Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Hii mitoto mingine mijinga, cheki alichokifanya huyu

Featured Image

Nimeamka asubuhi nikiwa na elfu 1 tu mfukoni, nikamtuma mtoto wa jirani akaninunulie maandazi nipate kunywa chai. Baada ya muda namuona anarudi huku analamba askrimu ya AZAM kama Simba vile. Nikamuuliza maandazi yako wapi? Akanijibu eti wakati anafika yanapouzwa maandazi akagundua kuwa kapoteza hela yangu, hivyo akaanza kurudi, ila bahati nzuri wakati anarudi ili kuja kunitaarifu kuhusu kupotea kwa hela yangu, njiani akaokota elfu 1 ambayo kuna mtu alipoteza ndio akaamua kununua askrimu….kwa sasa niko polisi na mtoto yuko dispensari na mamakeπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

David Musyoka (Guest) on November 15, 2017

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Mariam (Guest) on November 9, 2017

😁 Kicheko bora ya siku!

Alice Mwikali (Guest) on October 24, 2017

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Benjamin Kibicho (Guest) on October 16, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Jackson Makori (Guest) on August 23, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Chum (Guest) on June 18, 2017

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Mwachumu (Guest) on May 23, 2017

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Francis Njeru (Guest) on April 28, 2017

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Alice Mwikali (Guest) on April 13, 2017

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Mary Mrope (Guest) on March 28, 2017

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Lydia Mzindakaya (Guest) on March 25, 2017

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Betty Akinyi (Guest) on March 9, 2017

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Stephen Kikwete (Guest) on March 8, 2017

🀣 Hii imewaka moto!

Agnes Njeri (Guest) on February 23, 2017

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Diana Mumbua (Guest) on January 19, 2017

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Elizabeth Mrema (Guest) on January 10, 2017

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Anna Sumari (Guest) on December 12, 2016

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Irene Makena (Guest) on November 24, 2016

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Betty Akinyi (Guest) on November 15, 2016

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Lydia Mutheu (Guest) on September 29, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Michael Onyango (Guest) on September 8, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Nchi (Guest) on September 1, 2016

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Irene Akoth (Guest) on August 5, 2016

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

George Tenga (Guest) on August 2, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Mariam Hassan (Guest) on July 19, 2016

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

John Kamande (Guest) on July 6, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nancy Kawawa (Guest) on June 29, 2016

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Robert Ndunguru (Guest) on June 21, 2016

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

George Ndungu (Guest) on June 21, 2016

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Mustafa (Guest) on June 19, 2016

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Henry Mollel (Guest) on June 7, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Mwajabu (Guest) on June 6, 2016

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Linda Karimi (Guest) on June 5, 2016

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Janet Wambura (Guest) on April 29, 2016

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Majaliwa (Guest) on April 21, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Khalifa (Guest) on March 28, 2016

πŸ˜† Bado nacheka!

Hamida (Guest) on March 25, 2016

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Joy Wacera (Guest) on February 6, 2016

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Esther Nyambura (Guest) on January 29, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Raphael Okoth (Guest) on January 9, 2016

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Lydia Mahiga (Guest) on December 30, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Victor Mwalimu (Guest) on December 8, 2015

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Shukuru (Guest) on November 18, 2015

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Margaret Anyango (Guest) on November 12, 2015

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Carol Nyakio (Guest) on October 20, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

John Mwangi (Guest) on October 1, 2015

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Victor Sokoine (Guest) on September 21, 2015

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Khadija (Guest) on September 16, 2015

πŸ˜† Kali sana!

Mary Sokoine (Guest) on September 8, 2015

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Edwin Ndambuki (Guest) on August 19, 2015

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Kazija (Guest) on August 8, 2015

πŸ˜† Ninakufa hapa!

George Wanjala (Guest) on July 25, 2015

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Joseph Kitine (Guest) on July 15, 2015

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Rashid (Guest) on June 19, 2015

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Edwin Ndambuki (Guest) on May 12, 2015

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Patrick Mutua (Guest) on May 6, 2015

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

George Wanjala (Guest) on April 21, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

David Nyerere (Guest) on April 1, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Related Posts

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Unakumbuka hizi enzi za utoto?

Kitambo tukiwa watoto ulikuwa unaitwa uje ule kwa lugha tofauti kulingana na chakula kilichopikwa... Read More

Baadhi ya misemo mikali ya leo

Baadhi ya misemo mikali ya leo

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

2. Hata uwe na magari m... Read More

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

MUME wakati anakata roho huku mkewe akiwa amemshikilia alisema mke wangu, mi natubu kwako, kwani ... Read More

Kifahamu Kidada kimbea kilichofukuzwa kazi

Kifahamu Kidada kimbea kilichofukuzwa kazi

Unafahamu?

Kile kidada kimbea kinachosemaga salio lako halitoshi kimefukuzwa kazi s... Read More

Amri za chuo

Amri za chuo

Ndio hizi sasa

1.Hicho ndicho chuo chako usiwe na chuo kingine ila hicho.
2.Usilitaje ... Read More

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Miaka 13: Usipende wavulana ni wabaya.
Miaka 18: Sitaki nikuone na yule mvulana tena!
M... Read More

Mambo ya kijijini haya!

Mambo ya kijijini haya!

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Juzi nikitoka church nilipanda kihiace na kulikuwa na mrembo mkali hujawahi kuona,kila kijana ali... Read More

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Kuna Daktari wa Moyo alifariki wakamchongeaa jeneza lenye umbo la Moyo. Ghafla Daktari mwingine ... Read More

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

HABARI MPASUKO..

jana katika taasisi ya wanyama pori ya Nat Geo ilitangazwa kuwa ametokea N... Read More

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

1. Maswali haya je una majibi? JIBU KISHA NITUMIE MAJIBU![mtihani wa maarifa ya dunia... Read More

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

DADA alienda Salon wakati anasukwa akaingia
MKAKA mtanashati,
DADA akaamua kujaribu bah... Read More

πŸ“– Explore More Articles