Warning: Undefined variable $user_id in /home/ackyshine/personal/sidebar.php on line 36
Sidebar with Floating Button
AckySHINE πŸ”
☰
AckyShine

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Featured Image
Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!, Akamwambia Mbongo waulizane maswali na Mbongo akishindwa anatoa sh.500 na endapo yeye atashindwa atatoa 100,000/=. Mzungu akauliza ni nchi ipi ilishindwa kwenye vita kuu ya kwanza ya Dunia? Mbongo akatoa 500 kuashiria hajui. Na yeye akamuuliza Mzungu ni kitu gani kikienda juu kina miguu minne na kikirudi chini kina miguu mitatu? Mzungu akafikiria akakosa jibu akatoa 100,000/= kuashiria hajui ila akataka kujua, akauliza ni nini hicho? Mbongo akatoa 500 kuashiria hata yeye hajui!. SHARE na marafiki kama umemkubali Mbongo kwa ujanja. Lakini unafikiri Mbongo huyu kwa akili hizi atakuwa ametokea mkoa gani!?.
AckySHINE Solutions

Comments

Please log in or register to leave a comment or reply.

Zubeida (Guest) on June 18, 2017

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on June 18, 2017

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Joyce Mussa (Guest) on June 8, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Peter Tibaijuka (Guest) on June 3, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Agnes Sumaye (Guest) on June 3, 2017

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Carol Nyakio (Guest) on June 1, 2017

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Hellen Nduta (Guest) on May 25, 2017

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joyce Mussa (Guest) on April 21, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Mchuma (Guest) on March 26, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Patrick Mutua (Guest) on March 15, 2017

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Christopher Oloo (Guest) on March 9, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Mgeni (Guest) on March 7, 2017

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Rose Amukowa (Guest) on February 10, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

George Mallya (Guest) on January 19, 2017

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Jane Muthui (Guest) on January 10, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Margaret Mahiga (Guest) on January 1, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Elizabeth Mrema (Guest) on December 19, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Mwachumu (Guest) on December 5, 2016

πŸ˜„ Kali sana!

Joseph Njoroge (Guest) on November 28, 2016

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Faith Kariuki (Guest) on November 26, 2016

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Daniel Obura (Guest) on October 19, 2016

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Henry Mollel (Guest) on October 7, 2016

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Tambwe (Guest) on October 6, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Esther Nyambura (Guest) on September 24, 2016

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Irene Akoth (Guest) on September 15, 2016

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Vincent Mwangangi (Guest) on September 14, 2016

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

David Sokoine (Guest) on August 15, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Benjamin Kibicho (Guest) on July 10, 2016

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Mwanakhamis (Guest) on July 4, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

George Ndungu (Guest) on June 17, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Monica Lissu (Guest) on June 17, 2016

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Frank Sokoine (Guest) on June 13, 2016

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Lucy Wangui (Guest) on May 30, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Rabia (Guest) on May 26, 2016

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Samuel Omondi (Guest) on May 24, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

David Chacha (Guest) on May 15, 2016

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Michael Onyango (Guest) on May 2, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Stephen Mushi (Guest) on April 24, 2016

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Charles Mchome (Guest) on April 18, 2016

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Stephen Kikwete (Guest) on April 6, 2016

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Elizabeth Mtei (Guest) on February 20, 2016

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Monica Nyalandu (Guest) on February 16, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Aziza (Guest) on January 25, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Daudi (Guest) on January 14, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Charles Mrope (Guest) on November 17, 2015

🀣πŸ”₯😊

James Mduma (Guest) on October 31, 2015

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Diana Mumbua (Guest) on October 16, 2015

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Vincent Mwangangi (Guest) on October 10, 2015

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Nicholas Wanjohi (Guest) on July 5, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Ann Wambui (Guest) on June 29, 2015

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Henry Mollel (Guest) on June 28, 2015

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Mwanajuma (Guest) on June 2, 2015

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Mary Sokoine (Guest) on May 26, 2015

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Benjamin Kibicho (Guest) on May 22, 2015

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Joy Wacera (Guest) on April 17, 2015

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Frank Sokoine (Guest) on April 15, 2015

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on April 5, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Related Posts

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae... Read More

Angalia huyu bibi alichotufanyia kwenye gari

Angalia huyu bibi alichotufanyia kwenye gari

​tulikua kwenye gari kibao ad wengne mlangon likasmimama kituo kimoja kulikua kuna bibi anataka... Read More

Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake

Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake

Jamaa karudi toka kazini mpole na hana furaha! MKE; Vipi leo mbona mpole? MUME; Ofisi yetu imeungua ... Read More
Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo

Kuna mama mmoja kavamia bank uchi cha kushangaza hakuna anae kumbuka uso... Read More

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Ladha ya bia ya 1 hadi ya 6..

Kwa wanywaji wazuri wa bia, chupa ya kwanza 🍺 huwa hailet... Read More
Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

πŸ˜†πŸ˜† πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Jamaa kagombana na mkewe, akasusa kula🍽🍨 kurudi kazini ka... Read More

Cheki hawa wachungaji

Cheki hawa wachungaji

CHEKA KIDOGO

Wachungaji watatu walikutana kwa siri na kuelezana matatizo yao ili waweze kuo... Read More

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda k... Read More
Sababu ya watu kupenda mapenzi kuliko vita

Sababu ya watu kupenda mapenzi kuliko vita

Mwalimu aliuliza swali "Kwanini watu wanapenda MAPENZI kuliko VITA? Mwanafunzi mmoja akajibu:- "Kw... Read More
Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Baada ya kukaa mda mlefu sijamuona nungu'nungu leo nikakuna nae nikajisikia furaha sana,

ni... Read More

Huyu ndo mwanamke

Huyu ndo mwanamke

Akikuta PESA wakati anafua atapiga kimya kimya, sasa ngoja akute umeacha CONDOM ndo utajua kama u... Read More

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

MUME: Fungua mlango!

MKE: Leo sifungui! Nimechoshwa na ul... Read More

πŸ“– Explore More Articles
🏠 Home πŸ“– Reading πŸ–ΌοΈ Gallery πŸ’¬ AI Chat πŸ“˜ About