Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Featured Image

Juzi nikitoka church nilipanda kihiace na kulikuwa na mrembo mkali hujawahi kuona,kila kijana alikuwa akimtupia macho,so me nilikuwa na wepesi wa kuongea naye kirahisi coz nilikuwa kando yake,,, Sasa kama unavyojuwa wanaume kwa kujikosha Nikaimigine mtto ananiangalia so nikaamuwa kupiga fake phone
"Hello Mr. Supervisor,nitachalewa kidogo coz kuna mahali nitapitia, so nipelekee tu hyo Ferrari yangu nyumbani"

Nikaona mrembo ameniangalia kwa macho ya husda apo nkajua nimeuwa ndege kwa jiwe moja, nkaamua kujikosha mtt wa kiume , "niaje mrembo", akanikazia macho kisha akaniambia,
"Shika battery yako uliangusha ukitoa simu"

Icho kicheko watu walicheka hujawahi ona jooo adi ikabidi dereva aegeshe gari watu wacheke kwanza πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Nikaona isiwe tabu nikashukia pale pale🚢🏿🚢🏿🚢🏿

Tujifunze kusema ukweli kwani uongo sio mzuri hata kwa Mungu… πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

John Mwangi (Guest) on September 24, 2017

😁 Kicheko bora ya siku!

Mwanaisha (Guest) on August 25, 2017

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Joseph Njoroge (Guest) on August 15, 2017

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

John Kamande (Guest) on July 30, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Miriam Mchome (Guest) on July 5, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on June 25, 2017

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Safiya (Guest) on June 5, 2017

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Miriam Mchome (Guest) on June 4, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Andrew Mchome (Guest) on May 21, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Robert Okello (Guest) on May 8, 2017

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Charles Wafula (Guest) on May 2, 2017

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Biashara (Guest) on April 28, 2017

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Rose Lowassa (Guest) on April 19, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Lucy Mahiga (Guest) on March 17, 2017

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

John Lissu (Guest) on March 3, 2017

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Stephen Malecela (Guest) on February 5, 2017

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Selemani (Guest) on January 24, 2017

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Isaac Kiptoo (Guest) on January 23, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Janet Mwikali (Guest) on January 7, 2017

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Peter Tibaijuka (Guest) on December 20, 2016

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Yahya (Guest) on December 18, 2016

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Umi (Guest) on November 6, 2016

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Lucy Mushi (Guest) on October 3, 2016

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Martin Otieno (Guest) on August 31, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚

Brian Karanja (Guest) on June 21, 2016

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Charles Mboje (Guest) on June 15, 2016

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Grace Mushi (Guest) on April 13, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Elizabeth Mtei (Guest) on March 27, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Rose Lowassa (Guest) on March 15, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Alice Wanjiru (Guest) on February 20, 2016

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Alex Nyamweya (Guest) on February 11, 2016

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Benjamin Kibicho (Guest) on February 1, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Anna Mahiga (Guest) on January 15, 2016

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Stephen Kikwete (Guest) on January 15, 2016

πŸ˜‚πŸ€£

Yusra (Guest) on January 4, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Issa (Guest) on November 22, 2015

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

John Mwangi (Guest) on November 21, 2015

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Catherine Mkumbo (Guest) on November 12, 2015

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Irene Akoth (Guest) on November 9, 2015

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Joyce Mussa (Guest) on October 27, 2015

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Mjaka (Guest) on October 26, 2015

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Irene Makena (Guest) on October 9, 2015

πŸ˜‚πŸ˜…

Monica Lissu (Guest) on October 8, 2015

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Maneno (Guest) on September 17, 2015

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Mwajuma (Guest) on September 5, 2015

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Mwanajuma (Guest) on August 27, 2015

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Anna Kibwana (Guest) on August 16, 2015

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Agnes Njeri (Guest) on August 14, 2015

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Zawadi (Guest) on August 12, 2015

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Margaret Anyango (Guest) on August 4, 2015

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Nora Kidata (Guest) on July 17, 2015

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

George Wanjala (Guest) on June 21, 2015

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Ruth Wanjiku (Guest) on June 11, 2015

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on June 10, 2015

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Samson Mahiga (Guest) on May 29, 2015

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Agnes Njeri (Guest) on April 15, 2015

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Related Posts

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Ukimchoka mkeo, waweza kumtaftia sababu za kumuacha kama hizi

_
1. Mi... Read More

Ndege ya Tanzania

Ndege ya Tanzania

Kuna maprofesa 40 walipanda AIR TANZANIA ili wasafari. Kabla ndege haijaanza kuondoka, Lilipita t... Read More

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Oya people hv kwa mfano Dada yako akisomea sheria ndo anaitwa sister in law? au... Read More

Mipango ya mke na mume ya pasaka

Mipango ya mke na mume ya pasaka

Mke: Unampango gani na pasaka hii mmewangu..
Mume: Nitafanya kama yesu..
Mke: Unamaanis... Read More

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Jamaa kaenda kumtembelea rafiki yake Levi, kule sehemu za kwetu, akakaribishwa bonge ya ugali na ... Read More

Eti ni kweli hii ni sababu wanaume wana Upendo Sana?

Eti ni kweli hii ni sababu wanaume wana Upendo Sana?

Wanaume wana upendo kwa kweli.

Mwanaume hata akipewa kundi la wanawake 90 achague mmoja!! H... Read More

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Miaka 13: Usipende wavulana ni wabaya.
Miaka 18: Sitaki nikuone na yule mvulana tena!
M... Read More

Cheki nilichomfanyia huyu dereva tax

Cheki nilichomfanyia huyu dereva tax

Nilipanda tax leo.dereva tax akaanza kuongea…

Naipenda sana kazi yang... Read More

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Duh! Maisha

Ile time unawaza baba angekua MO DWEJI baba ako na ye anawaza mwanangu ... Read More

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda k... Read More
Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Dem anatoka kuoga akiwa na kanga moja tu anaskia hodi,kufungua mlango akakuta ni jirani yake fra... Read More

Mshahara usiobadilika

Mshahara usiobadilika

PAMOJA NA HALI NGUMU YA UCHUMI NCHINI HUWEZI AMINI MSHAHARA WA DHAMBI HAUJABADILIKA HATA ... Read More

πŸ“– Explore More Articles