Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Angalia nilivyoingizwa mjini na ujanja wangu wote

Featured Image

Ndio nilikuwa nimeshuka kwenye basi la SAI BABA pale Ubungo, nina Begi kubwa Mgongoni na begi Dogo la Lap Top mkononi, sura inatazama Mbele Very Serious kama nipo kwenye Gwaride la Uhuru!..Mabega juu yanafanya Cheers na Mawingu!, natembea kwa madoido…..leo nimetoka Likizo Moshi,

"Brother Simu ya ukweli hii..kitu cha Tecno C9 bei poa" hii ilikuwa sauti ya Teja mmoja hivi!

Yaani huyu Teja Bwege kweli,anataka kumuuzia nani sabuni? mimi sio wa kuja!…kamwe Siwezi kuibiwa hapa Town,hakuna wizi au utapeli nisioujua!, Mimi nimezaliwa Mwananyamala kwa Manjunju, nikalelewa Tandale kwa Mtogole, Shule ya msingi nimesoma Turiani Magomeni, Hivi Mbwa gani aniibie?…kwa Style ipi?

Sipendi kabisa Upuuzi!, Wajinga ndio wataibiwa, sio Mimi!…sasa Kwa mwendo wa haraka nikatoka nje kabisa ya Stendi ya Ubungo straight mpaka Stendi ya dala dala za Kariakoo, hapo ndipo nikakutana na Vijana wawili wadogo wakiwa na mzani wa kupimia uzito,…hakika napenda sana vijana wanaojituma kama hawa na sio ile Mijizi ya kule ndani Stendi!!,….hapa sasa nikapata wazo!

"Dogo mnapima uzito kwa shilingi ngapi?''

"Mia mbili tu Kaka!"

''Ok"

Kwa mwendo wa kikakamavu nikapanda juu ya mzani,lengo hapa ni kujua uzito wangu, Mtori niliokula mwezi mzima kule kwa Mshekuu sio mchezo, hapa nahisi nacheza kwenye kg za John Cena,

"Mama wee! Dogo mzani mzima huu kweli? Mbona nina kilo 134?" (Nilihamaki)

"Aaah! Brother huoni umepanda na Mabegi juu ya mzani?'''

Hahaha! kweli nimechanganyikiwa!…Sasa nikatoa mabegi yote mawili na kurudi juu ya Mzani, hapa ndipo Uzito ukashuka kutoka kg 134 mpaka kg 56!…My God kweli Body la "One Pack " haliongopi! thats means mabegi yaliniongezea kg 78! duh hii ni hatari!

"Yaani we Dogo kitambi chote hiki kg 56? huu Mzani Mzima kweli?"

Kimya…

"Dogo huu Mzani vipi?"

Kimya…

Dogo ana dharau huyu!…Sasa ndio nikabandua macho yangu toka kwenye kioo cha mzani ili nimtazame huyu dogo asiyejibu!….ndipo macho yangu yakakutana na Kigoda tupu kilichochongwa Mvomero!…Dogo hakuwepo!….na Mabegi pia hayapo!…lap top haipo!….NIMEPIGWA!

Ni dhahiri watoto wa Mjini walikuwa wameniacha juu ya Mzani, wamechukua Lap top ya Milioni na wameniachia Mzani chakavu wa elfu 40, what a stress!….sasa nilirudisha macho kwenye kioo cha uzito na sasa kilisoma KG 38!…yaani dakika hii hii nimepungua kilo zingine 18, Hakiyamama nahisi hata utumbo wangu wamebeba!…niitieni Ambulance!

πŸ™†πŸΌπŸ™†πŸΌπŸ™†πŸΌπŸ™†πŸΌπŸ™†πŸΌπŸ™†πŸΌπŸ™†πŸΌπŸ™†πŸΌπŸ™†πŸΌπŸ™†πŸΌπŸ™†πŸΌ

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Frank Sokoine (Guest) on June 21, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Anna Malela (Guest) on June 4, 2017

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Joyce Nkya (Guest) on May 25, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mwanaisha (Guest) on April 30, 2017

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Agnes Njeri (Guest) on April 12, 2017

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Emily Chepngeno (Guest) on March 10, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

David Musyoka (Guest) on March 1, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Aziza (Guest) on February 15, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

George Tenga (Guest) on February 13, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

Wande (Guest) on February 8, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

