Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga
Date: July 25, 2021
Author: SW - Melkisedeck Shine
Dalali aliwatafutia jamaa chumba Buguruni karibu na reli, nyumba nzuri sana. Jamaa na mkewe wakahamia kwa furaha, lakini furaha yao iliisha walipokuja gudundua nyumba ile iko karibu mno na reli treni ikipita mpaka kitanda kinacheza.
Siku hiyo dalali akapita mke akamwita na kumwambia tatizo wakati treni inapita, wakaanza kubishana, yule mama akamwambia dalali kwa kuwa kuna treni itapita sasa hivi⦠njoo ndani uone mwenyewe.
Bahati mbaya wakiwa wamejilaza kitandani ili dalali aone adhabu wanayopata, Mzee mwenye mali alirudi ghafla, akauliza,
'Nyie mnafanya nini hapa?'
Masikini dalali kwa woga mkubwa akajibu' Tunangoja treni'
Please log in or register to leave a comment or reply.
Related Posts
Looku Looku* ππ
*Ama Kweli Mkuki Kwa Nguruwe kwa Binadamu Mchungu Skia Hiiβ¦.!!*
...
Read More
Babu: Mjukuu wangu ngoja nikusimulie hadithi ya mimi babu yako kwenye vita ya kagera
Mjukuu:...
Read More
Ndio hizi sasa
1.Hicho ndicho chuo chako usiwe na chuo kingine ila hicho.
2.Usilitaje ...
Read More
Juzi nikitoka church nilipanda kihiace na kulikuwa na mrembo mkali hujawahi kuona,kila kijana ali...
Read More
Mtoto wa miaka sita alimuuliza babake:
MTOTO: Baa, eti sisi wanadamu tulikuja vipi
duni...
Read More
Jamaa fulani alikuwa ame2lia beach mzungu akapita akamuliza "Are u relax ? Jamaa akawa hamuelewi...
Read More
Ticha: Wa kwanza kujibu swali langu ataenda Home mapema..
John kusikia hivyo....Karusha beg...
Read More
Jamaa karudi toka kazini mpole na hana furaha!
MKE; Vipi leo mbona mpole?
MUME; Ofisi yetu imeungua ...
Read More
Siku hizi wa naume licha ya kukimbia nyumba zao kwa kisingizio cha kazi maajabu weekend hasa Juma...
Read More
Kuna mtoto mmoja aliamka kutoka usingizini alipokuwa kalala na mama yake na kupiga kelel...
Read More
Karibuni tuangalie aina hizi 10 za ndoa.
1. NDOA YA MKEKA
Inatokana na kufumaniwa...
Read More
Mchaga baada ya kufa akaulizwa na malaika anayetoa roho: Mangi hapa ni njiapanda kulia ni Mbingun...
Read More
Sarafina (Guest) on July 21, 2017
π Bado nacheka!
Anna Sumari (Guest) on July 2, 2017
π€£π€£ππ
Mwanaidha (Guest) on May 3, 2017
Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! π€£
Grace Wairimu (Guest) on April 5, 2017
ππππ
Elizabeth Mtei (Guest) on April 2, 2017
Ucheshi wa hali ya juu! ππ
Stephen Mushi (Guest) on March 29, 2017
Kweli mnajua kuchekesha! ππ
Patrick Akech (Guest) on March 21, 2017
Hii ni joke ya kipekee sana! ππ
Dorothy Majaliwa (Guest) on March 13, 2017
Mna talent ya jokes! ππ
Joy Wacera (Guest) on February 17, 2017
π πππ
Rose Amukowa (Guest) on February 6, 2017
Huyu mtu ni mcheshi sana! ππ
Jacob Kiplangat (Guest) on February 2, 2017
Hii ni kali sana! ππ€£
Alice Mwikali (Guest) on February 2, 2017
Hii imenikuna hadi nina furaha sana! ππ
Violet Mumo (Guest) on January 29, 2017
Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! ππ€£
Mariam Kawawa (Guest) on December 3, 2016
Nimecheka hadi nina furaha sana! π€£π
Faith Kariuki (Guest) on November 29, 2016
π Ninashiriki mara moja!
