Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Tabia za Kimama kwa wanaume

Featured Image

1, mwanaume kuoga haraka haraka ili uwahi kuangalia igizo, huo ni UMAMA..πŸ˜‚

2, mwanaume kupiga picha umeng'ata Lips na Unapiga na Camera Beauty Plus huo ni UMAMA..πŸ˜‚

3, Mwanaume kuangalia tamthilia na Jamai Raja na Maigizo kwenye chanel ya sinema zetu wakati mechi za kombe la dunia zinaendelea, pia nawe ni MMAMAAβ€¦πŸ˜‚πŸ˜‚

4, Mwanaume kuandika 'Jomon' badala ya Jamani, kuandika 'Pw' badala ya Poa, kuandika 'Thatha' badala ya Sasa, kumwandikia mwanaume mwenzio 'Mambo my' Huu ni UDADA, tena UDADA wa CHUO..πŸ˜‚
.
5, Mwanaume kunywa soda au Juice na kubakisha, kununua chakula halafu unakibakisha, kubagua bagua chakula na kujamba hovyo hovyo baada ya kushiba, huo nao ni UMAMAA..πŸ˜‚
.
6, Mwanaume kumuuliza mwanaume mwenzio anapata faida gani kuangalia Mpira, pia nawe ni MMAMA…
.
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Jane Muthui (Guest) on July 28, 2017

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Frank Macha (Guest) on July 15, 2017

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

John Mwangi (Guest) on July 12, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Grace Mligo (Guest) on July 9, 2017

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Ruth Mtangi (Guest) on June 22, 2017

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Sarah Karani (Guest) on June 18, 2017

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Francis Mtangi (Guest) on June 4, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Moses Kipkemboi (Guest) on June 4, 2017

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Grace Minja (Guest) on May 21, 2017

🀣πŸ”₯😊

Irene Akoth (Guest) on May 21, 2017

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Nyota (Guest) on April 29, 2017

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

George Tenga (Guest) on April 7, 2017

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Betty Cheruiyot (Guest) on February 17, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Bernard Oduor (Guest) on February 17, 2017

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Jamila (Guest) on February 10, 2017

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Simon Kiprono (Guest) on January 20, 2017

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Mazrui (Guest) on January 8, 2017

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Mustafa (Guest) on December 18, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Grace Mushi (Guest) on December 3, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Francis Mrope (Guest) on November 30, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Esther Nyambura (Guest) on November 12, 2016

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

John Lissu (Guest) on November 6, 2016

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Sumaya (Guest) on October 27, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Janet Wambura (Guest) on September 24, 2016

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Thomas Mtaki (Guest) on September 18, 2016

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Dorothy Nkya (Guest) on September 12, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Diana Mallya (Guest) on July 24, 2016

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Betty Akinyi (Guest) on July 5, 2016

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Samson Tibaijuka (Guest) on May 22, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Alice Mwikali (Guest) on May 20, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Edwin Ndambuki (Guest) on May 16, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mwinyi (Guest) on April 15, 2016

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Jane Muthoni (Guest) on April 6, 2016

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Violet Mumo (Guest) on February 4, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Ann Awino (Guest) on January 31, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Monica Adhiambo (Guest) on January 29, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Victor Malima (Guest) on January 4, 2016

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Jabir (Guest) on December 28, 2015

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Maneno (Guest) on December 1, 2015

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Jamal (Guest) on November 6, 2015

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Paul Kamau (Guest) on November 5, 2015

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Anna Mahiga (Guest) on October 8, 2015

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Peter Otieno (Guest) on September 23, 2015

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Philip Nyaga (Guest) on September 20, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Moses Kipkemboi (Guest) on September 11, 2015

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Raphael Okoth (Guest) on September 2, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Joseph Mallya (Guest) on July 30, 2015

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Joyce Mussa (Guest) on July 18, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nuru (Guest) on July 17, 2015

πŸ˜„ Kali sana!

Dorothy Majaliwa (Guest) on June 30, 2015

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Jane Muthoni (Guest) on June 17, 2015

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Wilson Ombati (Guest) on May 31, 2015

Asante Ackyshine

Mariam Hassan (Guest) on May 21, 2015

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Mwanaidha (Guest) on May 14, 2015

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Ann Awino (Guest) on May 8, 2015

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Nancy Kawawa (Guest) on April 19, 2015

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Related Posts

Jambo la kufanya ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni

Jambo la kufanya ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni

Fanya hivi

Ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni mwambie "NAOMBA CM YAKO NIWASHE T... Read More

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno

Demu wako anakuja kwako kasuka nywele za 30,000 na hujampa hata mia,we unaka... Read More

Wazo la jioni hii

Wazo la jioni hii

πŸ“’WAZO LA JIONI HII πŸ“’

KAMA MWAKA JANA ULIPIGA HATUA NA HUJAFIKIA MALENGO MWAKA HUU... Read More

Mcheki Chizi na daktari

Mcheki Chizi na daktari

Tafakari na ujumbe huuuu!!!…

DAKTARI :- Unajisikiaje?

CHIZI:-Kila siku naota nyani ... Read More

Huyu panya wa tatu ni noma

Huyu panya wa tatu ni noma

πŸ€ πŸ€ πŸ€Β Panya watatu walikua wakibishana nani Ni noma zaidi

Read More

Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Mkaka aliingia kwenye hoteli moja akaketi meza moja na mdada mrembo maarufu sana;
MKAKA: Sam... Read More

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Jamaa kavamia semina ya wasomi iliyokua inafanyika maeneo ya ubungo plaza bas wakaanza kujitambul... Read More

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

Jinsi nilivyogundua kuwa nina kipaji leo

LEO NIMEPITA MTAA FULANI NIKAKIMBIZWA NA MBWA, NDIO NIKAJUA NINA KIPAJI KINAPOTEA TU………

... Read More
Cheki kilichompata huyu dada!!

Cheki kilichompata huyu dada!!

NDOA inafungwa KANISANI Mchungaji akauliza-Yeyote mwenye Pingamizi La Ndoa hii kufungwa aje Mbel... Read More

Hii dunia kweli haina haki, soma hii

Hii dunia kweli haina haki, soma hii

Unapiga kilimo chako unamsomesha girlfriend anafika chuo anakutana na msomi mwenzake anarudi ana... Read More

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Mhindi afaulu mtihani wa Kiswahili

(1) Mfa maji ?……………….. Tampa life jacket.Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About