017

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Agnes Lowassa (Guest) on July 5, 2017

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Nancy Kawawa (Guest) on June 10, 2017

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Moses Kipkemboi (Guest) on June 10, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Mwanaisha (Guest) on May 29, 2017

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Thomas Mtaki (Guest) on April 4, 2017

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Alex Nyamweya (Guest) on March 16, 2017

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Anna Malela (Guest) on March 11, 2017

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Victor Kamau (Guest) on March 3, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nora Lowassa (Guest) on March 3, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Mary Mrope (Guest) on March 3, 2017

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Sarah Achieng (Guest) on February 15, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Frank Sokoine (Guest) on February 13, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Azima (Guest) on February 3, 2017

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Stephen Kikwete (Guest) on February 1, 2017

Asante Ackyshine

Furaha (Guest) on January 31, 2017

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Josephine Nduta (Guest) on January 29, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Peter Mugendi (Guest) on January 24, 2017

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Joseph Kitine (Guest) on January 2, 2017

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Henry Mollel (Guest) on January 1, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Stephen Mushi (Guest) on December 11, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Jacob Kiplangat (Guest) on November 2, 2016

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Edwin Ndambuki (Guest) on October 29, 2016

πŸ˜† Bado nacheka!

Patrick Kidata (Guest) on September 29, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Samson Mahiga (Guest) on September 17, 2016

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Agnes Sumaye (Guest) on September 15, 2016

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Maneno (Guest) on August 21, 2016

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

David Chacha (Guest) on July 17, 2016

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Abdillah (Guest) on July 2, 2016

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Francis Mtangi (Guest) on June 4, 2016

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Chris Okello (Guest) on May 29, 2016

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Wilson Ombati (Guest) on May 25, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Betty Cheruiyot (Guest) on May 14, 2016

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Diana Mallya (Guest) on May 9, 2016

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Alice Jebet (Guest) on April 16, 2016

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Halimah (Guest) on April 8, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Vincent Mwangangi (Guest) on April 7, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Mligo (Guest) on March 26, 2016

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on March 18, 2016

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Elizabeth Mrope (Guest) on March 15, 2016

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Irene Akoth (Guest) on February 2, 2016

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

John Malisa (Guest) on December 25, 2015

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Grace Njuguna (Guest) on December 3, 2015

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Peter Mbise (Guest) on October 31, 2015

😊🀣πŸ”₯

Samuel Were (Guest) on October 24, 2015

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Aziza (Guest) on October 13, 2015

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Issack (Guest) on October 12, 2015

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Alex Nyamweya (Guest) on October 8, 2015

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Rose Mwinuka (Guest) on September 15, 2015

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

David Chacha (Guest) on August 2, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

John Mwangi (Guest) on July 27, 2015

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Anna Kibwana (Guest) on July 8, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Andrew Mchome (Guest) on June 1, 2015

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Bakari (Guest) on May 24, 2015

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Daniel Obura (Guest) on May 11, 2015

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Mercy Atieno (Guest) on April 4, 2015

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Related Posts

Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Asilimia 76% Ya Wasichana Kila Ukiwatongoza Wanakwambia Wapo In relationship SAWA ATUKATAI…Read More

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

JE WAJUA?

Je wajua kwamba kuku wa kwenye Whatsapp anamzidi tembo ukubwa? πŸ“πŸ‘‰πŸ½πŸ... Read More

Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Mkaka aliingia kwenye hoteli moja akaketi meza moja na mdada mrembo maarufu sana;
MKAKA: Sam... Read More

Angalia kilichompata huyu mwanafunzi kilaza anayejiamini

Angalia kilichompata huyu mwanafunzi kilaza anayejiamini

Teacher: Who is a pharmacist?

Shemdoe raised up his hand.

Teacher: So it’s only She... Read More

Wanandoa wa Kijapani wakibishana

Wanandoa wa Kijapani wakibishana

*Wanandoa wa Kijapan wakiwa wanabishana hadharani*

*Husband: Takamushi jiku.*
*Wife :h... Read More

Angalia alichokifanya huyu mkaka alipoenda benki 🏦

Angalia alichokifanya huyu mkaka alipoenda benki 🏦

At the bank..

Teller: Hii pesa ni fake

Mkaka: Shida iko wapi..pesa ni yangu..acc... Read More

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Alipelekwa Hospitali na baba yake, baada ya vipimo Doctor akawa anamuandikia dawa, baba yake akatoka... Read More
Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

JE WAJUA?

Sungura, panya na Jamii zao huwa na mwendo wa kukimbia na kuruka muda wote na umr... Read More

Pale umapofanya interview huku ukijua hutapata kazi

Pale umapofanya interview huku ukijua hutapata kazi

Pale unaitwa kufanya interview na unajua tuu hutapata kazi tuu…..
Interviewer: where were ... Read More

Mambo ya kijijini haya!

Mambo ya kijijini haya!

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Unamtumia baba ako meseji ukiwa shule "Baba naomba unitumie 100,000 ya pckt mny" anakuuliza "pck... Read More

MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

1. wewe Dada unaturingia nini na matiti yako mawili , mbwa pia ana matiti nane na haturingii eboo !!... Read More
πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About