Zuhura (Guest) on November 29, 2016
π Bado nacheka, siwezi kuacha!
Philip Nyaga (Guest) on November 27, 2016
πππ€£
Anna Sumari (Guest) on November 21, 2016
π€£ Hii imewaka moto!
Michael Mboya (Guest) on November 21, 2016
ππ€£ππ
Catherine Naliaka (Guest) on October 31, 2016
π€£ Kichekesho bora kabisa!
Isaac Kiptoo (Guest) on October 23, 2016
Mna kipaji cha ucheshi! ππ
Yusra (Guest) on October 1, 2016
π Umeshinda mtandao leo!
Fatuma (Guest) on September 1, 2016
π€£ Nalia kwa kicheko kweli!
Nora Lowassa (Guest) on August 11, 2016
Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! π
James Mduma (Guest) on August 10, 2016
ππ
Joseph Njoroge (Guest) on July 22, 2016
π Ninaihifadhi hii!
John Mwangi (Guest) on July 11, 2016
Hii imenikuna! ππ
Miriam Mchome (Guest) on July 9, 2016
Sikutarajia hiyo punchlineβkichekesho! π€£
George Wanjala (Guest) on July 7, 2016
Nimecheka hadi nimepata furaha! ππ
Sumaya (Guest) on July 7, 2016
Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! βπ
Irene Akoth (Guest) on June 12, 2016
Hii imenikuna sana! ππ
Joy Wacera (Guest) on May 31, 2016
Nimecheka hadi machozi yanatoka! π€£π
Nyota (Guest) on April 29, 2016
π Nilihitaji kicheko hicho!
Sarah Karani (Guest) on April 18, 2016
Kweli mna ucheshi! ππ€£
Mary Mrope (Guest) on March 25, 2016
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ€£
Nancy Komba (Guest) on February 28, 2016
Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! π
Kijakazi (Guest) on February 28, 2016
π Bado nacheka!
Josephine Nekesa (Guest) on February 8, 2016
Hii imenikumbusha enzi zile! π π
Sarah Karani (Guest) on February 7, 2016
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! ππ
Rose Kiwanga (Guest) on January 25, 2016
Hii imenifurahisha sana! π€£π
Ibrahim (Guest) on January 17, 2016
π Nacheka hadi chini!
Dorothy Majaliwa (Guest) on December 28, 2015
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! π€£π
Benjamin Masanja (Guest) on December 21, 2015
Hii ni joke ya maana sana! ππ
Josephine Nekesa (Guest) on December 13, 2015
π Bado nacheka!
Joseph Mallya (Guest) on December 4, 2015
π€£ππ
Fatuma (Guest) on November 16, 2015
π Kichekesho kamili!
Paul Kamau (Guest) on October 21, 2015
Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! π
Rashid (Guest) on October 13, 2015
π Ninahitaji kuihifadhi hii milele!
John Kamande (Guest) on September 20, 2015
Hii ni joke ya kipekee! π€£π
Charles Wafula (Guest) on September 10, 2015
Kweli mna kipaji cha ucheshi! ππ
Robert Okello (Guest) on September 2, 2015
π Kali sana!
Dorothy Majaliwa (Guest) on June 3, 2015
Kweli mna ucheshi wa kipekee! ππ€£
Ann Awino (Guest) on June 1, 2015
Napenda vile mnaweka jokes kila siku! ππ
Lucy Wangui (Guest) on May 20, 2015
Hii joke ni ya kufurahisha! π€£π€£
Rukia (Guest) on May 11, 2015
Asante Ackyshine
Jacob Kiplangat (Guest) on May 10, 2015
Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! π€£
Agnes Lowassa (Guest) on April 1, 2015
Nimependa hii! Endelea kuzileta! π