David Musyoka (Guest) on January 25, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Anna Kibwana (Guest) on January 20, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Kijakazi (Guest) on January 19, 2017

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on December 9, 2016

πŸ˜‚πŸ˜…

Khalifa (Guest) on November 2, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Henry Mollel (Guest) on October 6, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

George Tenga (Guest) on August 25, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Grace Mligo (Guest) on August 8, 2016

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Betty Cheruiyot (Guest) on July 25, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Samson Mahiga (Guest) on July 19, 2016

πŸ˜‚πŸ€£

Mariam Kawawa (Guest) on July 17, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

James Malima (Guest) on July 6, 2016

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Samuel Omondi (Guest) on June 22, 2016

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Samson Mahiga (Guest) on June 17, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Anthony Kariuki (Guest) on June 16, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on June 15, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Samson Tibaijuka (Guest) on May 17, 2016

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Lydia Mzindakaya (Guest) on April 6, 2016

πŸ˜† Bado nacheka!

Edwin Ndambuki (Guest) on March 20, 2016

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Stephen Kangethe (Guest) on February 25, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Benjamin Kibicho (Guest) on February 5, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Edith Cherotich (Guest) on February 1, 2016

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Henry Sokoine (Guest) on January 26, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

David Nyerere (Guest) on January 21, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Biashara (Guest) on January 9, 2016

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Rubea (Guest) on January 8, 2016

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Kahina (Guest) on December 13, 2015

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Nancy Akumu (Guest) on November 11, 2015

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Patrick Akech (Guest) on November 5, 2015

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

David Kawawa (Guest) on October 26, 2015

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

John Lissu (Guest) on October 19, 2015

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on September 29, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Janet Sumaye (Guest) on September 23, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Rose Amukowa (Guest) on September 18, 2015

😊🀣πŸ”₯

Violet Mumo (Guest) on September 17, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Maneno (Guest) on September 7, 2015

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Bernard Oduor (Guest) on September 6, 2015

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Joyce Nkya (Guest) on August 27, 2015

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

John Lissu (Guest) on August 20, 2015

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Tambwe (Guest) on July 29, 2015

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Salum (Guest) on July 21, 2015

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Alex Nyamweya (Guest) on July 10, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Alice Jebet (Guest) on June 2, 2015

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Linda Karimi (Guest) on May 31, 2015

πŸ˜‚πŸ˜†

Lucy Kimotho (Guest) on May 14, 2015

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Tabu (Guest) on April 6, 2015

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Related Posts

Bongo usanii mwingi!!!

Bongo usanii mwingi!!!

BONGO USANII UMEZIDI DAAH!!

…yani nakupeleka dinner unakula sana vipaja vya kuku na chips... Read More

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Ujanja alioutumia msichana wa kazi ili apandishiwe mshahara na mama mwenye nyumba

Msichana wa kazi alitaka mama mwenye nyumba ampandishie mshahara….. Mama mwenye nyumba akamwamb... Read More

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

BOSS anamwambia sekretari wake: Wiki hii tutaenda wote Serena Hotel kwenye ... Read More

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Jamaa Wawili Walifika Stesheni, wakakuta Treni ndo kwanza inaondoka. Wakaanza Kuikimbiza. Mmoja a... Read More

Duh. mjamzito ana kazi

Duh. mjamzito ana kazi

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ukimuona mjamzito katema mate ujue mtoto kajamba

... Read More
KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

Jamaa mmoja alienda kuomba kazi Mbuga ya Wanyama, akaambiwa nafasi ya Kazi ipo ila hakuna Sokwe,... Read More

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

1. Awe na pesa nyingi

2.Siyo lazima awe mzuri wa sura

3. Ajenge ukweni

4.Awe mp... Read More

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Jamaa alikuwa anagombana na mkewe,hatimae akamwambia kwa ukali "Unajua nimechoka sasa, haya kusanya ... Read More
Cheki kilichompata huyu dada!!

Cheki kilichompata huyu dada!!

NDOA inafungwa KANISANI Mchungaji akauliza-Yeyote mwenye Pingamizi La Ndoa hii kufungwa aje Mbel... Read More

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

*Jihadharini* na wachapaji wa kadi za harusi. Hakikisha unasoma maandishi yaliyochapwa kabla ya k... Read More

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Alichokifanya jamaa baada ya kuokota wallet yenye pesa za kumwaga

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "Naitwa John nimepiga s... Read More
πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About